Dalili muhimu za mwanamke aliefika kileleni

Dalili muhimu za mwanamke aliefika kileleni

hahaha mkuu bao lenyewe ulopiga lime last 4 minutes na 23 seconds na yet una guts zakuuliza whatever unailiza lol
eti sijui umefanyaje? ebu rudia tena kama mwanamme kweli ,sasa huyo anaeuliza anavyopiga kelele akifika anapopandisha mlima ana ku put off,akimaliza hapo unaweza sema atakufia anakulalia kifuani na usingizi juu na unajua mtu akilala anavyokua mzito lol.........tafran tupu siku akikwambia we meet again unaanza kusema mashaka hayooooooooo yanakuja kunishukia manake ana kushushia dunia kuipandisha hawezi...lol
Hahahaha haha haha.. Lolz.

Hapa lazima personal experience imehusika.
 
hahaha mkuu bao lenyewe ulopiga lime last 4 minutes na 23 seconds na yet una guts zakuuliza whatever unailiza lol
eti sijui umefanyaje? ebu rudia tena kama mwanamme kweli ,sasa huyo anaeuliza anavyopiga kelele akifika anapopandisha mlima ana ku put off,akimaliza hapo unaweza sema atakufia anakulalia kifuani na usingizi juu na unajua mtu akilala anavyokua mzito lol.........tafran tupu siku akikwambia we meet again unaanza kusema mashaka hayooooooooo yanakuja kunishukia manake ana kushushia dunia kuipandisha hawezi...lol
Mmmh inaonekana una uzoefu na hawa watu.
 
hahaha mkuu bao lenyewe ulopiga lime last 4 minutes na 23 seconds na yet una guts zakuuliza whatever unailiza lol
eti sijui umefanyaje? ebu rudia tena kama mwanamme kweli ,sasa huyo anaeuliza anavyopiga kelele akifika anapopandisha mlima ana ku put off,akimaliza hapo unaweza sema atakufia anakulalia kifuani na usingizi juu na unajua mtu akilala anavyokua mzito lol.........tafran tupu siku akikwambia we meet again unaanza kusema mashaka hayooooooooo yanakuja kunishukia manake ana kushushia dunia kuipandisha hawezi...lol
[emoji1] [emoji2] [emoji11] [emoji1]
 
Dem wangu akikaribia kupizi huwa anatetemeka sana afu anatoa mlio fulani hivi hadi huluma huku akiwa amenibana sana kiunoni na baada ya kuhitimisha analegea kama kakata roho vile.
Kuna siku atakata kweli.. Shauri yako
 
Normally Mwanamme unatakiwa uwe umejipanga, siwanasema kabla ya mechi zoezi? asiende kwa ajili ya kuweka idadi katembea na wangapi aweke HESHIMA sababu ameshavua nguo ,huenda yeye ana 35 kamvulia nguo msichana wa 22-25
na still ukafanya madudu laitani angekua anajua aibu yake angechukua age mate wake..lol...........
Shida mtu unaetembea naye ankusense? Maana sawa mtu anaweza mchukua dem kufika hata bao moja unaomba dk 1 ifike hafaka kulingana alivyo

Wanawake wanauzuri wa aina 4;

1; outlook
2; urembo baada ya kuvua
3; uzuri wa ndani, Kuna staffs nyingi hapa
4; ujuzi kukata mauno nk

Wanawake waliowengi hasa dar series hiyo hawana, hii husababisha poor performance kwa wanaume wengi

So mwanaume anapopafom poor Mara nyingi shida ni mwanamke

Ni kama vile mtu unaweza kula kidogo kwa sababu chakula kibovu au huna hamu ya chakula. Tujichunguze

Kuna baadhi ya wadada romance unashindwa uanzie wapi anavokodoa jicho utazani bulb
 
hahaha mkuu bao lenyewe ulopiga lime last 4 minutes na 23 seconds na yet una guts zakuuliza whatever unailiza lol
eti sijui umefanyaje? ebu rudia tena kama mwanamme kweli ,sasa huyo anaeuliza anavyopiga kelele akifika anapopandisha mlima ana ku put off,akimaliza hapo unaweza sema atakufia anakulalia kifuani na usingizi juu na unajua mtu akilala anavyokua mzito lol.........tafran tupu siku akikwambia we meet again unaanza kusema mashaka hayooooooooo yanakuja kunishukia manake ana kushushia dunia kuipandisha hawezi...lol
Kama mwanamke akiandaliwa vizuri akaiva dk 4 na 23 sec hazifiki labda labda awe seaxual active kiasi kwamba anaingiliwa hajawa tayari kama akiwa tayari na wewe ni hard worker mbona dk 4 nyingi, wengi humu huwa mnafanya partial kwenye romance ndo maana wanajitapa dk 30

