Dalili za kuchokwa na mpenzi wako

Dalili za kuchokwa na mpenzi wako

Mimi napigiwa baada ya siku tatu,nikituma text sijibiwi.kwahiyo sina changu tena nichepuke polepole

Ha ha jipange shogayangu kabla hujapangwa! wanaanzaga hivyo hivyo ukimfuatilia kwa rula utabaini tuu ukwelu.
 
Kuna wengine ving'ang'anizi usiombe.Pamoja na hizo zote hapo juu habanduki...anasubiri aambiwe baby its over!!

Hi hi hi na hicho kipengele cha kumwambia BABY ITS OVER KIGUMUU saana mi huwa naaply formula hii hii alo imention mleta uzi.
 
Hivi kwanini mtu ahangaike kumfanyia yote hayo mwenzake, si bora kuwa wazi tu uhusiano uishe kuliko kupotezeana muda

Pagumu sometimes unakuta mwenzio hajakukosea ila tu ume meet na pakashume mwingine ukahisi unamfeel kuliko ulonae.
 
1.Hupigiwi simu hadi umpigie
2.Hutumiwi sms hadi utume
3.Usipomtafuta halalamiki wala hakuulizi
4.Ukimpigia anakwambia yupo bize.
5.Ukimpigia simu ucku anakwambia anataka kulala au simu haina charge ukikaa kidogo ukipiga tena no. Bize.
UKIONA HIVYO UJUE HAPO HUNA CHAKO KAA TU PEMBE UANGALIE USAARABU MWINGINE WALA USISUBIRI KUAMBIWA UMECHOKWA.

@ kuchangumu hii ni kwa wasio na ndoa au na wenye ndoa wapo km wapo hii na 5 imekaaje sasa sijaipata uzuri kwa wenye ndoa ama haiwahusu?
 
Mapenzi ya siku hizi ni ya kuyasikilizia kichwani kama stem za pombe ukiyasikilizia moyoni yanatesa.
 
@ kuchangumu hii ni kwa wasio na ndoa au na wenye ndoa wapo km wapo hii na 5 imekaaje sasa sijaipata uzuri kwa wenye ndoa ama haiwahusu?
 
1.Hupigiwi simu hadi umpigie
2.Hutumiwi sms hadi utume
3.Usipomtafuta halalamiki wala hakuulizi
4.Ukimpigia anakwambia yupo bize.
5.Ukimpigia simu ucku anakwambia anataka kulala au simu haina charge ukikaa kidogo ukipiga tena no. Bize.
UKIONA HIVYO UJUE HAPO HUNA CHAKO KAA TU PEMBE UANGALIE USAARABU MWINGINE WALA USISUBIRI KUAMBIWA UMECHOKWA.

Hili nalo neno
 
1.Hupigiwi simu hadi umpigie
2.Hutumiwi sms hadi utume
3.Usipomtafuta halalamiki wala hakuulizi
4.Ukimpigia anakwambia yupo bize.
5.Ukimpigia simu ucku anakwambia anataka kulala au simu haina charge ukikaa kidogo ukipiga tena no. Bize.
UKIONA HIVYO UJUE HAPO HUNA CHAKO KAA TU PEMBE UANGALIE USAARABU MWINGINE WALA USISUBIRI KUAMBIWA UMECHOKWA.

Nimekusoma
 
1.Hupigiwi simu hadi umpigie
2.Hutumiwi sms hadi utume
3.Usipomtafuta halalamiki wala hakuulizi
4.Ukimpigia anakwambia yupo bize.
5.Ukimpigia simu ucku anakwambia anataka kulala au simu haina charge ukikaa kidogo ukipiga tena no. Bize.
UKIONA HIVYO UJUE HAPO HUNA CHAKO KAA TU PEMBE UANGALIE USAARABU MWINGINE WALA USISUBIRI KUAMBIWA UMECHOKWA.

..dah! mimi siwezi kusubiri ifike ata namba 3! nakua nishaota mbawa siku nyingi!
 
Back
Top Bottom