sabuwanka
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 690
- 751
Ndugu yangu relax, madiwani ndio mamlaka ya nidhamu kwa watumishi wote walioajiriwa katika serikali za mitaa isipokuwa walimu
Nasema hawana mamlaka hayo, sana sana walipaswa kutoa taarifa kwa mamlaka husika... nchi imekuwa ya kipuuzi sana hii.
Hizo unazoita sheria wewe ulisoma wapi?