Ukoo wangu mzima! Ni LIsu 28/10/2020Wakataze helicopter wakubali
Tarehe 28 kura yangu na familia yangu ni kwa Lissu
Ukoo wangu mzima! Ni LIsu 28/10/2020Wakataze helicopter wakubali
Tarehe 28 kura yangu na familia yangu ni kwa Lissu
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣wahutu sio watu wazuri jaman
Sasa sababu IPI na kama mwata mchi ichafuke sisi hatupigani na askari twataka pigana na nyinyiMmeshaanza kutafuta vijisababu.
endelea kuamini tuko kwenye keyboardUtagawaje mbao kwenye keyboard labda mgawane hizo herufi za kwenye keyboard
Naifurahia akili yako na uelewa wako murua kabisa.Mmeshaanza kutafuta vijisababu.
Ni kinyaa tangu mwanzoKama ndiyo woga,mpaka unaleta aibu !!!
Ww ndo hufamiki unaongea ninihufahamiki unaongelea nini
Mkuu Mshana, nami pia sikuwa na amani kabisa na matumizi ya hii chopa na nilihisi kuna jambo baya tu..Nimegundua sasa kwanini moyo wangu ulikuwa mzito tangu asubuhi kuhusiana na huu usafiri..nilikuwa nimeshanusa hujuma japo sikujua ni hujuma gani
Wakumuamini ni yule aliyesema sadam ni rais wa KuwaitCdm sio wa kuwaamini, inaweza kua ni kiki. Tunasubiri taarifa ya serikali.
Nami niliogopaMkuu Mshana, nami pia sikuwa na amani kabisa na matumizi ya hii chopa na nilihisi kuna jambo baya tu..
Kwa jinsi Meko alivyo katili, hachelewi kufanya yale aliyofanyiwa Filikunjombe..
Kwani Ben Saanane yupo wapi..?!
Wauwaji wakubwa hawa.
Unataka umpongeze?Huyo afisa aliyezuia hana jina?
Umesema kweli tupu Mkuu.Nami niliogopa
Nikikumbuka ya Filikunjombe
Nadhani kubwa ni Kumshukuru Mungu kwa hili
Chadema tumieni usafiri wa barabara ni salama zaidi kuliko anga
Ni maoni yangu tu
Yaliyopashwa kujiri mbele who knows
Twende hivi hivi kama kinyonga tutafika