Basi la Dar Express na simba mtoto yamegongana uso kwa uso maeneo ya wami.......
Yalikuwa yakitoka Arusha kuelekea Dar na Tanga, hakuna aliefariki ila kuna majeruhi ambao wamepelekwa kwenye hospitali ya Mombo..
hizi ajali naona sasa zimezidi nashauri kila baada ya kilomita 10 zijengwe hospitali za kisasa kwajili ya kupokea majerui na maiti
Kwa kweli, lbda Ilikua moja linatoka Dar kuja Ar na lingine. Kwenda Dar maana Ar to Tanga hupiti wami
Crashwise mbona unatuchanganya?
hizi ajali naona sasa zimezidi nashauri kila baada ya kilomita 10 zijengwe hospitali za kisasa kwajili ya kupokea majerui na maiti