Daladala za Arusha zagoma

Daladala za Arusha zagoma

Maneno mazito sana ndiyo maana muafaka baina ya CCM na CHADEMA niliunga mkono bahati mbaya wengi hawaoni athari za kiuchumi wamekali siasa tu.
kwa mtanzania yoyote yule tunapenda kuishi kwa amani na mwafaka ni mhimu sana kwetu...lakini huu mwafaka wa madiwani wa CHADEMA na CCM una-maswali mengi kuliko majibu na wewe unapoleta hoja zako acha siasa za chuki....
 
Kuna dcm imechukua abiria wa krediii inawapeleka mirongo 4 imefka maeneo ya JR vjana wakaz wakaanza kuirushia mawe wakaiimbiza na vford kufka karbu na fd force wakapgwa mabomu mbaya kabsa
Hapo Jr napo hapo salama hata jana usiku nilipita hapo ilikuwa ni purukushani...
 
Leo mabomu mpaka sasa hayajapigwa ila jana kwa kweli hata mimi nilipatwa na moshi wa mabomu pale makao maeneo ya limpopo kuna gari ya dfp ilivunjwa vioo na hao madereva wa hiece, na si chadema. Hata gari langu lilipigwa na jiwe mlango wa nyuma kwa bahati mbaya maana . Kwa nilivyoona mimi walilenga zaidi magari ya serekali. Ila mpaka sasa mgomo unaendelea.....
Mkuu, Arusha ni zaidi ya Limpopo...Mabomu kwa taarifa za wana jamvi hapa hata mida hii yana pigwa...na mimi mida ya saa nnenimeshuudia NMC na Mbauda...
 

Arusha ilikuwa inahesabika kuwa ni jiji linalokua kwa kasi sana baada ya Mwanza na DSM, kwa mwelekeo huu anguko la Arusha liko mbele yetu kwa sababu za siasa za kukamiana. Wanaofuatilia mambo watagundua kuwa mikutano yote ya kimataifa inayomhusisha Raisi wetu haifanyiki tena Arusha badala yake ni DSM au Dodoma (St. Gaspar); kwa kiasi fulani kwa wenye mahoteli jijini Arusha hili ni pigo kubwa sana. Zaidi sana tangu kuzinduliwa upya kwa East Africa Community mikutano yote ilikuwa inafanyika Arusha lakini mwaka huu Maraisi wa nchi za Africa ya Mashariki walikutana DSM badala ya sehemu iliyozoeleka ya jiji la Arusha.

Kwa wenye mahoteli hii ni changa moto kwa wao kuungana na ikiwezekana wagharamie vikao vya maridhiano ili amani iweze kurejea Arusha na biashara zao ziweze kushamiri. Kama wangekuwa wanaona mbali, wangetumia hata mbinu ya Jairo kupooza mambo kabla ya biashara zao hazijaingia kwenye misukosuko ya kushindwa kulipa mikopo

... yanayotekelezwa leo hii dhidi ya Arusha hayana tofauti sana na kile kilichowakimbiza wafanya biashara wakubwa Moshi mjini mwaka 2000. Hata bwana mkubwa flani enzi hizo akiwa PM alisikika akiwaasa wafanyabiashara ... waegemee wamagamba ili biashara zao zisalimike. Baadae alikanusha hayo lakini ukweli ndo huo.
Kama ilivyokuwa Moshi enzi zile, aftermath of Mrema-impact, Arusha nako mambo yako juu, na ni patamu kwani kuna EL-impact na CDM-impact. Marehemu seth Benjamin si mnamkumbuka? Mmojawapo wa mashahidi wa Azimio la Arusha .... Azimio lile la Arusha!
Safari hii Arusha tena kwa aina tofauti ya ukombozi......dhidi ya ukoloni wa Wanamagamba.
Mapinduzi si lelemama. Waache wasusie tu, habari iko pale pale.
 
Mianzini saa 9 hii kumegeuka Kosovo tena kwa mirindimo ya mabomu ya machozi
Safi sana...niliongea na maderva furani asubuhi wakaniambia mgomo wa safari hii...mpaka kieleweke....ila nasikia manispaa wana pima sehemu ya vitu hivi sasa pengine kesho patakuwa shwari.....
 
kuna tetesi kwamba kuna maandamano ya vijana wa chadema mjini arusha na polisi wanapiga mabomu ya machozi kuwanyamazisha mwenye taarifa zaidi naomba utujuze zaidi

Chadema acheni watu wafanye kazi. Mumeingia vyuoni, sasa mtaani baada ya hapo ni kwenye familia, baba,mama na watoto itakuwa vurugu tupu. Hebu acheni watu wafanye kazi. Acheni kutumia umasikini na ujinga wa watanzania kwa faida za kisiasa. Wasaidieni kupata maendeleo siyo kufanya vurugu.
 
