It seems so. Dar Express sio my favourite ilishapoteza mvuto tangu mzee Mremi kuwa na tabia ya fukuza fukuza ya madereva. Mabasi ya kistaarabu ya kutoka Arusha -Dar ni Kilimanjaro na Mtei tu. ajali za Dar express ziliongezeka exponentially baada ya madereva kutokuwa na security kufuatia sera mpya ya kuwafukuza hata kwa vikosa vidogo vya kuwahi au kuchelewa Dk 5
Yalikuwa yakitoka Arusha kuelekea Dar na Tanga, hakuna aliefariki ila kuna majeruhi ambao wamepelekwa kwenye hospitali ya Mombo..
inavyoonekana Dar Express ndo alikuwa na makosa, mbona yuko upande wa kulia badala ya kushoto?
dah poleni sana wahanga
Poleni sana. Nikiangalia hiyo picha inaonyesha kama Dar Express ndio ameingia lane ya Simba
pole yao.........ila huyu anayeshushwa kupitia dirisha sipati picha kama angekuwa amevaa sketi...........suruali muhimu tukiwa safarini ingawa ishu inakuja kwenye kuchimba dawa.View attachment 59776 watu wakiteremshwa kupitia kwa dirisha
Tuendeleze utamaduni wetu wa kuwajibika, sasa nani amejiuzulu hapo?Basi la Dar Express na simba mtoto yamegongana uso kwa uso maeneo ya wami.......
View attachment 59771
Tuendeleze utamaduni wetu wa kuwajibika, sasa nani amejiuzulu hapo?