Dalili za kwamba mwanamke hakufai

Dalili za kwamba mwanamke hakufai

Sim ya mkononi sio kitu cha kushirikiana, ndio mana line inasajiliwa kwa jina la mtu mmoja, kama mnataka kuchunguzana kwenye sim basi nunua sim za TTCL za mezan, mambo ya kupekuana pekuana hayana maana kabisa.
Mmh,,walewale akina wife material, hiv ujui kama ucpouchambu mchele unakula chuyaaaa.
 
Mmh,,walewale akina wife material, hiv ujui kama ucpouchambu mchele unakula chuyaaaa.


Ugomvi mwingi siku hizi ndani ya mahusiano chanzo chake ni sim, mtu kama unahisi kuna mapungufu kwa mwenzio kaa chini muulize. hata hivyo kukaa kuchunguzana chunguzana ni ishara ya kutojiaminii. "ukimchunguza sana bata njia zake huwezi mla"
 
anasafar na route ming zisizoeleka kama kikwete

du.jpg

umesemaaa?
Chunga sana dogo huyo ndie mwenye 'inji' hii lakini.
 
Anazira muda mreefu,ukimuongelesha kala jiwe tu!eboh kwani yeye mlinzi wa rais:what: hakuanzi kwenye game lazima wewe ndo uanze yaani akiwa na genye hasemi,hajali muonekano wako ukitoka ye Vyovyote ulivyo poa tu,anabishana karibia kila hoja unayoiibua,hakuulizi hata umfanyie visa eg kuchelewa kurudi,kuongea na jinsia mingine muda mrefu etc
 
huyuuu ni my hawa copyright sifa zote anazooo so sorry for her
 
Ugomvi mwingi siku hizi ndani ya mahusiano chanzo chake ni sim, mtu kama unahisi kuna mapungufu kwa mwenzio kaa chini muulize. hata hivyo kukaa kuchunguzana chunguzana ni ishara ya kutojiaminii. "ukimchunguza sana bata njia zake huwezi mla"
Mh!mi simu yangu hata akitaka akae nayo wiki sina mawazo kabisa,kwangu simu siwezi kumkataza asipekue
 
Anapenda taarabu na mistar ya vijembe yote ipo kichwan ukimkwaruza tu ameimba halaf utasikia "KANTANGAZE....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom