Huyu masao si katika watanzania ,,,,,,,,asilimia kubwa ya watanzania wanaoish mijin wanategemea daladala kwenye mizuungo yao,,,,,,dah sijui aliwaza nn ndo akapost matapish ya kupiga marufuku daladala kwenda town
kwa kuwa una gari basi ushatuchukia sisi na usafiri wetu wa umma siyo! utafanya vema kama utaweka jamvini rekodi yako ya tra tulinganishe uhalali wa mali zako, kinyume chake sentesi zako zanukia ufisadi.