heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 5,775
- 8,724
Wakuu,
Hakuna kitu nakerereka kama kutembea kila mita kumi nakutana na chupa ya Mo energy imezagaa hakuna dalili kwamba itaenda popote.
Kwanini nisione chupa ingine kama ya maji ya azam au hill au kilimanjaro, hata ikionekana kwa bahati mbaya basi ukirudi hutoikuta hii ndo inatakiwa.
Sasa Mo na Mo energy zake sijui anatuonaje sisi wananchi na mamlaka zinazosimamia mazingira.
Hili likinywaji linatumika sana kila uchwao kama madawa ya kulevya, kwaiyo uchafuzi wa mazingira kupitia haya machupa yake utazidi kwa kiwango cha kutisha.
Kwanini asitengeneze chupa zinazofaa kuwa Recyclable? Kwanini ziwepo ktk chupa nyeusi kama amefungasha madawa.
Haya machupa ukiacha athari ya kuchafua mazingira pia zinatumika katika kubebea mihadarati kama kete za bangi, pombe kwa kwa muda usioruhusiwa unakuta dereva au mwanafunzi anachupa ya Mo kumbe ndani ameload kisungura au kvant au bia.
EMBU MO FANYA UTARATIBU WA KUBADILI CHUPA ZAKO ZIWEZE KUOKOTWA NA HAWA WAOKOTA MACHUPA ILI KUSAVE MAZINGIRA, KAMA UWEZI BASI AJIRI VIJANA WAWE WANAZIOKOTA HUKU MITAANI.
Hii ni aibu kwa wasomi na watu wanaosimamia mazingira wanawezaje kuruhusu huu upuuzi aibu tunaona sisi tunaoona ichi kitu hakipo sawa.
Nimemaliza
Hakuna kitu nakerereka kama kutembea kila mita kumi nakutana na chupa ya Mo energy imezagaa hakuna dalili kwamba itaenda popote.
Kwanini nisione chupa ingine kama ya maji ya azam au hill au kilimanjaro, hata ikionekana kwa bahati mbaya basi ukirudi hutoikuta hii ndo inatakiwa.
Sasa Mo na Mo energy zake sijui anatuonaje sisi wananchi na mamlaka zinazosimamia mazingira.
Hili likinywaji linatumika sana kila uchwao kama madawa ya kulevya, kwaiyo uchafuzi wa mazingira kupitia haya machupa yake utazidi kwa kiwango cha kutisha.
Kwanini asitengeneze chupa zinazofaa kuwa Recyclable? Kwanini ziwepo ktk chupa nyeusi kama amefungasha madawa.
Haya machupa ukiacha athari ya kuchafua mazingira pia zinatumika katika kubebea mihadarati kama kete za bangi, pombe kwa kwa muda usioruhusiwa unakuta dereva au mwanafunzi anachupa ya Mo kumbe ndani ameload kisungura au kvant au bia.
EMBU MO FANYA UTARATIBU WA KUBADILI CHUPA ZAKO ZIWEZE KUOKOTWA NA HAWA WAOKOTA MACHUPA ILI KUSAVE MAZINGIRA, KAMA UWEZI BASI AJIRI VIJANA WAWE WANAZIOKOTA HUKU MITAANI.
Hii ni aibu kwa wasomi na watu wanaosimamia mazingira wanawezaje kuruhusu huu upuuzi aibu tunaona sisi tunaoona ichi kitu hakipo sawa.
Nimemaliza