Dakika ya 89: Freeman Mbowe 0 vs Halima Mdee 5

DAKIKA YA 89, KAMATI KUU YA CHADEMA 0 MH MDEE 5

Na Elius Ndabila
0768239284

Ingekuwa ni mchezo wa Soka ningeweza kusema hivyo kuwa Kamati Kuu ya CHADEMA 0 na Mh Mdee 5, hasa baada ya press yake ya leo.

Mtakubaliana nami kuwa Majibu ya Mh Mbowe juu ya Wale Wabunge wa Viti Maalumu 19 yalijaa hamaki kubwa hivyo wengi kufikiria kuwa Mh Mbowe alisoma akiwa amesha leo. Taarifa kwa vyombo vya habari ilitolewa baada ya kamati kuu kujadiliana kwa zaidi ya saa 15.

Mh Mdee ambaye amezungumza leo, amezungumza very techinic. Amezungumza na kujibu maswali kwa ustadi mkubwa huku akiwa ametulia. Ameonyesha wazi kuwa yeye na wenzake ni zao la CHADEMA na hawawezi kukihama. Amesema hata kama hawakubaliani na matokeo hawawezi kukataa kwenda bungeni wakati ni haki yao.

Amesema Bunge ndipo mahali pekee pa kwenda kutolea kero zao na si kukataa kwenda. Zaidi amesema anapinga utaratibu wa chama chao kuwafukuza na hivyo yeye na Wenzake watakata rufaa na hawataomba radhi. Pigo lingine alipojibu swali la kuhusu Nasurt amesema akaulizwe DPP, Bwana Jera au Mahaka.

Mh Mdee anasema “Nimekuja kuongea ili kutuliza haya mambo maana sio makubwa saana, niliamua kukaa kimya ila naona uongo unasambazwa na ukiach uongo usemwe bila kutoa neno inafanya Watu waamini.

Kuna Watu wanasema tunakuja kuunga mkono juhudi, niwaambie tu Mimi nitaendelea kubaki CHADEMA na naamini na wenzangu bado wataendelea kubaki CHADEMA, sisi ni CHADEMA kindakindani, niwahakikishie Wana-CHADEMA Nchi nzima, Halima mnayemfahamu ni yuleyule.

Mh Mbowe alizungumza akiwa ametoa mishipa usoni, na amekunja sura mithili ya mtu aliyepigwa na kitu chenye ncha kali, lakini leo anajibiwa na Mh Mdee akiwa anacheka na kutabasamu, huku akipiga makombora ambayo yanasambaratisha kabisa hoja zenye hasira za CC ya CHADEMA.

Mh Mdee anasema kuwa “Tuliitwa kuhudhuria Kamati Kuu Nov 25, Mimi nilipata barua jioni kwa njia ya simu, Matiko hakupata wengine kila Mtu alipata kwa muda wake,Nov 26 tulimuandikia barua Katibu Mkuu tukimuomba asogeze kikao mbele japo kwa Wiki moja, kutokana na ile presha. Tulitaka twende kwenye kikao huku hasira zetu zikiwa zimepungua kidogo maana press ya Katibu aliongea mazito, tukaomba Wiki moja mbele, pili kulikuwa na uhamasishaji wa Watu kuja kutupiga mawe na mayai viza wakidai ni Wasaliti ndio maana tuliomba muda.

Kwa hoja hizi tu chache, ninaweza kumalizia kwa kusema Kamati kuu ya CHADEMA imefungwa magoli matatu tena ya Visigino na Mh Mdee. Na msumari wa mwisho ni kwa akina Mama aliosema walikuwa wakitoa matamko kwa kuwa walikuwa wameona fursa kwa jicho la tatu.
Umejaa ushabiki na ushakunaku.Halima hakuna mahala popote alisema hatutaomba radhi
 
DAKIKA YA 89, KAMATI KUU YA CHADEMA 0 MH MDEE 5

Na Elius Ndabila
0768239284

Ingekuwa ni mchezo wa Soka ningeweza kusema hivyo kuwa Kamati Kuu ya CHADEMA 0 na Mh Mdee 5, hasa baada ya press yake ya leo.

