barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,811
Wao wanasema leo na vid wanayo ila kituko ni jengo lililo posta linaonekana ila lissu hajafika posta...Hii picha ni Leo au wakati wa lowasa?
Wao wanasema leo na vid wanayo ila kituko ni jengo lililo posta linaonekana ila lissu hajafika posta...Hii picha ni Leo au wakati wa lowasa?
Lissu kapita posta?Wao wanasema leo na vid wanayo ila kituko ni jengo lililo posta linaonekana ila lissu hajafika posta...
Picha ipi mkuu au ndio umepanic?Lengo la picha yako ni nini?
Ama kwa hakika CDM isirudie kosa la kubadilisha gia angani na kutegemea waliokosa nafasi za udiwani, ubunge ama uraisi kutoka CCM. Ni lazima wajiamini ya kuwa wanao mtaji mkubwa wa Watanzania wanaowaunga mkono kwa hali na mali.Niwe mkweli nimpongeze RC Aboubakar Kunenge Mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama kwa kuruhusu wana CHADEMA na wafuasi wao kumpokea Makamu Mwenyekiti Mh.Tundu Lisu..
Niwapongeze wanachadema kwa utulivu wao wote kwa kipindi chote walichokuwa wanamsubiria Mh Tundu Lisu...kwa kweli wamekua watulivu sana muda wote hasa viongozi wao walikuwa wakiwasihi kuwa watulivu hasa eneo la Uwanja wa Ndege eneo ambalo ni la kibiashara,kiutalii na zaidi ni eneo sensitive sana .
Niwapongeze pia polisi kufanya kaz bila kufuata maagizo ya viongozi wa CCM
TAIFA letu linahitaji ushirikiano ili kuendelea kuwa na amani ili amani iendelee ku-maintai tunahitaji kulinda haki za bindamu,kuruhusu mawazo kinzani yenye kulisaidia Taifa.
Wapinzani pia kuacha kutumika wa watu wa magharibi kuvuruga amani yetu ..tuendeleze tamaduni zetu za kuheshimu mamlaka,kulinda mila na desturi zetu ...mwenye nacho apewe heshima.
Narudia tena kusema siasa zetu zisituchonganishe sisi sote ni ndugu ,wamoja na wote ni watanzania
View attachment 1518710
Hongera Mh Kunenge-Rc Kunenge
HONGERA polisi
Hongera CDM
Hongera wananchi wapenda demokrasia na maendeleo.
Dogo, soma uzi toka mwanzo usidandie treni kwa mbele! Angalia picha ukirasa wa kwanza.Picha ipi mkuu au ndio umepanic?
Nitaweka bossWeka picha halisi. View attachment 1518775
Mkuu umeongea kweli tupu..Mwenyezi Mungu ni mwema. Umati huu ni uthibitisho tosha wa mapenzi ya Watanzania kwa Chadema na Lissu. Na kama atatia mguu mikoani itakuwa hatari tupu.
Nyalandu na Membe wakae pembeni wamruhusu Lissu afanye yake.
Chama sio makao makuu ya kifahari, Chama ni watu.Sawa Washauri Hao Chadema wajenge Makao Makuu hivi hawaoni aibu??
Wewe mengine umeongea kweli lakini kwenye picha umedanganya
Kabisa tunahitaji Tz ya namna hiiHistoria mpya kwa Taifa hili imeandikwa leo hii
Angelikuwa makonda tayari watu wangeshapasuka
Hio hapo mkuu.Mkuu weka picha halisi hii picha ni ya mwaka 2015 enzi za Lowasa, sioni sababu za msingi za kutumia picha fake na wakati watu walikuwa wengi tu .
Nyalandu na Lissu ni brothers, they know what they are doing.Mwenyezi Mungu ni mwema. Umati huu ni uthibitisho tosha wa mapenzi ya Watanzania kwa Chadema na Lissu. Na kama atatia mguu mikoani itakuwa hatari tupu.
Nyalandu na Membe wakae pembeni wamruhusu Lissu afanye yake.