Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,647
- 11,227
Sasa wafanyajeNani kasema watu wote wahame dar ?
Sasa wafanyajeNani kasema watu wote wahame dar ?
Huu Uzi wako unafaa uwe taarifa ya habari ya kwanza ITV na TBC1 huo ndo ukweli 9999999%. Mi mwenyewe nikiendaga mkoa najiona mjinga Fulani ivi watu wanafanya vitu vya maana sana.Nimeishi Dar kwa takribani miaka 13,hakuna cha maana nilichokifanya,ila niliporudi mkoani ndani ya mwaka mmoja maisha yalikuwa tofauti kabisa. Niliacha kufikiria mawazo ya muda mfupi mfano nitakula nini kesho,kodi itakuaje na mengineyo ya kipuuzi..
Sasa hivi nawaza itakuaje baada ya mwaka au miaka kumi nitakuwa wapi. Hilo Dar linaishia kwenye maneno tu,maisha ya Dar yanamfanya mtu awe mtumwa,wana wengi wanaogopa kurudi mahome kwao kwa kuhisi watadharaulika.
Acha fikra potovu rudi ubadili namna ya kufikiri,huku mambo yanaenda ukitia nia.
Nani kakudanganya wewe hivi ulishafika kwanza Mwanza au unasikiliza story za vijiweni wewe , halafu unajifanya mjanja na swali langu hujajibu nimwkwambia nionyeshe maeneo ya jiji la mwanza yaliyo ovyo kama ya Dar umeshindwaMwanza mmakula mifupa ya Samaki (Mapanki) halafu unasema mpo juu,hakuna mkoa uliojaa Raha tupu Ila mkoa una maeneo mazuri na mabovu
Mkuuu we ni mshabiki mtazamaji wa mafaniko ya wenzako. Sasa hayo magari na majumba mazur we binafsi unanufaika vip nayo. We binafsi unamirik nn. Au ndo wafurahia kuona hayo magari na majumba ya bakharesa. Think out the box

Sometimes reasoning kama hizi Huwa naziona za kijinga.Hivi Kwa mtu anayetafuta maisha kupanga ni tatizo? Wangapi wana nyumba zao lakini wao wenyewe wamepanga? Twende Kwa hiyo ya Shemeji hivi hao mashemeji wapo Dar au Kolomije? Kama wao wapo Dar kwanini wamefanikiwa.Kama wewe umeshindwa kuishi mjini usilazimishe Kila mtu ashindwe.
Na hii huwa shida,huwa wanaranduka kabisa unarudi unakuta jamaa uliemwona mshamba kwa kuishi mkoa kawekeza vya kutosha anakuchora tu.kuna mda maisha yakiwabana huwa wanauza vitu vyao na kurudi mkoani hii naiona mara nying kwa wenye umri 50+
Doh!!!Sasa wafanyaje
Tatizo dar inahitaji extra energy kufikia mafanikio. Yaani ni kuhustle haswa hata mda wa kugegeda utakoswa. In short utatoboa ila mateso yake lazima uishie kupata BP.Well, kwa yote yalioongelewa, ni mtazamo wa mtu, na kila mtu ana uhuru wa kuongea, kama kila mtu kapewa uhuru wa kuongea, na kuona anonavyo yy...
Kufanikiwa inategemea na mtu, na vitu vingi ambavyo vita mfanya mtu huyo afanikiwe
Kimtazamo wangu, kama umetoka mkoan na uko dar, unaelimu yako, umeajiriwa, usitegemee mshahara, kama unahitaji kufanikiwa. Jongeze either kwa shughuli ndogo ndogo za kibiashara.
Dar kama unafanya biashara utainjoy sana. Alaf, wafanya biashara wanainjoy life kiliko wasomi.
Ukijitia unatamba na elimu yako, utadharaulika kama mbwa koko.
Kama unafanya biashara, na unapower, either kitengo, utainjoy maisha sana ya dar
Enheee...sasa uyo ni bora zaid kuliko wew ambaye upo dar alafu umepanga au unakaa kwa shemej yko




Kila sehemu inachangamoto zake,hakuna sehemu mteremko,Dar ina mchanganyiko wa watu wote na mikoa mingine ina mchanganyiko wa watu wote.Lakini mwisho wa siku watu wanamiminika kwenye sehemu yenye fursa.
Mwanza mmakula mifupa ya Samaki (Mapanki) halafu unasema mpo juu,hakuna mkoa uliojaa Raha tupu Ila mkoa una maeneo mazuri na mabovu
😂😂😂 Hii ya ukitoka mkoa kutaka ubebe mchele sijui mahindi ni kweli kabisa Mkuu😂😂 ina nikeraga sanaNa ndo huko panaongoza kwa kuwa na omba omba wengi sana, wezi, mateja,vichaa, izo zote ni fursa!?????? na ndo huko mtu akikutembelea mnataka aje na chakula eg mchele na unga wakat nyie mkienda kumtembelea mnaenda na mkate wa bakhresa tu. Acheni zenu nyieee
Hapo kwenye bold NI WAPI!? Mwanza, Arusha, Tanga, Mara au ni wapi? Funguka watu wakujibu kwa MLINGANISHO!Nimeishi Dar kwa takribani miaka 13,hakuna cha maana nilichokifanya,ila niliporudi mkoani ndani ya mwaka mmoja maisha yalikuwa tofauti kabisa. Niliacha kufikiria mawazo ya muda mfupi mfano nitakula nini kesho,kodi itakuaje na mengineyo ya kipuuzi..
Sasa hivi nawaza itakuaje baada ya mwaka au miaka kumi nitakuwa wapi. Hilo Dar linaishia kwenye maneno tu,maisha ya Dar yanamfanya mtu awe mtumwa,wana wengi wanaogopa kurudi mahome kwao kwa kuhisi watadharaulika.
Acha fikra potovu rudi ubadili namna ya kufikiri,huku mambo yanaenda ukitia nia.
Waulize wenzio waliohamia dodoma wanavyolia Lia. Dar kufanikiwa ni rahisi kuliko kufeli.


