Dalili za kuchokwa na mpenzi wako

Dalili za kuchokwa na mpenzi wako

1.Hupigiwi simu hadi umpigie
2.Hutumiwi sms hadi utume
3.Usipomtafuta halalamiki wala hakuulizi
4.Ukimpigia anakwambia yupo bize.
5.Ukimpigia simu ucku anakwambia anataka kulala au simu haina charge ukikaa kidogo ukipiga tena no. Bize.
UKIONA HIVYO UJUE HAPO HUNA CHAKO KAA TU PEMBE UANGALIE USAARABU MWINGINE WALA USISUBIRI KUAMBIWA UMECHOKWA.


Siamini kama haya ni yakweli everlenk , nisaidie maana hatujasalimia tangu uholanzi amfunge mexico.
 
Last edited by a moderator:
Na ukipigiwa simu mpaka keroo na penyewee inakuwajeee???
 
1.Hupigiwi simu hadi umpigie
2.Hutumiwi sms hadi utume
3.Usipomtafuta halalamiki wala hakuulizi
4.Ukimpigia anakwambia yupo bize.
5.Ukimpigia simu ucku anakwambia anataka kulala au simu haina charge ukikaa kidogo ukipiga tena no. Bize.
UKIONA HIVYO UJUE HAPO HUNA CHAKO KAA TU PEMBE UANGALIE USAARABU MWINGINE WALA USISUBIRI KUAMBIWA UMECHOKWA.

Haswaaaaaaah ndo janja ya wanaume
 
Wale wakali wa terminal wanasema ukiona manyoya ujue kaliwa ...hivyo viashiria tajwa hapo juu ni evidence za kutosha km sasa unatokea bench (sub) kuna usajil mpya umefanyika so ni maaumuz kuendelea kusugua bench au kuhama timu ucsubir kutolewa kwa mkopo utajuta ....
 
1.Hupigiwi simu hadi umpigie
2.Hutumiwi sms hadi utume
3.Usipomtafuta halalamiki wala hakuulizi
4.Ukimpigia anakwambia yupo bize.
5.Ukimpigia simu ucku anakwambia anataka kulala au simu haina charge ukikaa kidogo ukipiga tena no. Bize.
UKIONA HIVYO UJUE HAPO HUNA CHAKO KAA TU PEMBE UANGALIE USAARABU MWINGINE WALA USISUBIRI KUAMBIWA UMECHOKWA.

Umechambua vizuri na inaeleweka ila namba tano ina walakini kwa maana wapenzi wasiojiamini au waliochepuka huko nyuma huitumia sana kwa kudhania nao wanaibiwa. Unakuta mwanamke unampigia simu mchana au jioni hapokei eti akitaka kulala ndo anakucheki ili akuage na alfajiri sana anaamkia kukusabahi ukweli hii ina madhumuni mawili moja anaonyesha anajali ya pili ambayo ndo muhimu kwao anakumonitor kwa kinga ya salamu kuangalia iwapo utapokea simu. Jamani hakuna ratiba maalumu ukweli kuna wakati mpenzi wako anakuwa kachoka kalala lakini sababu ya kuwa na wasiwasi ni kuwaza unagegedewa tu ndo maana simu zinatumika kumonitor. Tukumbuke mpenzi wako akihisi humuamini unamchungachunga kwa makusudi anaweza asijibu simu kuangalia trust yako kwake maana mapenzi ni trust
 
1.Hupigiwi simu hadi umpigie
2.Hutumiwi sms hadi utume
3.Usipomtafuta halalamiki wala hakuulizi
4.Ukimpigia anakwambia yupo bize.
5.Ukimpigia simu ucku anakwambia anataka kulala au simu haina charge ukikaa kidogo ukipiga tena no. Bize.
UKIONA HIVYO UJUE HAPO HUNA CHAKO KAA TU PEMBE UANGALIE USAARABU MWINGINE WALA USISUBIRI KUAMBIWA UMECHOKWA.[/Q


kumbe ndivyo ilivyo!!!!!!!!!!!!
 
Kuna wengine ving'ang'anizi usiombe.Pamoja na hizo zote hapo juu habanduki...anasubiri aambiwe baby its over!!
 
Back
Top Bottom