Daktari huyu alitaka kunibaka?

Daktari huyu alitaka kunibaka?

Mkuu pole sana yaani uliponea chup chup ilibaki kidogo tu huu Uzi ungekuwa wa kuliwa kimasiara, by the way shikilia msimamo wako dhambi sio ujanja.
 
Matibabu ya wadada huwa yanakuwa na molesting. Inabidi uwe patient kidogo. Inabidi uwe mvumilivu.
 
A
Inasikitisha sana. Siku moja nilienda katika hospitali fulani maarufu, katika nchi inayosifika kwa mengi mazuri, ili nifanyiwe "eye examination"

Nikaingia katika chumba cha daktari wa macho(ophthalmologist, if not optometrist). Nilifurahi kuona chumba chake kina vifaa vya kisasa vya upimaji wa macho kama vile Penlight, Slit Lamp (Biomicroscope), Tonometer, Fundus Camera...

Baada ya kumweleza daktari huyo kilichonipeleka pale, akaanza kuyachunguza macho yangu. Kisha akachukua penlight na kuanza kunimulika jicho moja moja. Akasogea karibu zaidi na mimi. Mkono wake wa kushoto akauzungusha nyuma ya shingo yangu na kunikumbatia huku akiendelea kumulika macho. Mimi nilitulia tuli tu kama maji mtungini. Lakini moyoni nikawa najiuliza: "hivyo ndivyo madaktari wa macho wanavyofanya eye examination?" Baadaye daktari akaiacha penlight yake akanikumbatia kwa mikono yote miwili, kisha akaniacha. Halafu akaniambia "macho yako hayana shida!"

Hebu niambieni nyinyi wazoefu wa kufanyiwa "eye exam", hivyo ndivyo madaktari wanavyopaswa kumshika mtu anayechunguzwa macho? Au huyu daktari alikuwa na lake jambo? Na angethubutu kugusa sehemu nyingine za mwili asingeisahau siku ile. Ningemkemea kwa Jina la Yesu, pepo la uzinzi limtoke. Hospitali nzima ingejua ameingia mtu asiye na mchezo na dhambi ya uzinzi.

Tujiepushe na uzinzi jamani. Wazinzi na waasherati hawataingia mbinguni. Mahali pao ni katika ziwa liwakalo moto na kiberiti.

1 Kor 6:9
"Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti."
Alikumwagia wazungu mara ngapi ?

Alitumia kinga au mlipiga kavu kavu ?

Mliendelea kunyanduana baada ya hapo ?
 
Mimi nilitulia tuli tu kama maji mtungini.
Mkuu, ungekuwa wa kukemea usingetulia tuli.

Ndo maana inashauriwa ikimbie zinaa sio ikemee, aliyekuumba anajua bila mbio huwezi shindana na nyege.

Mwanzo 39: 11-12

11 Ikawa, siku moja, akaingia nyumbani afanye kazi yake, na hapakuwa na mtu yeyote kati ya wale wa nyumbani karibu;

12 huyo mwanamke akamshika nguo zake, akisema, Lala nami. Yusufu akaiacha nguo yake mkononi mwake, akakimbia, akatoka nje.

Yusufu huenda kakuzidi kiimani sana tu ila alitimua hadi akaacha nguo, hakukaa hapo akisubiri apapaswe.
 
chai.jpg
 
Sasa wewe unashangaa kuzungushiwa mkono shingoni ingekuwa mimi ingawa nakucheki macho.lakini mkono mmoja ungekuwa ndani ya sketi yako nikishika mapaja yako laini
Mungu akusaidie utambue kuwa mwisho wa mambo yote umekaribia. Karibu neema itafungwa na siku inakuja ya kulia na kusaga meno kwa wote wanaocheza na dhambi
 
Inasikitisha sana. Siku moja nilienda katika hospitali fulani maarufu, katika nchi inayosifika kwa mengi mazuri, ili nifanyiwe "eye examination"

Nikaingia katika chumba cha daktari wa macho(ophthalmologist, if not optometrist). Nilifurahi kuona chumba chake kina vifaa vya kisasa vya upimaji wa macho kama vile Penlight, Slit Lamp (Biomicroscope), Tonometer, Fundus Camera...

Baada ya kumweleza daktari huyo kilichonipeleka pale, akaanza kuyachunguza macho yangu. Kisha akachukua penlight na kuanza kunimulika jicho moja moja. Akasogea karibu zaidi na mimi. Mkono wake wa kushoto akauzungusha nyuma ya shingo yangu na kunikumbatia huku akiendelea kumulika macho. Mimi nilitulia tuli tu kama maji mtungini. Lakini moyoni nikawa najiuliza: "hivyo ndivyo madaktari wa macho wanavyofanya eye examination?" Baadaye daktari akaiacha penlight yake akanikumbatia kwa mikono yote miwili, kisha akaniacha. Halafu akaniambia "macho yako hayana shida!"

Hebu niambieni nyinyi wazoefu wa kufanyiwa "eye exam", hivyo ndivyo madaktari wanavyopaswa kumshika mtu anayechunguzwa macho? Au huyu daktari alikuwa na lake jambo? Na angethubutu kugusa sehemu nyingine za mwili asingeisahau siku ile. Ningemkemea kwa Jina la Yesu, pepo la uzinzi limtoke. Hospitali nzima ingejua ameingia mtu asiye na mchezo na dhambi ya uzinzi.

Tujiepushe na uzinzi jamani. Wazinzi na waasherati hawataingia mbinguni. Mahali pao ni katika ziwa liwakalo moto na kiberiti.

1 Kor 6:9
"Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti."
Hu mpumbavu , wenda ulienda kumtega naye akashutuka na kusema liwale na liwe, bila shaka upo fani ya afya, pumbavu sana
 
Zero brain capacity, sexualizing every situation, Dumb, young, stupid & brainless.
If one is truly intelligent, how then does he fail to understand the importance of engaging others with grace rather than with disparagement?
Let your speech always be with grace, seasoned with salt' (Colossians 4:6)
 
If one is truly intelligent, how then does he fail to understand the importance of engaging others with grace rather than with disparagement?
Let your speech always be with grace, seasoned with salt' (Colossians 4:6)
Ukweli unauma, usijali utazoea
 
Mkuu Ulipaswa kumpiga Injili na kumwongoza Sala ya Toba pale pale kwenye Examination room kabla hujaondoka!
Huku ungekuja kutueleza kama bingwa wa macho alipokea Wokovu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom