Mmwaminifu
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 1,129
- 302
inavyoonekana Dar Express ndo alikuwa na makosa, mbona yuko upande wa kulia badala ya kushoto?
Most likely maana yuko kulia sana. May be alikuwa ana overtake.
inavyoonekana Dar Express ndo alikuwa na makosa, mbona yuko upande wa kulia badala ya kushoto?
kwa uchumi gani mlionao..?
Hizi ni hujma za CDM tu, ndo maana mdau wa CDM kawa wa kwanza kutoa taarifa.
inavyoonekana Dar Express ndo alikuwa na makosa, mbona yuko upande wa kulia badala ya kushoto?
Dar Express sina hamu nao kabisa! Juzi jmosi muda wa saa sita kuelekea saa saba eneo la Sango barabara ya Moshi - Njia panda dereva wa basi (namba sikuweza kuzikariri) alianza ku-overtake gari ya mbele yake ili hali mie nlikuwa natokea upande wa pili bado sijapishana nae! Ni busara ya kumpisha tu kidogo ndio iliyoniokoa vinginevyo angenigonga upande wote wa dereva! Leo kusoma kuwa wapata ajali sioni ajabu kwa sababu sielewi madereva huwa wanakuwa na haraka ya kukimbilia wapi! Japo sijui chanzo cha hiyo ajali sishangai kuona wamepata/sababisha ajali! Nilikuwa mteja/abiria wao mimi na familia yangu kwa muda mrefu ila tangu mwanzoni mwa mwaka huu nimebadilisha basi kwa sababu ufanisi ktk huduma zao ulififia kupita kiwango! Nawashauri madereva wa Dar Express kuwa makini barabarani. Poleni kwa ajali na pole kwa abiria wote waliosababishiwa usumbufu.