Mtakubaliana nami kuwa Majibu ya Mh Mbowe juu ya Wale Wabunge wa Viti Maalumu 19 yalijaa hamaki kubwa hivyo wengi kufikiria kuwa Mh Mbowe alisoma akiwa amesha leo. Taarifa kwa vyombo vya habari ilitolewa baada ya kamati kuu kujadiliana kwa zaidi ya saa 15.

Mh Mdee ambaye amezungumza leo, amezungumza very techinic. Amezungumza na kujibu maswali kwa ustadi mkubwa huku akiwa ametulia. Ameonyesha wazi kuwa yeye na wenzake ni zao la CHADEMA na hawawezi kukihama. Amesema hata kama hawakubaliani na matokeo hawawezi kukataa kwenda bungeni wakati ni haki yao.

Amesema Bunge ndipo mahali pekee pa kwenda kutolea kero zao na si kukataa kwenda. Zaidi amesema anapinga utaratibu wa chama chao kuwafukuza na hivyo yeye na Wenzake watakata rufaa na hawataomba radhi. Pigo lingine alipojibu swali la kuhusu Nasurt amesema akaulizwe DPP, Bwana Jera au Mahaka.

Mh Mdee anasema “Nimekuja kuongea ili kutuliza haya mambo maana sio makubwa saana, niliamua kukaa kimya ila naona uongo unasambazwa na ukiach uongo usemwe bila kutoa neno inafanya Watu waamini.

Kuna Watu wanasema tunakuja kuunga mkono juhudi, niwaambie tu Mimi nitaendelea kubaki CHADEMA na naamini na wenzangu bado wataendelea kubaki CHADEMA, sisi ni CHADEMA kindakindani, niwahakikishie Wana-CHADEMA Nchi nzima, Halima mnayemfahamu ni yuleyule.

Mh Mbowe alizungumza akiwa ametoa mishipa usoni, na amekunja sura mithili ya mtu aliyepigwa na kitu chenye ncha kali, lakini leo anajibiwa na Mh Mdee akiwa anacheka na kutabasamu, huku akipiga makombora ambayo yanasambaratisha kabisa hoja zenye hasira za CC ya CHADEMA.

Mh Mdee anasema kuwa “Tuliitwa kuhudhuria Kamati Kuu Nov 25, Mimi nilipata barua jioni kwa njia ya simu, Matiko hakupata wengine kila Mtu alipata kwa muda wake,Nov 26 tulimuandikia barua Katibu Mkuu tukimuomba asogeze kikao mbele japo kwa Wiki moja, kutokana na ile presha. Tulitaka twende kwenye kikao huku hasira zetu zikiwa zimepungua kidogo maana press ya Katibu aliongea mazito, tukaomba Wiki moja mbele, pili kulikuwa na uhamasishaji wa Watu kuja kutupiga mawe na mayai viza wakidai ni Wasaliti ndio maana tuliomba muda.

Kwa hoja hizi tu chache, ninaweza kumalizia kwa kusema Kamati kuu ya CHADEMA imefungwa magoli matatu tena ya Visigino na Mh Mdee. Na msumari wa mwisho ni kwa akina Mama aliosema walikuwa wakitoa matamko kwa kuwa walikuwa wameona fursa kwa jicho la tatu.
Kitu pekee cha maana ulichoweka kwenye huu ushuzi wako ni namba ya simu.
 
Mtu anaenda kukata rufaa halafu unasema Halima 5?

Bure kabisa..... Hufai kwa uteuzi na hiyo namba yako ya simu!
Wewe ni mtu mwenye heshima sana hapa jukwaani.....bila shaka wapo wanaonufaika na michango yako!!!!.....

Ongeza ujuzi wa kukabiliana na hoja kinzani au fikra kinzani pasi na jazba!!!!!!...

Ni mtazamo wangu tu...Samahani kama umekwazika
 
DAKIKA YA 89, KAMATI KUU YA CHADEMA 0 MH MDEE 5

Na Elius Ndabila
0768239284

Ingekuwa ni mchezo wa Soka ningeweza kusema hivyo kuwa Kamati Kuu ya CHADEMA 0 na Mh Mdee 5, hasa baada ya press yake ya leo.

