Daktari huyu alitaka kunibaka?

Daktari huyu alitaka kunibaka?

Acha zako, hata Daudi alipita na mke wa mtu na alikuwa mfalme na mtume
Daudi ndio msingi wa imani yako? Mimi namfuata Yesu Kristo. Aliongea na mama msamaria kisimani lakini hakumtamani.
 
Uhalisia upi? Yesu alijaribiwa katika mambo yote lakini hakutenda dhambi. Ukiokoka, anakupa uwezo wa kushinda tamaa za mwili zipiganazo na roho.
Sasa wewe ni Yesu.. halafu usilinganishe zama za Yesu na sasa.. hata dunia ya 1990s usilinganishe na sasa..
We muombe tu Mungu upate mume mwema , tamaa za kimwili usichanganye na maombi, kwa maana hizo tamaa za mwili ndio majaribu yenyewe...
Na wanawake mlivyo na nyege za hatari unakuta mtu anavuka barabara haoni hata kama kuna gari... kichwa hakifanyi kazi..
 
Daudi ndio msingi wa imani yako? Mimi namfuata Yesu Kristo. Aliongea na mama msamaria kisimani lakini hakumtamani.
Yesu sio mwenzako alizaliwa pasipo msaada wa baba, yule ni abnormal...
Mfano mzuri nimekupa Daudi..
 
Sasa wewe ni Yesu.. halafu usilinganishe zama za Yesu na sasa.. hata dunia ya 1990s usilinganishe na sasa..
Yesu yuko ndani yangu na mimi ndani yake. Yesu aliyeshinda tamaa na dhambi zote ndiye anayeniwezesha na mimi kushinda.
Flp 4:13
Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu
 
Yesu yuko ndani yangu na mimi ndani yake. Yesu aliyeshinda tamaa na dhambi zote ndiye anayeniwezesha na mimi kushinda.
Flp 4:13
Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu
Wengi wanasema hivyo tena mbele ya hizo wanaita madhabahu, unamfahamu Gwaji Boy?
 
Yesu sio mwenzako alizaliwa pasipo msaada wa baba, yule ni abnormal...
Mfano mzuri nimekupa Daudi..
Andiko hili lisome tena na tena
1 Yoh 3:9
Kila mtu aliyezaliwa na Mungu hatendi dhambi, kwa sababu uzao wake wakaa ndani yake; wala hawezi kutenda dhambi kwa sababu amezaliwa kutokana na Mungu.
 
Wengi wanasema hivyo tena mbele ya hizo wanaita madhabahu, unamfahamu Gwaji Boy?
Mimi niambie wapi Yesu alitenda dhambi ya uzinzi. Tunayepaswa kumfuata ni Yesu. Sio Daudi wala mwanadamu yeyote.
 
Lengo ni neno sio scenario, hongera kwa ubunifu mtumishi, maana bila kuweka chambo, samaki hupati.
 
Inasikitisha sana. Siku moja nilienda katika hospitali fulani maarufu, katika nchi inayosifika kwa mengi mazuri, ili nifanyiwe "eye examination"

Nikaingia katika chumba cha daktari wa macho(ophthalmologist, if not optometrist). Nilifurahi kuona chumba chake kina vifaa vya kisasa vya upimaji wa macho kama vile Penlight, Slit Lamp (Biomicroscope), Tonometer, Fundus Camera...

Baada ya kumweleza daktari huyo kilichonipeleka pale, akaanza kuyachunguza macho yangu. Kisha akachukua penlight na kuanza kunimulika jicho moja moja. Akasogea karibu zaidi na mimi. Mkono wake wa kushoto akauzungusha nyuma ya shingo yangu na kunikumbatia huku akiendelea kumulika macho. Mimi nilitulia tuli tu kama maji mtungini. Lakini moyoni nikawa najiuliza: "hivyo ndivyo madaktari wa macho wanavyofanya eye examination?" Baadaye daktari akaiacha penlight yake akanikumbatia kwa mikono yote miwili, kisha akaniacha. Halafu akaniambia "macho yako hayana shida!"

Hebu niambieni nyinyi wazoefu wa kufanyiwa "eye exam", hivyo ndivyo madaktari wanavyopaswa kumshika mtu anayechunguzwa macho? Au huyu daktari alikuwa na lake jambo? Na angethubutu kugusa sehemu nyingine za mwili asingeisahau siku ile. Ningemkemea kwa Jina la Yesu, pepo la uzinzi limtoke. Hospitali nzima ingejua ameingia mtu asiye na mchezo na dhambi ya uzinzi.

Tujiepushe na uzinzi jamani. Wazinzi na waasherati hawataingia mbinguni. Mahali pao ni katika ziwa liwakalo moto na kiberiti.

1 Kor 6:9
"Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti."
Hiki kifungu sijawahi kumsikia mchungaji wangu akikisoma. Sijui anaogopa kutamka hao mabasha
 
Inaonyesha ulitaka ubakwe, ni kama ulienda kwa lengo la kubakwa lakini bahati mbaya hakutekeleza ulichotaka.

Kwa kukusaidia ukitaka, kajipitishe Bar yoyote mida ya Wanga ingia choo cha kiume hutokosa mtu, Pombe huwa inaamsha mishale siyo mchezo.
 
