Apana mkuu..Mmmh inaonekana una uzoefu na hawa watu.
Umeona eeh shosti...........Hahahaha haha haha.. Lolz.
Hapa lazima personal experience imehusika.
Hata mimi nimekuwa mtu mzima wote ni watu wazima sasa[emoji12] ukisema cha aibu tuta[emoji85] .[emoji23] [emoji23]Lol..........Nimeshakua mtu mzina mwenzio hua naona aibu kuongea vitu vyengine hata kama unioni...
Vituko kama kipi? maana nyie ndio vituko hatari,,, hamkawiii kung'ata na kutuparua na mikucha yenu! Lile tendo kwakweli sio la mchezo mchezo!Wengine wanasema wanawasikiaga wakiruka lakini mimi sijawahi sikia .. ila huwa nasikia ikiongezeka ukubwa na mnavyofanya vituko ha ha ha nina kaexperiance
hahahah ila wengi wanasema hawasikiagi.. mwingine atakuuliza kabisa na wewe tayari?Kabisa
Mtumzima wewe wakisasa mie wazamani bado aibu nnayo........Hata mimi nimekuwa mtu mzima wote ni watu wazima sasa[emoji12] ukisema cha aibu tuta[emoji85] .[emoji23] [emoji23]
Kwa hiyo ukiwa nanihii unafumba macho kwa aibu?? HahaMtumzima wewe wakisasa mie wazamani bado aibu nnayo........
Badala ya kufanya utafiti ni jinsi gani ccm itaondoka madarakani wewe wewe unafanya utafiti jinsi ya kuwakojolesha wanawake..kweli Trump hakukosea kusema Africa ilitakiwa itawaliwe tena
Mnakunja uso mnakuwa kama nyaniVituko kama kipi? maana nyie ndio vituko hatari,,, hamkawiii kung'ata na kutuparua na mikucha yenu! Lile tendo kwakweli sio la mchezo mchezo!
hahahahah sasa yule si halali yangu na nimesha mzowea,tangu sina ngazi tumboni mpaka leo bado tuu...Kwa hiyo ukiwa nanihii unafumba macho kwa aibu?? Haha
hahahahah kwakweli inategemea "Ntu na Ntu",,, labda Ntu wako...Mnakunja uso mnakuwa kama nyani
Wengi wengi wanafanya hivyohahahahah kwakweli inategemea "Ntu na Ntu",,, labda Ntu wako...
Umevuta wewe sio bureAnakung'ang'ania sana tena anakuvutia zaidi kwake huku akifumba macho kama anasinzia na sauti nyembamba sana, ila akimaliza huonekana mwenye furaha.
But usiombe ukamtia bonge tena kifo cha mende atakavyokung'ang'ania na wewe kamwili huna unamezwa kama msomali akisukuma Riaz *****, daaaah ila haka kamchezo katamu sana.
Kwanini.. C ndo tujue kama bado dozi iongezeke..Afu mijanaume mingine inakuuliza kabisa! Eti umekojoa? Yaani swali linaboa hilo
Wengi wengi wanafanya hivyo
Wasikudanganye hata wao wanawake hawawezi kudumu kwa dakika 30 kama wanavyolalamika. Nina ushahidi wa kutosha.Kiongozi, wewe dk ngapi hasa unahisi kinanihii kimesuguliwa na kutosheka? Obviously 4mins ain't enough, nasikia 'eti' wadada wanachukua mda mrefu kufika kibo! Mi bado mdogo...