Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,615
Kwanini CCM wanapenda hujuma?
Halafu ikiangushwa kwa sababu watu wa usalama wa anga watakuwa hawana taarifa za ndege hiyo - inaweza kudhaniwa ni ndege ya adui!Kuna ugumu gani kwani jamaa wamekaidi wakaondoka na ndege??
Ngoja tusubiri, labda CAA watalitolea ufafanuzi.Mbona hawasemi sababu za kuzuiliwa ni nini zaidi ya kujificha kwenye kichaka eti "hazieleweki "
Tunakuachia kweli. Serikali itoe taarifa?Wamekosa kazi ya kufanya?Cdm sio wa kuwaamini, inaweza kua ni kiki. Tunasubiri taarifa ya serikali.
Binafsi inanipa nifikiri hivyo, lakini akili nyingine inaniambia, unaweza dharau Hilo na kulaani Sana Kwa kunyimwa ndege hiyo kuruka kumbe ndiyo ilikuwa salama ya mgombea, Nani ajuaye buanaMaCCM yamezidi kuwa maoga sana hadi inatia kinyaa
Sasa kuna ugumu gani kutawala kama order zimetoka zikafatwaHalafu ikiangushwa kwa sababu watu wa usalama wa anga watakuwa hawana taarifa za ndege hiyo - inaweza kudhaniwa ni ndege ya adui!
Labda kama siku hizi watu wanaandamana kwenye keyboard....nje ya hapo weupe kabisa labda hao wazungu wa Vanguard waje kuwasaidia tofauti ya hapo ni weupeee kabisa kelele kwenye mitandao tuendelea kuamini tuko kwenye keyboard
Mkuu Mshana, nami pia sikuwa na amani kabisa na matumizi ya hii chopa na nilihisi kuna jambo baya tu..
Kwa jinsi Meko alivyo katili, hachelewi kufanya yale aliyofanyiwa Filikunjombe..
Kwani Ben Saanane yupo wapi..?!
Wauwaji wakubwa hawa.
Ya Mungu ni mengi! Utajuaje, je kama ni kweli? Maana wewe kazi yako ni kulalama Tu, na Huna utalaamu wowote wa anga!Baba Jessca ni muoga kuliko mbwa za bus stand.....atajiharishia mzee wa watu....sipati picha MACCM KAMA MBWAKOKO
Uongo helikopta hupandii airport inakufuata ulipo kukupeleka utakakoLisu alibaini hujuma , na hujuma juu yake ndani ya huo usafiri. Ashukuru Mungu wamemsaidi.
Huwezi elewa kilicho mioyoni mwa watu, wanasema moyo wa mtu kichaka.Watu wa Chalinze hawana ishu na Lisu kabisa hapa ni bata tu.
Lete jina lake, mbona unaficha?Unataka umpongeze?
Mpuuzi wewe huna akili sijui akili uliziweka wapiSasa itakuweje?
Siku hizi CCM wanawapenda sana CHADEMA.Hawataki wapate madhara.Juzi alisema kuna hujuma ya kuharibu ndg ili apate ajali,leo kazuiliwa ili aepushwe na hujuma hizo,analialia.
Najiuliza,Ni lini ataacha kulialia huyu msingida.
Asimame km shujaa wa chama?