Dar es Salaam ya Kunenge ni raha sana

Dar es Salaam ya Kunenge ni raha sana

Niwe mkweli nimpongeze RC Aboubakar Kunenge Mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama kwa kuruhusu wana CHADEMA na wafuasi wao kumpokea Makamu Mwenyekiti Mh.Tundu Lisu..

Niwapongeze wanachadema kwa utulivu wao wote kwa kipindi chote walichokuwa wanamsubiria Mh Tundu Lisu...kwa kweli wamekua watulivu sana muda wote hasa viongozi wao walikuwa wakiwasihi kuwa watulivu hasa eneo la Uwanja wa Ndege eneo ambalo ni la kibiashara,kiutalii na zaidi ni eneo sensitive sana .

Niwapongeze pia polisi kufanya kaz bila kufuata maagizo ya viongozi wa CCM

TAIFA letu linahitaji ushirikiano ili kuendelea kuwa na amani ili amani iendelee ku-maintai tunahitaji kulinda haki za bindamu,kuruhusu mawazo kinzani yenye kulisaidia Taifa.

Wapinzani pia kuacha kutumika wa watu wa magharibi kuvuruga amani yetu ..tuendeleze tamaduni zetu za kuheshimu mamlaka,kulinda mila na desturi zetu ...mwenye nacho apewe heshima.

Narudia tena kusema siasa zetu zisituchonganishe sisi sote ni ndugu ,wamoja na wote ni watanzania
View attachment 1518710
Hongera Mh Kunenge-Rc Kunenge
HONGERA polisi
Hongera CDM
Hongera wananchi wapenda demokrasia na maendeleo.

Hii picha ni Leo au wakati wa lowasa?
 
Niwe mkweli nimpongeze RC Aboubakar Kunenge Mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama kwa kuruhusu wana CHADEMA na wafuasi wao kumpokea Makamu Mwenyekiti Mh.Tundu Lisu..

Niwapongeze wanachadema kwa utulivu wao wote kwa kipindi chote walichokuwa wanamsubiria Mh Tundu Lisu...kwa kweli wamekua watulivu sana muda wote hasa viongozi wao walikuwa wakiwasihi kuwa watulivu hasa eneo la Uwanja wa Ndege eneo ambalo ni la kibiashara,kiutalii na zaidi ni eneo sensitive sana .

Niwapongeze pia polisi kufanya kaz bila kufuata maagizo ya viongozi wa CCM

TAIFA letu linahitaji ushirikiano ili kuendelea kuwa na amani ili amani iendelee ku-maintai tunahitaji kulinda haki za bindamu,kuruhusu mawazo kinzani yenye kulisaidia Taifa.

Wapinzani pia kuacha kutumika wa watu wa magharibi kuvuruga amani yetu ..tuendeleze tamaduni zetu za kuheshimu mamlaka,kulinda mila na desturi zetu ...mwenye nacho apewe heshima.

Narudia tena kusema siasa zetu zisituchonganishe sisi sote ni ndugu ,wamoja na wote ni watanzania
View attachment 1518710
Hongera Mh Kunenge-Rc Kunenge
HONGERA polisi
Hongera CDM
Hongera wananchi wapenda demokrasia na maendeleo.
Ukaamua kutuwekea picha za mwaka 2015. Ila fresh tu.
 
Habari nzima inatiwa doa na picha ya Kampeni Mwaka 2015..Hilo Eneo ni Katikati ya Mji "Posta"...Ohio Street, Wizara ya Mambo ya ndani...sijaelewa why mwandishi ameamua kutumia uongo ku justfy hii issue...anaharibu credibility ya habari nzima.
 
Niwe mkweli nimpongeze RC Aboubakar Kunenge Mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama kwa kuruhusu wana CHADEMA na wafuasi wao kumpokea Makamu Mwenyekiti Mh.Tundu Lisu..

Niwapongeze wanachadema kwa utulivu wao wote kwa kipindi chote walichokuwa wanamsubiria Mh Tundu Lisu...kwa kweli wamekua watulivu sana muda wote hasa viongozi wao walikuwa wakiwasihi kuwa watulivu hasa eneo la Uwanja wa Ndege eneo ambalo ni la kibiashara,kiutalii na zaidi ni eneo sensitive sana .

