Daktari huyu alitaka kunibaka?

Daktari huyu alitaka kunibaka?

We nae kukumbatiwa tu shingoni je ungekutana na Gyno achezee kibeans si ungesemaje?😂
 
Duh. Ukiongea bila kutukana hainogi?
1 Wakorintho 6:10-12
Pia wezi, walafi, walevi, watukanaji, au waongo wanaowadanganya wengine ili wawaibie hawatakuwa na sehemu katika ufalme wa Mungu.
Nimetukana wapi, kama unajua Bumbavu ni tusi basi we kilaza
 
sithan kuwa kama kuna dalili za kubakwa zaidi ya care ya kidaktari huenda ww ni wale wanawake ukimwangalia ni shida, mambo ni shida ukipa cm tu ulikuwa unasemaje hata kama ni Salam tu Huenda unajisi sana kutakwa bila actual evidence
 
Ulivijuaje hivi vifaa?

Nahisi ww ni mdau wa hiyo field ila hapo nyege tu ndio zimekupeleka kuanzisha huu Uzi.
Si kakuambia huko juu alienda.kupima macho hivi nyie wengine mkisoma ham fahamu au. Hicho kibint kimetunza machine wacha kiendelee kutunza mpa kiolewe
 
False rape allegations/accusations are so rampat now days.

Siku hizi mwanamke wa kisasa akitaka kumuangamiza mwanaume kwa maana ya kumuharibia reputation yake, career yake na maisha kwa ujumla anambambikizia tu kesi ya ubakaji hata bila uthibitisho wowote unakuwa ndio mwisho wa kijana huyo.

Ndio maana mimi hawa modern women huwa naona lolote baya likiwakuta ni sawa tu, maana ni maadui wakubwa wa vijana wa kiume.
 
Si kakuambia huko juu alienda.kupima macho hivi nyie wengine mkisoma ham fahamu au. Hicho kibint kimetunza machine wacha kiendelee kutunza mpa kiolewe
Sheikh Wewe ukienda kupima macho hivi utajua kwamba hii ni slit lamp, tonometer, fundus camera au penlight? Labda uikute Quran ndio utaitambua ila sio hivyo vifaa huyo dada ni mdau ktk field anatuchezesha akili tu hapa.
 
Sheikh Wewe ukienda kupima macho hivi utajua kwamba hii ni slit lamp, tonometer, fundus camera au penlight? Labda uikute Quran ndio utaitambua ila sio hivyo vifaa huyo dada ni mdau ktk field anatuchezesha akili tu hapa.
Wewe tatizo lako Paulo alikuharibu akili alipo kuambia Yesu ni Mungu 🤣

Ukingia kwa daktari ukakuta shindano na mikasi ukaitaja kwa majina basi na wewe umeisha kuwa daktari
 
Huyu ni mlokole wa kwenye keyboard.. kwenye maisha ya uhalisia utakuta hata wanzuki na ulanzi kanakunywa...
Sihitaji hata kukutana nae, wapendwa nawajua tabia zao kama zote huwezi nidanganya...
umbea, kusengenyana, kulana kimasihara ndio zao, nawajua vyema sana, sana...
Hao unaowasema kwamba ni wambea na wasengenyaji, sio walokole, ni magugu yanayofanana na ngano. Wanywa ulanzi na wanzuki hawaioni njia iendayo uzimani.
Mathayo 7:14
Kwa sababu mlango ni mwembamba, na njia iendayo uzimani ni nyembamba, nao waionao ni wachache.”
 
Shingo tu unasema ulitaka kubakwa. Mtu hajapima oil, mtu hajashika kiuno kukagua shanga wala hajashughulika na mtindi unasema ungebakwa.
Anyway, pole.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom