CHADEMA kama chama sijaona wakiandamana lakini kama unaimanisha mtu yoyote akiipiga serikali ya CCM basi ni CHADEMA basi ni kweli wameandamana leo asubuhi kule bauda na mabomu yalipigwa..kuna tetesi kwamba kuna maandamano ya vijana wa chadema mjini arusha na polisi wanapiga mabomu ya machozi kuwanyamazisha mwenye taarifa zaidi naomba utujuze zaidi
Ni kweli asubuhi maandamano yalikuwepo kona bauda lakini siyo ya kichama na mmoja wa walio athirika na mabomu hayo ni mtoto wangu...Hizo tetesi si za kweli. Mi mipo Arusha na nimepita maeneo ya town na sijakutana na maandamano wala kusikia sauti ya mabomu. Your source is not relialble
Duh, sipati picha kama coaster zitajaa mjini kama hizi hiace. BTW , Ukitoka mjini unataka kwenda Njiro au Kijenge , stand iko pande ipi?
kuna tetesi kwamba kuna maandamano ya vijana wa chadema mjini arusha na polisi wanapiga mabomu ya machozi kuwanyamazisha mwenye taarifa zaidi naomba utujuze zaidi
Ndiyo tafathiri ya wengi hasa magamba kuwa ukiwapiga tu basi wewe CHADEMA...ni kweli mjini pako shwari lakini sehemu kama relini palikuwa na vurumai kubwa na kule kona ya mbauda kulikuwa na fujo kubwa hasa asubuhi sijajua kwa sasa...kwa maana hiyo kila mpenda haki na mchukia dhulma na unyanyasaji katika nchi hii ni chadema?
basi kama ni hivyo hiki chama ndicho kimbilio la wanyonge kwa sasa.
mimi nipo arusha kwa kweli sijasikia kitu au labda kwa kuwa nipo ofisini.
it means iki ni kimeta!
kuna tetesi kwamba kuna maandamano ya vijana wa chadema mjini arusha na polisi wanapiga mabomu ya machozi kuwanyamazisha mwenye taarifa zaidi naomba utujuze zaidi
kwa kuwa una gari basi ushatuchukia sisi na usafiri wetu wa umma siyo! utafanya vema kama utaweka jamvini rekodi yako ya tra tulinganishe uhalali wa mali zako, kinyume chake sentesi zako zanukia ufisadi.Tumechoka kuona madereva hawa kusimama popote wanapotaka baadala ya kuchukua au kuwashusha abiria kwenye vituo vya basi barabaranii. Wacha washughulikiwe, hawako juu ya sheria hawa na wanatukera sana sisi tuliokuwa na magari binafsi. Nitafurahi sana kama daladala na piki piki zitapigwa marufuku katikati ya jiji na waishie huko Ngulelo, Sakina, Mbauda, Suye/Moshono, Njiro n.k. Mabasi kama ma coaster ndiyo yatumike katikati ya jiji kumpunguza msongamano wa magari.
Tumechoka kuona madereva hawa kusimama popote wanapotaka baadala ya kuchukua au kuwashusha abiria kwenye vituo vya basi barabaranii. Wacha washughulikiwe, hawako juu ya sheria hawa na wanatukera sana sisi tuliokuwa na magari binafsi. Nitafurahi sana kama daladala na piki piki zitapigwa marufuku katikati ya jiji na waishie huko Ngulelo, Sakina, Mbauda, Suye/Moshono, Njiro n.k. Mabasi kama ma coaster ndiyo yatumike katikati ya jiji kumpunguza msongamano wa magari.
Mwambie aliyekupigia akupigie tena kisha utujulishe, kwa sasa nakwenda lunch - see you then!nimepigiwa simu na mtu alieko arusha na anasema tangu jana maandamano yanaendelea
Arusha ilikuwa inahesabika kuwa ni jiji linalokua kwa kasi sana baada ya Mwanza na DSM, kwa mwelekeo huu anguko la Arusha liko mbele yetu kwa sababu za siasa za kukamiana. Wanaofuatilia mambo watagundua kuwa mikutano yote ya kimataifa inayomhusisha Raisi wetu haifanyiki tena Arusha badala yake ni DSM au Dodoma (St. Gaspar); kwa kiasi fulani kwa wenye mahoteli jijini Arusha hili ni pigo kubwa sana. Zaidi sana tangu kuzinduliwa upya kwa East Africa Community mikutano yote ilikuwa inafanyika Arusha lakini mwaka huu Maraisi wa nchi za Africa ya Mashariki walikutana DSM badala ya sehemu iliyozoeleka ya jiji la Arusha.
Kwa wenye mahoteli hii ni changa moto kwa wao kuungana na ikiwezekana wagharamie vikao vya maridhiano ili amani iweze kurejea Arusha na biashara zao ziweze kushamiri. Kama wangekuwa wanaona mbali, wangetumia hata mbinu ya Jairo kupooza mambo kabla ya biashara zao hazijaingia kwenye misukosuko ya kushindwa kulipa mikopo