Niwapongeze pia polisi kufanya kaz bila kufuata maagizo ya viongozi wa CCM

TAIFA letu linahitaji ushirikiano ili kuendelea kuwa na amani ili amani iendelee ku-maintai tunahitaji kulinda haki za bindamu,kuruhusu mawazo kinzani yenye kulisaidia Taifa.

Wapinzani pia kuacha kutumika wa watu wa magharibi kuvuruga amani yetu ..tuendeleze tamaduni zetu za kuheshimu mamlaka,kulinda mila na desturi zetu ...mwenye nacho apewe heshima.

Narudia tena kusema siasa zetu zisituchonganishe sisi sote ni ndugu ,wamoja na wote ni watanzania
View attachment 1518710
Hongera Mh Kunenge-Rc Kunenge
HONGERA polisi
Hongera CDM
Hongera wananchi wapenda demokrasia na maendeleo.

Kwa hiyo hao ndo washabiki wa chadema dar au kuna wengine? Maana hao ukiwahesabu hawazidi elfu moja hivy waliobaki majumbani tiseme nielfu tatu jumla 4000 ndo mtapata dar es 😁😁😁
 
Mafuriko ya lowassa hayo jombaa, wstu walikuwa wengi lete picha halisi
IMG_20200727_192801.jpg
 
Kuna kale kajitu kalikokuwa kana jimbwafai mwabafai hapo dar kamechukia sana huko kaliko kanatamani kangebaki kwenye ile nafasi amshughulikie lissu

Kajitu kabaya sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Kanakaa kwenye simu kanaangalia moyoni kanajisemea ningekuwa Mimi hawa wangenikoma...Lkn ndo hivo nafasi kameshaachia
 
Siasa ya chuki huatarisha amani.
Hakuna viongozi wa kisiasa hasa wa upinzani wanapenda amani itoweke ,usipokuwa viherehere wachache wanaodhani wakiwanyanyasa wapinzani wanapata credibility
Binafsi nimefurahishwa na kushangazwa na kitendo cha watu kujitokeza kwa wingi licha ya vitisho vya policcm. Yajayo yanafurahisha
 
Niwe mkweli nimpongeze RC Aboubakar Kunenge Mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama kwa kuruhusu wana CHADEMA na wafuasi wao kumpokea Makamu Mwenyekiti Mh.Tundu Lisu..

Niwapongeze wanachadema kwa utulivu wao wote kwa kipindi chote walichokuwa wanamsubiria Mh Tundu Lisu...kwa kweli wamekua watulivu sana muda wote hasa viongozi wao walikuwa wakiwasihi kuwa watulivu hasa eneo la Uwanja wa Ndege eneo ambalo ni la kibiashara,kiutalii na zaidi ni eneo sensitive sana .

Niwapongeze pia polisi kufanya kaz bila kufuata maagizo ya viongozi wa CCM

TAIFA letu linahitaji ushirikiano ili kuendelea kuwa na amani ili amani iendelee ku-maintai tunahitaji kulinda haki za bindamu,kuruhusu mawazo kinzani yenye kulisaidia Taifa.

Wapinzani pia kuacha kutumika wa watu wa magharibi kuvuruga amani yetu ..tuendeleze tamaduni zetu za kuheshimu mamlaka,kulinda mila na desturi zetu ...mwenye nacho apewe heshima.

Narudia tena kusema siasa zetu zisituchonganishe sisi sote ni ndugu ,wamoja na wote ni watanzania
View attachment 1518710
Hongera Mh Kunenge-Rc Kunenge
HONGERA polisi
Hongera CDM
Hongera wananchi wapenda demokrasia na maendeleo.
Leo lissu kapita posta maeneo ya ohio? Picha ni kwenye ile kona ya kuelekea tume ya uchaguzi dar maeneo ya karibu ya wizara ya mambo ya ndani.
 
Back
Top Bottom