Inasikitisha sana. Siku moja nilienda katika hospitali fulani maarufu, katika nchi inayosifika kwa mengi mazuri, ili nifanyiwe "eye examination"

Nikaingia katika chumba cha daktari wa macho(ophthalmologist, if not optometrist). Nilifurahi kuona chumba chake kina vifaa vya kisasa vya upimaji wa macho kama vile Penlight, Slit Lamp (Biomicroscope), Tonometer, Fundus Camera...

Baada ya kumweleza daktari huyo kilichonipeleka pale, akaanza kuyachunguza macho yangu. Kisha akachukua penlight na kuanza kunimulika jicho moja moja. Akasogea karibu zaidi na mimi. Mkono wake wa kushoto akauzungusha nyuma ya shingo yangu na kunikumbatia huku akiendelea kumulika macho. Mimi nilitulia tuli tu kama maji mtungini. Lakini moyoni nikawa najiuliza: "hivyo ndivyo madaktari wa macho wanavyofanya eye examination?" Baadaye daktari akaiacha penlight yake akanikumbatia kwa mikono yote miwili, kisha akaniacha. Halafu akaniambia "macho yako hayana shida!"

Hebu niambieni nyinyi wazoefu wa kufanyiwa "eye exam", hivyo ndivyo madaktari wanavyopaswa kumshika mtu anayechunguzwa macho? Au huyu daktari alikuwa na lake jambo? Na angethubutu kugusa sehemu nyingine za mwili asingeisahau siku ile. Ningemkemea kwa Jina la Yesu, pepo la uzinzi limtoke. Hospitali nzima ingejua ameingia mtu asiye na mchezo na dhambi ya uzinzi.

Tujiepushe na uzinzi jamani. Wazinzi na waasherati hawataingia mbinguni. Mahali pao ni katika ziwa liwakalo moto na kiberiti.

1 Kor 6:9
"Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti."
Kuna mabint wa kikristo wengine mpo safi sana hio machine itunze usiwape wajinga subiri mpa ukisha olewa mpe utamu huo mme wako.
 
Inasikitisha sana. Siku moja nilienda katika hospitali fulani maarufu, katika nchi inayosifika kwa mengi mazuri, ili nifanyiwe "eye examination"

Nikaingia katika chumba cha daktari wa macho(ophthalmologist, if not optometrist). Nilifurahi kuona chumba chake kina vifaa vya kisasa vya upimaji wa macho kama vile Penlight, Slit Lamp (Biomicroscope), Tonometer, Fundus Camera...

Baada ya kumweleza daktari huyo kilichonipeleka pale, akaanza kuyachunguza macho yangu. Kisha akachukua penlight na kuanza kunimulika jicho moja moja. Akasogea karibu zaidi na mimi. Mkono wake wa kushoto akauzungusha nyuma ya shingo yangu na kunikumbatia huku akiendelea kumulika macho. Mimi nilitulia tuli tu kama maji mtungini. Lakini moyoni nikawa najiuliza: "hivyo ndivyo madaktari wa macho wanavyofanya eye examination?" Baadaye daktari akaiacha penlight yake akanikumbatia kwa mikono yote miwili, kisha akaniacha. Halafu akaniambia "macho yako hayana shida!"

Hebu niambieni nyinyi wazoefu wa kufanyiwa "eye exam", hivyo ndivyo madaktari wanavyopaswa kumshika mtu anayechunguzwa macho? Au huyu daktari alikuwa na lake jambo? Na angethubutu kugusa sehemu nyingine za mwili asingeisahau siku ile. Ningemkemea kwa Jina la Yesu, pepo la uzinzi limtoke. Hospitali nzima ingejua ameingia mtu asiye na mchezo na dhambi ya uzinzi.

Tujiepushe na uzinzi jamani. Wazinzi na waasherati hawataingia mbinguni. Mahali pao ni katika ziwa liwakalo moto na kiberiti.

1 Kor 6:9
"Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti."


UNAPAMBANA SANA KILA MARA KUWA NA VISA VYA KUPOST HATA VYA KIJINGA. MPAKA WATU WANAANZA KUHISI WEWE NI MWANAUME UNAJIFANYA MWANAMKE
 
Umenena vema ndugu yangu. Actually, angeongeza hatua moja tu, ni wazi ningempiga Injili. Kwa stage ile nilikuwa bado sijajiridhisha kama ana nia mbaya au ndivyo walivyofundishwa kuwashika patients wakati wa eye exam. Ndio sababu nimeuliza swali hilo. Ila kwa comments nazoziona hapa, naona ni kweli alikuwa na nia ya uzinzi tu. Mungu amhurumie na kumuokoa popote pale alipo.
Kumbe ulikuwa unakusanya ushahidi kimya kimya. Siku nyingine nenda na Mumeo😄
 
Ila wapendwa wanapenda kupigana mashine sana sijui kwanini...
Kanisani kukuta mchungaji anapiga kondoo ni kawaida sana, anawapa na mimba na scandals za ajabu sana....
Hao wapendwa uliowakutana nao wewe ni wapendwa wa mabox. Hujakutana na wakina Setfree😄
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom