Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 31,986
- 64,020
ILIKUWAJE? HEBU TUPE KISA KIDOGO
Dar, Kigamboni: Khamis Luongo amuua mke wake Naomi Orest Marijani na kumchoma moto. Majivu akafanya mbolea ya Mgomba
Wakati anauchoma huo mwili ina maana majirani hawakusikia harufu au ana ishi mbali na watu?Limoto la mkaa magunia mawili linaweza yeyusha chuma ni zaidi ya 3000 degrees Celsius ndio maana ameteketea bila watu kunotice lolote. Dah ila aisee...... Inabidi kama jamii tuketi kitako na kujadili hili...
www.jamiiforums.com