Dalili muhimu za mwanamke aliefika kileleni

Dalili muhimu za mwanamke aliefika kileleni

hahaha mkuu bao lenyewe ulopiga lime last 4 minutes na 23 seconds na yet una guts zakuuliza whatever unailiza lol
eti sijui umefanyaje? ebu rudia tena kama mwanamme kweli ,sasa huyo anaeuliza anavyopiga kelele akifika anapopandisha mlima ana ku put off,akimaliza hapo unaweza sema atakufia anakulalia kifuani na usingizi juu na unajua mtu akilala anavyokua mzito lol.........tafran tupu siku akikwambia we meet again unaanza kusema mashaka hayooooooooo yanakuja kunishukia manake ana kushushia dunia kuipandisha hawezi...lol
Inaonekana unaexperiebxe sana...ntakutafuta
 
hahaha mkuu bao lenyewe ulopiga lime last 4 minutes na 23 seconds na yet una guts zakuuliza whatever unailiza lol
eti sijui umefanyaje? ebu rudia tena kama mwanamme kweli ,sasa huyo anaeuliza anavyopiga kelele akifika anapopandisha mlima ana ku put off,akimaliza hapo unaweza sema atakufia anakulalia kifuani na usingizi juu na unajua mtu akilala anavyokua mzito lol.........tafran tupu siku akikwambia we meet again unaanza kusema mashaka hayooooooooo yanakuja kunishukia manake ana kushushia dunia kuipandisha hawezi...lol
Unawatoa wapi wa ivo?
 
Foreplay dk 1 afu unapata guts za kumuuliza mwanamke umekojoa..wanaume mjirekebishe jmnn...inakera mtu anataka aenjoy yeye tuu,..
Haaaaaaaah haaaaaaaah dear umenifurahisha sana, mijanaume ya hivi naiita majogoo, coz jogoo hana muda wa foreplay. Sasa imagine mwendo wa jogoo then mtu eti "darling umefika kileleni?" Nyoooooo kama mwanamke umemkojoza wewe kidume huna sababu ya kumuuliza, utamuona tu anavyo behave kama mleta uzi alivyoeleza!
 
Badala ya kufanya utafiti ni jinsi gani ccm itaondoka madarakani wewe wewe unafanya utafiti jinsi ya kuwakojolesha wanawake..kweli Trump hakukosea kusema Africa ilitakiwa itawaliwe tena
 
Foreplay dk 1 afu unapata guts za kumuuliza mwanamke umekojoa..wanaume mjirekebishe jmnn...inakera mtu anataka aenjoy yeye tuu,..
Haaaaaaaah haaaaaah umenichekesha sana dear! Mijanaume ya sampuli hii huwa naiita majogoo coz jogoo hana muda wa foreplay. Sasa janaume linakwenda mwendo wa jogoo then baada ya dakika tano unalisikia linaunguruma eti "vipi na wewe tayari" Nyooo*** oooo!! Kama wewe kweli kidume, ukimkojoza mwanamke huna haja ya kumuuliza umekojoa, utafahamu tu coz utamuona anavyo behave, hawezi kuwa kama alivyoingia. Big up kwa mleta uzi, ni kidume kizuri! Dume la mbegu sio jogoo!
 
Kiongozi, wewe dk ngapi hasa unahisi kinanihii kimesuguliwa na kutosheka? Obviously 4mins ain't enough, nasikia 'eti' wadada wanachukua mda mrefu kufika kibo! Mi bado mdogo...
Lol..........Nimeshakua mtu mzina mwenzio hua naona aibu kuongea vitu vyengine hata kama unioni...
 
Back
Top Bottom