Dar es Salaam ni lazima wafanyakazi wa ndani (housegirls) watoke mikoani?

Swahili AI

JF-Expert Member
Mar 2, 2016
6,171
46,713
Kila siku wafanyakazi wanatafutwa kutoka mikoa mingine na kwenda Dar Es Salaam. Hilo jiji halina watu wenye wanaoihitaji hizo kazi?

Kitakwimu ndio jiji lenye watu wengi nchini? Mbona kila kutwa ninyi ndio wakuletewa wafanya kazi wa ndani na wasaidizi wa kazi kutoka mikoani?

Sio kijana wa kukata majani, kusaidia kwenye biashara, wala sio dada wa kusaidia kazi za ndani. Wote wanatoka mikoani kuja Dar.

Wakwenu huko wamepatwa na nini?
 
Kila siku wafanyakazi wanatafutwa kutoka mikoa mingine na kwenda Dar Es Salaam.

Hilo jiji halina watu wenye wanaoihitaji hizo kazi?

Kitakwimu ndo jiji lenye watu wengi nchini?

Mbona kila kutwa ninyi ndo wakuletewa wafanya kazi wa ndani na wasaidizi wa kazi kutoka mikoani?

Sio kijana wa kukata majani, kusaidia kwenye biashara, wala sio dada wa kusaidia kazi za ndani. Woooote wanatoka mikoani kuja Dar.

Wakwenu huko wamepatwa na nini?
"Wakwenu huko wamepatwa na nini"? weka vizuri swali lako kwani umetuuliza kwanini tunachukua toka mikoani kisha unatushangaa kwanini hatuchukui toka kwetu ambako pia ni mikoani hukohuko.
 
Kila siku wafanyakazi wanatafutwa kutoka mikoa mingine na kwenda Dar Es Salaam.

Hilo jiji halina watu wenye wanaoihitaji hizo kazi?

Kitakwimu ndo jiji lenye watu wengi nchini?

Mbona kila kutwa ninyi ndo wakuletewa wafanya kazi wa ndani na wasaidizi wa kazi kutoka mikoani?

Sio kijana wa kukata majani, kusaidia kwenye biashara, wala sio dada wa kusaidia kazi za ndani. Woooote wanatoka mikoani kuja Dar.

Wakwenu huko wamepatwa na nini?

Jitolee wewe uwe wa Dar, sidhani kama umekatazwa
 
Back
Top Bottom