hata mimi
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 1,356
- 1,437
Neema kwa Kingereza ni Grace so yote ni sawa inategemea tu kwenye kitambulisho kaandika lipinski linalotambulika officially!!!Kule kwingine wamemtaja kama Neema, nani mwongo hapa achukuliwe hatua kwa kupotosha ukweli
Amchoma mumewe na petrol kisa wivu wa mapenzi
Mkazi wa makabe anayeitwa Neema amemwagia nyumba yao petrol na kuwasha moto huku akiwa amemfungia mumewe ndani ya nyumba hiyo na kumfanya mwanaume huyo kuteketea kwa moto na kupoteza uhai.
Vyanzo vya kuaminika vinadai kabla ya tukio hili mwanamke huyu alikuwa akimtuhumu mumewe kwamba hakuwa mwaminifu kwa ndoa yao.
Mtuhumiwa amekamatwa yuko Chini ya ulinzi wa Jeshi la polisi.
Poleni wafiwa
Wivu ni mbaya
Mumewe ni huyu
Ndicho nilikimaanisha ...consistenceNeema kwa Kingereza ni Grace so yote ni sawa inategemea tu kwenye kitambulisho kaandika lipinski linalotambulika officially!!!
Usikute kuna mali nyingine somewhereHatimae wapelestina wa machame wamefanya yao,historia huwa haipotei
Rehema?
Huruma/MsamahaRehema?
UtukufuGlory.
Acha uhanithi wako wa kufananisha kabila na tabia ya mtuWachaga watu wabaya Sana,ona sasa kaua mtu kwa upuuzi wake
Nimeshuhudia hili, jamaa yangu yamemkuta, mwanamke alitafuta visa waachane ikashindikana, akaanza kutembea na bodaboda, rafiki yangu akainua mikono
Mkiambiwa msipende kuwarudia ma EX hamuelewi! Sio kila EX anarudi kwa nia njema wengine wanarudi kwa visasi halafu wanawake wa kichaga ni watu wa visasi sana aisee, all in all rest in peace Hamisi!Aisee dunia ina watu wana roho mbaya sana...
Yeah kwa Age gap hio mwanamke bado hakuwa amekomaa japo kisheria anaonekana ni mtu mzima ila wanawake wengi ukomavu huanzia 26 wanaochelewa kama huyu ni 28 and above anakuwa anajitambua!Wote wana miaka 25, watoto, Hakuna wa kuongoza mwenzake, haya ndo matokeo!
Imekaa kihainiWanatabia za ajabu sn hao watu, babu yangu alioa mchagga alikiwa anafanya kazi bank ya post kipindi huko ipo yenyewe tu nadhani, babu alichuma Mali za kutosha limama la kichaga (mkewe) alimuua kisha kutaifisha kila kitu na kukimbilia America miaka ya 90, binafsi kanda ya huko siwezi kuoa.
Mimi niliposoma nilidhani anatania kumbe alimaanisha kweli kutokujua...Grace maana yake Neema. Wapo wanaoitwa Rose na mtaani anazoeleka kama Waridi.
Wachagga hawaolewi na watu hopeless kama weweWanatabia za ajabu sn hao watu, babu yangu alioa mchagga alikiwa anafanya kazi bank ya post kipindi huko ipo yenyewe tu nadhani, babu alichuma Mali za kutosha limama la kichaga (mkewe) alimuua kisha kutaifisha kila kitu na kukimbilia America miaka ya 90, binafsi kanda ya huko siwezi kuoa.
Miaka 25 sio watoto acheni kujilemaza bhana ni ujinga tuu ambao Mwalimu alisema ni Adui yetu...Wote wana miaka 25, watoto, Hakuna wa kuongoza mwenzake, haya ndo matokeo!
Wachagga hawaolewi na watu hopeless kama wewe
Nakuunga mkono kwakuwa nina ishahidiwachaga sio wakuwaamini