Mtakubaliana nami kuwa Majibu ya Mh Mbowe juu ya Wale Wabunge wa Viti Maalumu 19 yalijaa hamaki kubwa hivyo wengi kufikiria kuwa Mh Mbowe alisoma akiwa amesha leo. Taarifa kwa vyombo vya habari ilitolewa baada ya kamati kuu kujadiliana kwa zaidi ya saa 15.

Mh Mdee ambaye amezungumza leo, amezungumza very techinic. Amezungumza na kujibu maswali kwa ustadi mkubwa huku akiwa ametulia. Ameonyesha wazi kuwa yeye na wenzake ni zao la CHADEMA na hawawezi kukihama. Amesema hata kama hawakubaliani na matokeo hawawezi kukataa kwenda bungeni wakati ni haki yao.

Amesema Bunge ndipo mahali pekee pa kwenda kutolea kero zao na si kukataa kwenda. Zaidi amesema anapinga utaratibu wa chama chao kuwafukuza na hivyo yeye na Wenzake watakata rufaa na hawataomba radhi. Pigo lingine alipojibu swali la kuhusu Nasurt amesema akaulizwe DPP, Bwana Jera au Mahaka.

Mh Mdee anasema “Nimekuja kuongea ili kutuliza haya mambo maana sio makubwa saana, niliamua kukaa kimya ila naona uongo unasambazwa na ukiach uongo usemwe bila kutoa neno inafanya Watu waamini.

Kuna Watu wanasema tunakuja kuunga mkono juhudi, niwaambie tu Mimi nitaendelea kubaki CHADEMA na naamini na wenzangu bado wataendelea kubaki CHADEMA, sisi ni CHADEMA kindakindani, niwahakikishie Wana-CHADEMA Nchi nzima, Halima mnayemfahamu ni yuleyule.

Mh Mbowe alizungumza akiwa ametoa mishipa usoni, na amekunja sura mithili ya mtu aliyepigwa na kitu chenye ncha kali, lakini leo anajibiwa na Mh Mdee akiwa anacheka na kutabasamu, huku akipiga makombora ambayo yanasambaratisha kabisa hoja zenye hasira za CC ya CHADEMA.

Mh Mdee anasema kuwa “Tuliitwa kuhudhuria Kamati Kuu Nov 25, Mimi nilipata barua jioni kwa njia ya simu, Matiko hakupata wengine kila Mtu alipata kwa muda wake,Nov 26 tulimuandikia barua Katibu Mkuu tukimuomba asogeze kikao mbele japo kwa Wiki moja, kutokana na ile presha. Tulitaka twende kwenye kikao huku hasira zetu zikiwa zimepungua kidogo maana press ya Katibu aliongea mazito, tukaomba Wiki moja mbele, pili kulikuwa na uhamasishaji wa Watu kuja kutupiga mawe na mayai viza wakidai ni Wasaliti ndio maana tuliomba muda.

Kwa hoja hizi tu chache, ninaweza kumalizia kwa kusema Kamati kuu ya CHADEMA imefungwa magoli matatu tena ya Visigino na Mh Mdee. Na msumari wa mwisho ni kwa akina Mama aliosema walikuwa wakitoa matamko kwa kuwa walikuwa wameona fursa kwa jicho la tatu.
Pangu pakavu tia mchuzi katika ubora wako
 
Kwa nini hamjibu swali la Mdee?

Kwa nini 2010 ,2015 wabunge wa viti maalum waende bungeni na 2020 wasiende?
 
Yule dada Halima ni kichwa!!

Cheki Hekima sliyoitumia kwenye press yake!!

Anaijua miiko ya Chama, anaijua katiba ya Chama, lakini pia ni mwenye kutumia tahadhari kubwa kuwaonyesha kina Mbowe & Co hawana marifa, amewaonyesha kwamba, Hekima Yao inasoma ziro katika kutatua mambo magumu na hatarishi

Chadema inakosa vitu vidogovidogo Sana aisee
Huko kwenu kwa wenye 'hekima na maarifa' kuna mtu angekuwa kesha wawekea sumu.
 
Yule dada Halima ni kichwa!!

Cheki Hekima sliyoitumia kwenye press yake!!

