Uhusiano wa moja kwa moja baina ya hiyo herufi na ushoga ni nini?
Mwanaume timamu hauwezi kuwa uwasiliana kwa sms na mwanaume mwenzako halafu ukawa unatumia maandishi yanayo tumiwa zaidi na mabinti kama vile " Xaxa' " xo" "k" nakadhalika. Nakubaliana na matokeo ya utafiti huu.
Mwanaume timamu hauwezi kuwa uwasiliana kwa sms na mwanaume mwenzako halafu ukawa unatumia maandishi yanayo tumiwa zaidi na mabinti kama vile " Xaxa' " xo" "k" nakadhalika. Nakubaliana na matokeo ya utafiti huu.
Wanasheria bana, unataka nikupe citation?
Hata kupenda kuzungumzia zungumzia sana maswala ya ushoga nazo ni dalili za kuwa shoga hivi karibuni!
Kuna tofauti gani kati ya Tanzania na Nigeria?
Mwanaume timamu hauwezi kuwa uwasiliana kwa sms na mwanaume mwenzako halafu ukawa unatumia maandishi yanayo tumiwa zaidi na mabinti kama vile " Xaxa' " xo" "k" nakadhalika. Nakubaliana na matokeo ya utafiti huu.
Ndio maana nimeuleta hapa JF au ulitaka nilete uzi " Mizengo Punda afungua zahanati ya wazazi kisiwani Pemba"?