Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,109
- 53,626
Kikwete na wapambe wake wakina MAKINDA na PINDA hawawezi kukubali iundwe tume ya bunge kufichua uchafu wao kwani bado wana maumivu ya athari za uchunguzi wa EPA!! Walikula hela za EPA kwa mgongo wa wakina MARANDA ; wakati Maranda na Farijalla wanaozea jela wao wako nje wanakula bata!!! Ukisikia nchi imenyimwa msaada wa Millenium Challenge kutoka marekani ujue itakuwa kwa sababu ya corruption ya fedha za ESCROW; kwani wafadhili wamelivalia njuga suala la rushwa hii!!
Wakinyimwa watapata akili,