Umesahau hii "anapenda kuchart ila ukifungua inbox ya simu yake unakuta empty "
hahahahahahh! Linakushukaje sasa!
Umesahau hii "anapenda kuchart ila ukifungua inbox ya simu yake unakuta empty "
Mambo kuhusu familia mliyoongea chumbani,unayasikia kwa jirani zako!!
Kazi kusema wanawake tu,je na wanaume wanaonaenda kuoga na sim kwenye bukta!na wakati wa usiku yupo busy na cm muda wote ukiuliza anadai anafuatiria mechi!KWA UFUPI HAKUNA MSAFI WOTE TUNA MAPUNGUFU.
wakati wakufanya mapenzi, anatoa miguno ya kizungu...
Hata sent items pia hukuti kitu!
1. Hutumia muda mwingi kujiremba kujipaka vipodozi.
2. Ni mzito sana katika shughuli za kujishughulisha au hata kujifanyia usafi hata nyumba aishiyo.
3. Hupenda kulala mchana huku akiwa mkali katika kutoa maelekezo kwa housegirl wake.
4. Huwa katika Facebook na mitandao mingine kwa muda mrefu.
5. Hupenda mambo ya hali ya juu yamfikie kimiujiza bila kujishughulisha.
6. Simu yake kuigusa ni lazima pachimbike japo ni mkeo.
WADAU TWAWEZA ZIENDELEZA ZAIDI.
haielezeki, na ikielezeka basi mods watahide hii thread...Ya kiswahili ni ipi kizuri kula na wenzio basi ...
Umesahau hii "anapenda kuchart ila ukifungua inbox ya simu yake unakuta empty "
Ni rahisi kukuachia tigo kuliko simu yake
Dalili Zote Mke Wangu Anazo Ila Sio Changudoa.
mbona hujamalizia kuwa huwa anaweka order ya pesa badala ya kuomba kwa heshima?mf,nataka jumapili kwenda salon,nahitaji elf 50
1. Hutumia muda mwingi kujiremba kujipaka vipodozi.
2. Ni mzito sana katika shughuli za kujishughulisha au hata kujifanyia usafi hata nyumba aishiyo.
3. Hupenda kulala mchana huku akiwa mkali katika kutoa maelekezo kwa housegirl wake.
4. Huwa katika Facebook na mitandao mingine kwa muda mrefu.
5. Hupenda mambo ya hali ya juu yamfikie kimiujiza bila kujishughulisha.
6. Simu yake kuigusa ni lazima pachimbike japo ni mkeo.
WADAU TWAWEZA ZIENDELEZA ZAIDI.
Umesahau hii "anapenda kuchart ila ukifungua inbox ya simu yake unakuta empty "
Kazi kusema wanawake tu,je na wanaume wanaonaenda kuoga na sim kwenye bukta!na wakati wa usiku yupo busy na cm muda wote ukiuliza anadai anafuatiria mechi!KWA UFUPI HAKUNA MSAFI WOTE TUNA MAPUNGUFU.