- Thread starter
- #21
aseme kama katoka haya maeneo bana, kuna mtu namdai sasa ananizungusha, najua kama mwanajamii mwenzio utanipa shavu, karibu sana
hahahahaaaa...mtafute katavi atakusaidia sana,si wajua ni jirani wa kayanza?
aseme kama katoka haya maeneo bana, kuna mtu namdai sasa ananizungusha, najua kama mwanajamii mwenzio utanipa shavu, karibu sana
Karibu sana
asanteKaribu sana doktari.
karibu dokta... tunaumwa kweli aisee, ni wewe tu utakayetibu hii forum
karibu Dr
sijui Dr wa nini ati?
Karibu Dokta. Jisikie upo nyumbani katika hili jamvi.
Mie daktari wa wanawake mamie
Karibu daktari. Ni daktari wa binadamu au wa mifugo? Au ni ile doctorate ya heshima kama JK?
Au kama ile ya Slaa, ya kanoni isiyokuwa na digrii hata moja?
Karibu sana.
Au kama ile ya Slaa, ya kanoni isiyokuwa na digrii hata moja?
Karibu sana.
..................doctore,karibu sana.Habari za huko utokapo?????..........huku kwema ila kama ni wagonjwa tupo wa kila aina,kama ni hospitali basi huku zipo kila aina hadi za kata,achilia mbali zahanati,rufaa.Kama ni dawa zipo chungu na tamu,tena lukuki kwani bohari la madawa ndo mwake humu,utaziona tuuuuuuuuuuuu,kuna aspirin,rangi saba,chloroquine,hadi maji ya uchungu duhhhhhhhh........chonde chonde doctore..................fuata kanuni,...........angalia usije lazwa wewe ukahudumiwa na kutibiwa na wagojwa...........................,lakini pia mchango wako ni muhimu sana......karibu pita hadi ndani upate japo kikombe cha gahawa..................