njamayo
Senior Member
- Jan 6, 2012
- 150
- 40
Habari wanaJF,
Nilihitaji kumwona huyu Dr. Prof. Matuja kwa ajili ya matibabu ya nerve. Kuna mtu katuambia kuwa ni mzuri na yupo MNH na pia ana kliniki yake hapo DSM.
Mimi kwa sasa niko mkoani na nilitaka kufanya appointment naye. Naomba mwenye contacts zake haswa simu namba anipatie.
Itakuwa vizuri akini-PM.
Natanguliza shukrani zangu.
Njama
Nilihitaji kumwona huyu Dr. Prof. Matuja kwa ajili ya matibabu ya nerve. Kuna mtu katuambia kuwa ni mzuri na yupo MNH na pia ana kliniki yake hapo DSM.
Mimi kwa sasa niko mkoani na nilitaka kufanya appointment naye. Naomba mwenye contacts zake haswa simu namba anipatie.
Itakuwa vizuri akini-PM.
Natanguliza shukrani zangu.
Njama