Chadema acheni watu wafanye kazi. Mumeingia vyuoni, sasa mtaani baada ya hapo ni kwenye familia, baba,mama na watoto itakuwa vurugu tupu. Hebu acheni watu wafanye kazi. Acheni kutumia umasikini na ujinga wa watanzania kwa faida za kisiasa. Wasaidieni kupata maendeleo siyo kufanya vurugu.
Acha kuwaza kwa kutumia makalio mkuu....chadema wana husika vipi kwa hili...
 
Chadema acheni watu wafanye kazi. Mumeingia vyuoni, sasa mtaani baada ya hapo ni kwenye familia, baba,mama na watoto itakuwa vurugu tupu. Hebu acheni watu wafanye kazi. Acheni kutumia umasikini na ujinga wa watanzania kwa faida za kisiasa. Wasaidieni kupata maendeleo siyo kufanya vurugu.
CCm kwa kipindi kirefu sana cha miaka hamsini walitumia mbinu hizo hapo juu unazozisema ,sasa hivi wananchi hawahitaji chama kudai haki zao na kila siku pasipo haki watu watadai haki zao kwa njia zozote zile na hata siku moja mahala popote duniani umma haujawahi kushindwa kinachatakiwa ni jeshi la polisi kukoma mara moja kugombana na wananchi wa wache watumie njia za amani kupeleka kilio chao
 
Jamani kuna tetesi kuwa vurugu za mgomo wa daladala za Arusha maarufu kama (vifodi) yamechukua sura mpya baada ya kuwepo tetesi kuwa kuna polisi wa usalama barabarani ameuwa maeneo ya sanawari na vurugu ni kubwa sana nitawajuza ki undani naendelea kufuatilia kwa ukaribu zaidi
 

Arusha ilikuwa inahesabika kuwa ni jiji linalokua kwa kasi sana baada ya Mwanza na DSM, kwa mwelekeo huu anguko la Arusha liko mbele yetu kwa sababu za siasa za kukamiana. Wanaofuatilia mambo watagundua kuwa mikutano yote ya kimataifa inayomhusisha Raisi wetu haifanyiki tena Arusha badala yake ni DSM au Dodoma (St. Gaspar); kwa kiasi fulani kwa wenye mahoteli jijini Arusha hili ni pigo kubwa sana. Zaidi sana tangu kuzinduliwa upya kwa East Africa Community mikutano yote ilikuwa inafanyika Arusha lakini mwaka huu Maraisi wa nchi za Africa ya Mashariki walikutana DSM badala ya sehemu iliyozoeleka ya jiji la Arusha.

Kwa wenye mahoteli hii ni changa moto kwa wao kuungana na ikiwezekana wagharamie vikao vya maridhiano ili amani iweze kurejea Arusha na biashara zao ziweze kushamiri. Kama wangekuwa wanaona mbali, wangetumia hata mbinu ya Jairo kupooza mambo kabla ya biashara zao hazijaingia kwenye misukosuko ya kushindwa kulipa mikopo

Mjomba nilisoma Ars miaka ya nyuma, juzi nilikuwa huko for 10days, nikawa nawatembelea watu wangu wa mtaani kabisa, usijidanganye Ars daima haitapiga magoti, sahau!
 
Jamani kuna tetesi kuwa vurugu za mgomo wa daladala za Arusha maarufu kama (vifodi) yamechukua sura mpya baada ya kuwepo tetesi kuwa kuna polisi wa usalama barabarani ameuwa maeneo ya sanawari na vurugu ni kubwa sana nitawajuza ki undani naendelea kufuatilia kwa ukaribu zaidi
hapo patamu..
 
Jamani kuna tetesi kuwa vurugu za mgomo wa daladala za Arusha maarufu kama (vifodi) yamechukua sura mpya baada ya kuwepo tetesi kuwa kuna polisi wa usalama barabarani ameuwa maeneo ya sanawari na vurugu ni kubwa sana nitawajuza ki undani naendelea kufuatilia kwa ukaribu zaidi

Hii ni habari mbaya lakini si kitu cha ajabu tena siku hizi

Nadhani mafunzo wanayopata mapolisi siku hizi wakienda ccp ni namna ya kuua raia tu, hakuna kingine.

Sijui madereva wa vifodi wakimaliza mgomo na wao wakaamua kulipiza kisasi kwa kuwagonga hao matrafiki itakuwaje.
 
Acha kuwaza kwa kutumia makalio mkuu....chadema wana husika vipi kwa hili...
Hapo ndipo huwa naona baadhi ya wafuasi wa Chadema wanaendeshwa kwa hisia na wala siyo akili. Na wewe kwa akili yako hiyo unafikiri unaweza kuisaidia Chadema? Kichwani patupu kabisa. Wewe ni Chadema bila kujali kitu chochote. Tumia busara kidogo kusoma na kujibu thread za humu, na siyo lazima ujibu kila thread.
 
Back
Top Bottom