baby boy17
JF-Expert Member
- Apr 10, 2014
- 297
- 117
wakati wakufanya mapenzi, anatoa miguno ya kizungu...
duh! Hebu toa mfano kidogo
wakati wakufanya mapenzi, anatoa miguno ya kizungu...
me nasikiaga tu, sijaikariri....duh! Hebu toa mfano kidogo
Kazi kusema wanawake tu,je na wanaume wanaonaenda kuoga na sim kwenye bukta!na wakati wa usiku yupo busy na cm muda wote ukiuliza anadai anafuatiria mechi!KWA UFUPI HAKUNA MSAFI WOTE TUNA MAPUNGUFU.
Dalili Zote Mke Wangu Anazo Ila Sio Changudoa.