Dalili za kuchokwa na mpenzi wako

Dalili za kuchokwa na mpenzi wako

Visa vya nn sasa, unampa kavu tu nimekuchoka, basi mchezo kwisha
 
Mmmh!! wacha nicheke mie
. 1412069715313.jpg
 
mhhhh nipoo kwenye
uhusiano ambao bado mchanga
dalili hizo zipoo
duuuuu ndo kuchokwaaa
nikimbiageee mapemaa mieee:thumbup::thumbup:😕
 
1.Hupigiwi simu hadi umpigie
2.Hutumiwi sms hadi utume
3.Usipomtafuta halalamiki wala hakuulizi
4.Ukimpigia anakwambia yupo bize.
5.Ukimpigia simu ucku anakwambia anataka kulala au simu haina charge ukikaa kidogo ukipiga tena no. Bize.
UKIONA HIVYO UJUE HAPO HUNA CHAKO KAA TU PEMBE UANGALIE USAARABU MWINGINE WALA USISUBIRI KUAMBIWA UMECHOKWA.

Hahahahahah safi sana kumbe ni kweli hahaha asanteh sana mkuu ubarikiwe sana me ndio maana niiampotezea maana ana vijitabia hivyohivyo tena sasa huyu ukimpigia Mara ooh nipo kwenye discussion mpaka SAA tank ucku na akipokea kama ni ucku eti nimechoka na akipokea mchana Mara oooh disccusion na kama ni weekend eti ooh nipo mjini
 
Hivi kwanini mtu ahangaike kumfanyia yote hayo mwenzake, si bora kuwa wazi tu uhusiano uishe kuliko kupotezeana muda
 
Kama hana cm na anatabia yakuazima cm kwa watu ili akupigie, ukikuta cku nying znapta hafanyi hivyo ujue amempata wakumnunulia cm acpate tabu ya kuazma cm kwa watu
 
Ongeza na hii kuficha ficha simu na kuweka password
 
Nyingine! Ukimpigia simu ! Simu inakatwa.kama ni mchunguzi inasoma tu line busy hapo jua huna lako!
 
1.Hupigiwi simu hadi umpigie
2.Hutumiwi sms hadi utume
3.Usipomtafuta halalamiki wala hakuulizi
4.Ukimpigia anakwambia yupo bize.
5.Ukimpigia simu ucku anakwambia anataka kulala au simu haina charge ukikaa kidogo ukipiga tena no. Bize.
UKIONA HIVYO UJUE HAPO HUNA CHAKO KAA TU PEMBE UANGALIE USAARABU MWINGINE WALA USISUBIRI KUAMBIWA UMECHOKWA.
haiwahusu wanandoa hii
 
Back
Top Bottom