BUBE
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 846
- 253
Ni sawa, lakini ni vema kujuzana. Kimsingi ni vema kumfahamu nyoka aliyekuuma. Ila huduma ya kwanza mbali na kufunga juu ya eneo uliloumwa, unashauriwa kuchanga na kujaribu kukamua sumu (wengine hushauri mtu afyonze sumu -endapo hana kidonda mdomoni). Hii ya kuchanga na kulazimisha damu kuchuuzika/kutoka hupunguza kiwango cha sumu kinachoelekea kwenye moyo
Loh. . . pole sana.
Mi najua huduma ya kwanza kabisa ni kufunga juu kidogo ya ulipogongwa ili sumu isisambae, au hata hiyo tu walishindwa?