Course Coordinator
JF-Expert Member
- Jul 27, 2019
- 1,738
- 3,228
Niwe mkweli nimpongeze RC Aboubakar Kunenge Mkuu wa mkoa wa Dar Es Salaam ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama kwa kuruhusu wana CHADEMA na wafuasi wao kumpokea Makamu Mwenyekiti Mh.Tundu Lisu..
Niwapongeze wanachadema kwa utulivu wao wote kwa kipindi chote walichokuwa wanamsubiria Mh Tundu Lisu...kwa kweli wamekua watulivu sana muda wote hasa viongozi wao walikuwa wakiwasihi kuwa watulivu hasa eneo la Uwanja wa Ndege eneo ambalo ni la kibiashara,kiutalii na zaidi ni eneo sensitive sana .
Niwapongeze pia polisi kufanya kaz bila kufuata maagizo ya viongozi wa CCM
TAIFA letu linahitaji ushirikiano ili kuendelea kuwa na amani ili amani iendelee ku-maintai tunahitaji kulinda haki za bindamu,kuruhusu mawazo kinzani yenye kulisaidia Taifa.
Wapinzani pia kuacha kutumika wa watu wa magharibi kuvuruga amani yetu ..tuendeleze tamaduni zetu za kuheshimu mamlaka,kulinda mila na desturi zetu ...mwenye nacho apewe heshima.
Narudia tena kusema siasa zetu zisituchonganishe sisi sote ni ndugu ,wamoja na wote ni watanzania
Hongera Mh Kunenge-Rc Kunenge
HONGERA polisi
Hongera CDM
Hongera wananchi wapenda demokrasia na maendeleo.
Niwapongeze wanachadema kwa utulivu wao wote kwa kipindi chote walichokuwa wanamsubiria Mh Tundu Lisu...kwa kweli wamekua watulivu sana muda wote hasa viongozi wao walikuwa wakiwasihi kuwa watulivu hasa eneo la Uwanja wa Ndege eneo ambalo ni la kibiashara,kiutalii na zaidi ni eneo sensitive sana .
Niwapongeze pia polisi kufanya kaz bila kufuata maagizo ya viongozi wa CCM
TAIFA letu linahitaji ushirikiano ili kuendelea kuwa na amani ili amani iendelee ku-maintai tunahitaji kulinda haki za bindamu,kuruhusu mawazo kinzani yenye kulisaidia Taifa.
Wapinzani pia kuacha kutumika wa watu wa magharibi kuvuruga amani yetu ..tuendeleze tamaduni zetu za kuheshimu mamlaka,kulinda mila na desturi zetu ...mwenye nacho apewe heshima.
Narudia tena kusema siasa zetu zisituchonganishe sisi sote ni ndugu ,wamoja na wote ni watanzania
Hongera Mh Kunenge-Rc Kunenge
HONGERA polisi
Hongera CDM
Hongera wananchi wapenda demokrasia na maendeleo.