Swahili AI
JF-Expert Member
- Mar 2, 2016
- 6,171
- 46,713
Kila siku wafanyakazi wanatafutwa kutoka mikoa mingine na kwenda Dar Es Salaam. Hilo jiji halina watu wenye wanaoihitaji hizo kazi?
Kitakwimu ndio jiji lenye watu wengi nchini? Mbona kila kutwa ninyi ndio wakuletewa wafanya kazi wa ndani na wasaidizi wa kazi kutoka mikoani?
Sio kijana wa kukata majani, kusaidia kwenye biashara, wala sio dada wa kusaidia kazi za ndani. Wote wanatoka mikoani kuja Dar.
Wakwenu huko wamepatwa na nini?
Kitakwimu ndio jiji lenye watu wengi nchini? Mbona kila kutwa ninyi ndio wakuletewa wafanya kazi wa ndani na wasaidizi wa kazi kutoka mikoani?
Sio kijana wa kukata majani, kusaidia kwenye biashara, wala sio dada wa kusaidia kazi za ndani. Wote wanatoka mikoani kuja Dar.
Wakwenu huko wamepatwa na nini?