mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,276
- 12,335
Wakataze helicopter wakubali
Tarehe 28 kura yangu na familia yangu ni kwa Lissu
Tarehe 28 kura yangu na familia yangu ni kwa Lissu
Na nyie mmezidi kuwa ma keyboard warriors hadi msisimuko wa pepsi unapoteaMaCCM yamezidi kuwa maoga sana hadi inatia kinyaa
Chopper bovu wanataka kutuletea msiba bure waseme amedunguliwa wapuuzi sana hawaNimegundua sasa kwanini moyo wangu ulikuwa mzito tangu asubuhi kuhusiana na huu usafiri..nilikuwa nimeshanusa hujuma japo sikujua ni hujuma gani
Kuna ugumu gani kwani jamaa wamekaidi wakaondoka na ndege??Wanaona Kisu akitumia helikopta atazidi kupata watu kwa kuwafikia wengi zaidi. Hapo ndio ccm watajua ni ngumu kiasi gani kuongoza watu wasiowakubali.
Watu wa Chalinze hawana ishu na Lisu kabisa hapa ni bata tu.Poleni sana. Lakini nasikia kuwa Chalinze watu walimsubiri! tuaomba picha. Yale yale
Hata hivyo zuio lao la kishamba halitadumu , hii nchi tunaweza kugawana mbao hata kabla ya octoba 28Wanaona Kisu akitumia helikopta atazidi kupata watu kwa kuwafikia wengi zaidi. Hapo ndio ccm watajua ni ngumu kiasi gani kuongoza watu wasiowakubali.
Hawezi..watatoa sababu hizi na zileivi anaruhusiwa kukodisha ndege za shirika la Air Tanzania?
hufahamiki unaongelea niniJuzi alisema kuna hujuma ya kuharibu ndg ili apate ajali,leo kazuiliwa ili aepushwe na hujuma hizo,analialia.
Najiuliza,Ni lini ataacha kulialia huyu msingida.
Asimame km shujaa wa chama?
Huyo afisa alitumwa kutoa taarifa,Kuna kambale wako ofisini ambao ni Johari na Filikunjombe,tangia Johari asifiwe na Magufuri kuwahujumu fastjet Basi no mwendelezo uleule wa hujuma.Huyo afisa aliyezuia hana jina?
Kawaambukiza hadi wafuasi wake humu kila siku kulialia tu hawanaga solution kabisa ya vilio vyaoJuzi alisema kuna hujuma ya kuharibu ndg ili apate ajali,leo kazuiliwa ili aepushwe na hujuma hizo,analialia.
Najiuliza,Ni lini ataacha kulialia huyu msingida.
Asimame km shujaa wa chama?
Ndio sababu walizotoa mamlaka ya anga?Juzi alisema kuna hujuma ya kuharibu ndg ili apate ajali,leo kazuiliwa ili aepushwe na hujuma hizo,analialia.
Najiuliza,Ni lini ataacha kulialia huyu msingida.
Asimame km shujaa wa chama?
Utagawaje mbao kwenye keyboard labda mgawane hizo herufi za kwenye keyboardHata hivyo zuio lao la kishamba halitadumu , hii nchi tunaweza kugawana mbao hata kabla ya octoba 28