Dar es Salaam: Gharama za kujifungua ni Tshs 75,000. Uchaguzi huu unakupa nafasi ya kukataa uharamia huu

Lissu tunakuomba uzungumzie na maiti kudaiwa fedha. Kwa utamaduni wetu mtu akifiwa anapewa msaada , pole na kuonewa huruma lakini imekuwa tofauti. Rejea yule mama aliemtaimu Rais Muhimbili akamuomba amsadie maana mwili wa mumewe unadaiwa millioni tano. Mheshimiwa Tindu tusaie.
 
Lissu tunakuomba uzungumzie na maiti kudaiwa fedha. Kwa utamaduni wetu mtu akifiwa anapewa msaada , pole na kuonewa huruma lakini imekuwa tofauti. Rejea yule mama aliemtaimu Rais Muhimbili akamuomba amsadie maana mwili wa mumewe unadaiwa millioni tano. Mheshimiwa Tindu tusaie.
Biashara zote hufanywa kwa matumaini..

Kwani ni kukopesha mchele gari ikapinduka kabla ya kufika nyumbani mchele ukamwagika ..mwenye duka anaacha kukudai!?

Ukikopeshwa fedha benki, ukafika mtaani kwako zikaibwa ..benki watakusamehe kwa kuwa umeibiwa!?

Biashara ya hospitali inahitaji watu watumie dawa, walipe mishahara, wa lipe umeme na maji.. sasa umekaa hospitali miezi miwili na umeibiwa ila imeshindikana umefariki unataka tusamehe wakati maji umetumia, dawa umetumia na watu wamekuhudumia!?

Au ndio mnataka gharama hizo wawekewe wanaoumwa kichwa na kikohozi!? Maana ni lazima zilipwe!

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Biashara zote hufanywa kwa matumaini..

Kwani ni kukopesha mchele gari ikapinduka kabla ya kufika nyumbani mchele ukamwagika ..mwenye duka anaacha kukudai!?

Ukikopeshwa fedha benki, ukafika mtaani kwako zikaibwa ..benki watakusamehe kwa kuwa umeibiwa!?

Biashara ya hospitali inahitaji watu watumie dawa, walipe mishahara, wa lipe umeme na maji.. sasa umekaa hospitali miezi miwili na umeibiwa ila imeshindikana umefariki unataka tusamehe wakati maji umetumia, dawa umetumia na watu wamekuhudumia!?

Au ndio mnataka gharama hizo wawekewe wanaoumwa kichwa na kikohozi!? Maana ni lazima zilipwe!

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Akifuta na hii usirudi hapa, wewe una uwezo ndio unaongea mashudu.
 
Wajawazito wanaojifungulia kwenye Hospitali ya Rufaa ya Temeke , wale wanaojifungua kwa njia ya kawaida inawalazimu kulipia pesa taslimu ya kitanzania shilingi elfu 75 kama gharama ya kuzaa , Wale wanaojifungua kwa njia ya upasuaji wanapaswa kulipa zaidi ya Tsh laki 2 na yaweza hata kufika laki 2 unusu kutegemeana na complications .

Gharama hizi hazijumuishi gharama ya vifaa ambavyo mjamzito anapaswa kuingia navyo chumba cha uzazi ikiwemo pamba na gloves.

Kwahiyo basi uchaguzi huu unakupa nafasi ya kuchagua kuendelea kulipia gharama ya kuzaa au la , wale waliotuaminisha kwamba tuendelee kufyatua watoto kwa vile elimu ni bure ni vema wangeanzia kuondoa hii kodi ya kuzaa ili mambo yawe mepesi zaidi na kuwezesha wananchi kufyatua watoto kwa amani zaidi .
Mimi mtu wangu alijifungua kwa 350K Mwananyamala Hospitali
 
Ukiwa
Mwanza Bk na kwingineko ni bure ila Dsm ni pesa
Hasa hospital ya Rang tatu na viunga vyange na Temeke pia na ukitaka kuumia mkeo afanyiwe upasuaji
Ukitaka kufyatua ni mkoani na sio dsm
Natolea mfano sehemu nilizopita mkoani kagera mama mjamzito unatibiwa bure clinic bure dsm palestina mtu unajifungua bure.
 
Zilishafutwa na Raisi uko dunia gani mjamzito halipi chochote Raisi katamka leo tunduma

Sijaisikiliza hiyo hotuba yake yenye hilo tamko, kama ni kweli kasema hivyo kwa lengo la kupata kura kakosea sana.

Uchangiaji wa huduma kwa mama anaejifungua kwenye hospitali za rufaa ulikua na malengo makuu matatu

1. Kuzitegemeza hospitali hizo ziendelee kutoa huduma hiyo kwa kujiendesha angalau kwa asilimia kadhaa ( kuendesha kitengo cha
Mama na mtoto ni gharama sana, kwa hali ya kawaida ruzuku ya serikali haiwezi kutosha), pia kupata fungu la kuwalipa watumishi wa kitengo hicho posho za kuitwa kwa dharula na posho za kutoa huduma nje ya muda wa kazi ili kuwafanya waendelee kutekeleza majukumu yao kwa uweledi

2. Kuzipunguzia mzigo hospitali hizi za Rufaa ili watumishi wachache waliopo waweze kukidhi mahitaji ya wagonjwa wanaoletwa kutoka vituo vya chini wakiwa na changamoto zilizoshindikana, hii ni kwasababu sasa karibu 70% ya vituo vya Afya vimeboreshwa na kuwezeshwa kutoa huduma ya uzazi salama (CEMONC). Hivyo kukiwa na gharama huko juu, idadi kubwa ya wateja watakimbilia huku chini ambako huduma ni za burw na ni bora zaidi kwasababu wahudumu hawana mzigo mzito hivyo wanapata muda wa kuhudumia wateja wao kwa ukaribu.

3. Kutekeleza sera ya shirika la Fedha duniani ya uchangiaji katika huduma tunazopatiwa kwa pesa za wahisani (cost sharing).
 
Sasa 75,000 ina gharama gani wakati inakuletea mwana.
Mbona mnalala na wanawake mbaka kwa laki 1 na hamsini ili ukojoe tu.
Kiongozi, naona kama umeiweka jamii yote kwenye level yako, na pengine level ya uzinzi, sio wote wanaoingia leba wana waume/wanaume na tena wenye huo uwezo ulioutaja.

Kumbuka bado kipato cha rai mmoja mmoja katika hii nchi hakijafika dola 3000 kwa mwaka
 
Wajawazito wanaojifungulia kwenye Hospitali ya Rufaa ya Temeke , wale wanaojifungua kwa njia ya kawaida inawalazimu kulipia pesa taslimu ya kitanzania shilingi elfu 75 kama gharama ya kuzaa , Wale wanaojifungua kwa njia ya upasuaji wanapaswa kulipa zaidi ya Tsh laki 2 na yaweza hata kufika laki 2 unusu kutegemeana na complications .

Gharama hizi hazijumuishi gharama ya vifaa ambavyo mjamzito anapaswa kuingia navyo chumba cha uzazi ikiwemo pamba na gloves.

Kwahiyo basi uchaguzi huu unakupa nafasi ya kuchagua kuendelea kulipia gharama ya kuzaa au la , wale waliotuaminisha kwamba tuendelee kufyatua watoto kwa vile elimu ni bure ni vema wangeanzia kuondoa hii kodi ya kuzaa ili mambo yawe mepesi zaidi na kuwezesha wananchi kufyatua watoto kwa amani zaidi .
Ulitumia shs ngapi kuchochea hiyo mimba?
 
Back
Top Bottom