Yeah strategic walioitumia n nzuri ..watu tuna msiba halafu ukaleta vurugu tena mtaani et upige watu virungu sio poa ...Hii issue hairatibiwi na Kunengee bali amri zinatoka Centricom na kubwa viongozi wa jeshi hasa TPDF wameingilia kuzuia kuvuruga msiba wa Amiri jeshi mkuuu mstaafu
Kwa Sasa kutokana na msiba TPDF are in charge na Unajua huwa hawatakagi ugomvi na wananchi ambao ikitokea vita ndio wanawategemea slogan yao ni UMOJA
Hii picha sio Tz....Niwe mkweli nimpongeze RC Aboubakar Kunenge Mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama kwa kuruhusu wana CHADEMA na wafuasi wao kumpokea Makamu Mwenyekiti Mh.Tundu Lisu..
Niwapongeze wanachadema kwa utulivu wao wote kwa kipindi chote walichokuwa wanamsubiria Mh Tundu Lisu...kwa kweli wamekua watulivu sana muda wote hasa viongozi wao walikuwa wakiwasihi kuwa watulivu hasa eneo la Uwanja wa Ndege eneo ambalo ni la kibiashara,kiutalii na zaidi ni eneo sensitive sana .
Niwapongeze pia polisi kufanya kaz bila kufuata maagizo ya viongozi wa CCM
TAIFA letu linahitaji ushirikiano ili kuendelea kuwa na amani ili amani iendelee ku-maintai tunahitaji kulinda haki za bindamu,kuruhusu mawazo kinzani yenye kulisaidia Taifa.
Wapinzani pia kuacha kutumika wa watu wa magharibi kuvuruga amani yetu ..tuendeleze tamaduni zetu za kuheshimu mamlaka,kulinda mila na desturi zetu ...mwenye nacho apewe heshima.
Narudia tena kusema siasa zetu zisituchonganishe sisi sote ni ndugu ,wamoja na wote ni watanzania
View attachment 1518710
Hongera Mh Kunenge-Rc Kunenge
HONGERA polisi
Hongera CDM
Hongera wananchi wapenda demokrasia na maendeleo.
Duh hiyo nyomi yooote mmmhhh..!! Afadhali serikali imetumia busara kuto vuruga mapokezi yenu, maana mngepata cha kusema.. Sasa najua CDM kimyaaa
Acha uongo. Hiyo picha haihusiani na tukio la leo. Mliipiga aje ?mlikuwa na drone ama. Naona hiyo ni vertical kabisa.Ndio mkuu
Tofauti n eneo la gari ilikopita ila nikikutumia video msafara n ule ule wa Leo...Angalia vzr tenaMbona tofauti?
Umeanza tena kupinga...hujaona mwandishi wa Hbr CHADEMA akiwa na drone tafuta video Zen angalia upande wako wa kulia utaona drone camera inatembeaAcha uongo. Hiyo picha haihusiani na tukio la leo. Mliipiga aje ?mlikuwa na drone ama. Naona hiyo ni vertical kabisa.
Sana nimedokezwa kuwa n kazi ya Mabeyo hiyo....Angekuwa Babu jinga ungesikia leo kuna Vifo. Hongera usalama. Mmekuwa smart as I advised.
Picha ya UONGONiwe mkweli nimpongeze RC Aboubakar Kunenge Mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama kwa kuruhusu wana CHADEMA na wafuasi wao kumpokea Makamu Mwenyekiti Mh.Tundu Lisu..
Niwapongeze wanachadema kwa utulivu wao wote kwa kipindi chote walichokuwa wanamsubiria Mh Tundu Lisu...kwa kweli wamekua watulivu sana muda wote hasa viongozi wao walikuwa wakiwasihi kuwa watulivu hasa eneo la Uwanja wa Ndege eneo ambalo ni la kibiashara,kiutalii na zaidi ni eneo sensitive sana .
Niwapongeze pia polisi kufanya kaz bila kufuata maagizo ya viongozi wa CCM
TAIFA letu linahitaji ushirikiano ili kuendelea kuwa na amani ili amani iendelee ku-maintai tunahitaji kulinda haki za bindamu,kuruhusu mawazo kinzani yenye kulisaidia Taifa.
Wapinzani pia kuacha kutumika wa watu wa magharibi kuvuruga amani yetu ..tuendeleze tamaduni zetu za kuheshimu mamlaka,kulinda mila na desturi zetu ...mwenye nacho apewe heshima.
Narudia tena kusema siasa zetu zisituchonganishe sisi sote ni ndugu ,wamoja na wote ni watanzania
View attachment 1518710
Hongera Mh Kunenge-Rc Kunenge
HONGERA polisi
Hongera CDM
Hongera wananchi wapenda demokrasia na maendeleo.
Sana nimedokezwa kuwa n kazi ya Mabeyo hiyo....
Bravo! Mtanzania halisi.Wana ccm wazoefu walijua
Mbinu hii ya ccm mpya haiwezi kuuwa upinzani
Baada ya miaka minne ya kuwavunja miguu; kuwauwa ; kuwafilisi leo Mgonjwa aliyekua wanadhani anakufa kawa kama vile kapata ARV zikamkubali ghfla ... mji wote umelipuka
Nadhani Magufuli Itabidi abadilishe kabisa washauri wake wa siasa
Ccm ya kina Nape na Kinana ilikua wanatambaaa na hoja hii ya nguvu imewapa nguvu zaidi upinZani
Alafu Taifa wameligawa tunashindwa kumzika Mkapa kwa umoja
Nilifikiri wewe ni cdm😉Acha uongo. Hiyo picha haihusiani na tukio la leo. Mliipiga aje ?mlikuwa na drone ama. Naona hiyo ni vertical kabisa.
Ndiyo uamini Mkuu kuiua Chadema si kazi rahisi, hata baada ya miaka mitano ya kudhalilishwa na kunyanyaswa kwa kila namna lakini BADO INADUNDA TU tena kwa NGUVU KUBWA.
Mimi sina chama. Huwa inategemea na topic. Mimi ni Analyst. Ndo maana kuna thread zingine nitasupport CCM,Upinzani. Kuna zingine nitacritisize CCM/Upinzani.Nilifikiri wewe ni cdm😉
Sawa mama👐Mimi sina chama. Huwa inategemea na topic. Mimi ni Analyst. Ndo maana kuna thread zingine nitasupport CCM,Upinzani. Kuna zingine nitacritisize CCM/Upinzani.
Inategemea na content.Mimi ni mkweli siongonzwi na chama. Nasimamia ukweli.
Weka picha halisi.Mkuu hiyo picha ni ya leo. Videos ninayo