Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,979
- 5,295
We mbona muongo? Huyo ambae awezi nyanyua mkono ni mgonjwa, akuna mawanaum mzima wa afya ambae akimaliza anashindwa kunyanyua mkono, neverWengine wakimaliza hawawezi hata kunyanyua mkono, na huenda Grace alimpa na akampa tena!
Kina Hawa ni viumbe hatari sana!