Hivi dk 30 unasukuma na kutoa mnaziona za mchezo au mtu anakuna dk anapumzika then anasema nmemaliza saa 1 lakini ukikuna continuously na mwanamke ameiva dk chache sana
 
kademu kangu ka chuo kakiwa kanakaribia kufika kileleni,huwa kanaanza kuongea broken english isiyoeleweka.

kakishaanza kuongea hiyo broken english yake huwa najuwa dhahiri shahiri wale wazungu wake hawatanii,wapo karibu kufika.wakati na mimi huwa nazidisha kutoa show ya kibabe ili kazidi kubwabwaja zaidi.
 
Shida mtu unaetembea naye ankusense? Maana sawa mtu anaweza mchukua dem kufika hata bao moja unaomba dk 1 ifike hafaka kulingana alivyo

Wanawake wanauzuri wa aina 4;

1; outlook
2; urembo baada ya kuvua
3; uzuri wa ndani, Kuna staffs nyingi hapa
4; ujuzi kukata mauno nk

Wanawake waliowengi hasa dar series hiyo hawana, hii husababisha poor performance kwa wanaume wengi

So mwanaume anapopafom poor Mara nyingi shida ni mwanamke

Ni kama vile mtu unaweza kula kidogo kwa sababu chakula kibovu au huna hamu ya chakula. Tujichunguze

Kuna baadhi ya wadada romance unashindwa uanzie wapi anavokodoa jicho utazani bulb
Mmmmmhhhhhhhh
[emoji12] [emoji13] [emoji12]
 
Nimenong'onezwa hapa kwamba........umeendelea kudanganywa.......
 
Kwa nini tunapata shida kutafuta dalili muhimu za mwanamke aliefika kileleni?....Si wanawake watuambie tu wenyewe hizo dalili???[emoji17] [emoji17] [emoji17]

sio kila mwanamke ameshawai kupata deep orgasm,ndo mana unaona hata reply za wanawake ni chache,hii inamaanisha wengi wao hua wanaishia kuziskia mitandaoni,
 
Wanaume wengi sana hua tunadanganywa na wenza wetu kua tumewaridhisha vya kutosha lakini ukweli hua hakuna kitu

Hua wanafanya kwa nia njema tu kwani wanaume hua tunajiskia amani sana kuambiwa umemfikisha mtoto wa kike kwani ni jambo la kishujaa kama trumph uchaguzi us

kwa uzoefu wangu,mwanamke aliefika kileleni hua anakua hivi bila hata kuuliza au kusubili kuambiwa

1.MWILI KUISHIWA NGUVU

mwanamke aliefika orgasm hua anaishiwa nguvu mwili baada ya safari ndefu ya mikito,ukiona baada ya sex msichana anauwezo wa kufanya kazi nzito nzito jua umefanya kazi butu sio mpaka uambiwe

2.KUPITIWA NA USINGIZI BAADA YA MECHI

ukiona ka beby kako kamepitiwa na usingiz gafla baada ya sex jua kaz imeenda sawia,ikumbukwe kufika orgasm ni mechanism inzito,

3.MUSCULAR CONTRACTION

mwanamke anaekalibia/ aliefika kileleni misuli hubana na kuachia ,hii ni kwa mwili mzima hadi kwenye vagina,hilitendo pia hufuatiwa na mwili kutoa jasho.
ukiona ivo ujue kazi zimeenda sawia

wakuu huu ni uzoefu wangu niliopata nikiwa field,

ukiona mpenz wako hajaonyesha izo dalili muhimu basi jua hakuna kitu

kama unajua dalili zingine zile kuu na muhimu tiririka

Tutokomeze fake orgasm tunazodanganywa na kupewa kiburi ili tutoe chapaa

nawasilisha
Wanaume wa dar hapa sijui kama wamekuelewa vizuri
 
Back
Top Bottom