Anaijua miiko ya Chama, anaijua katiba ya Chama, lakini pia ni mwenye kutumia tahadhari kubwa kuwaonyesha kina Mbowe & Co hawana marifa, amewaonyesha kwamba, Hekima Yao inasoma ziro katika kutatua mambo magumu na hatarishi

Chadema inakosa vitu vidogovidogo Sana aisee
Yule amechanganyikiwa baada ya kurukuzwa uanachama. Ulitegemea aje kwenye press conference atukane wakati ameshavunjwa nguvu?

Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
 
Umeandika mavi mavi gani sasa. Na kwataarifa yenu hii press hajibiwi mtu. Tumeshawafukuza waende uko mahkamani wakadai uo uanachama
 
DAKIKA YA 89, KAMATI KUU YA CHADEMA 0 MH MDEE 5

Na Elius Ndabila
0768239284

Ingekuwa ni mchezo wa Soka ningeweza kusema hivyo kuwa Kamati Kuu ya CHADEMA 0 na Mh Mdee 5, hasa baada ya press yake ya leo.

Mtakubaliana nami kuwa Majibu ya Mh Mbowe juu ya Wale Wabunge wa Viti Maalumu 19 yalijaa hamaki kubwa hivyo wengi kufikiria kuwa Mh Mbowe alisoma akiwa amesha leo. Taarifa kwa vyombo vya habari ilitolewa baada ya kamati kuu kujadiliana kwa zaidi ya saa 15.

Mh Mdee ambaye amezungumza leo, amezungumza very techinic. Amezungumza na kujibu maswali kwa ustadi mkubwa huku akiwa ametulia. Ameonyesha wazi kuwa yeye na wenzake ni zao la CHADEMA na hawawezi kukihama. Amesema hata kama hawakubaliani na matokeo hawawezi kukataa kwenda bungeni wakati ni haki yao.

Amesema Bunge ndipo mahali pekee pa kwenda kutolea kero zao na si kukataa kwenda. Zaidi amesema anapinga utaratibu wa chama chao kuwafukuza na hivyo yeye na Wenzake watakata rufaa na hawataomba radhi. Pigo lingine alipojibu swali la kuhusu Nasurt amesema akaulizwe DPP, Bwana Jera au Mahaka.

Mh Mdee anasema “Nimekuja kuongea ili kutuliza haya mambo maana sio makubwa saana, niliamua kukaa kimya ila naona uongo unasambazwa na ukiach uongo usemwe bila kutoa neno inafanya Watu waamini.

Kuna Watu wanasema tunakuja kuunga mkono juhudi, niwaambie tu Mimi nitaendelea kubaki CHADEMA na naamini na wenzangu bado wataendelea kubaki CHADEMA, sisi ni CHADEMA kindakindani, niwahakikishie Wana-CHADEMA Nchi nzima, Halima mnayemfahamu ni yuleyule.

Mh Mbowe alizungumza akiwa ametoa mishipa usoni, na amekunja sura mithili ya mtu aliyepigwa na kitu chenye ncha kali, lakini leo anajibiwa na Mh Mdee akiwa anacheka na kutabasamu, huku akipiga makombora ambayo yanasambaratisha kabisa hoja zenye hasira za CC ya CHADEMA.

Mh Mdee anasema kuwa “Tuliitwa kuhudhuria Kamati Kuu Nov 25, Mimi nilipata barua jioni kwa njia ya simu, Matiko hakupata wengine kila Mtu alipata kwa muda wake,Nov 26 tulimuandikia barua Katibu Mkuu tukimuomba asogeze kikao mbele japo kwa Wiki moja, kutokana na ile presha. Tulitaka twende kwenye kikao huku hasira zetu zikiwa zimepungua kidogo maana press ya Katibu aliongea mazito, tukaomba Wiki moja mbele, pili kulikuwa na uhamasishaji wa Watu kuja kutupiga mawe na mayai viza wakidai ni Wasaliti ndio maana tuliomba muda.

Kwa hoja hizi tu chache, ninaweza kumalizia kwa kusema Kamati kuu ya CHADEMA imefungwa magoli matatu tena ya Visigino na Mh Mdee. Na msumari wa mwisho ni kwa akina Mama aliosema walikuwa wakitoa matamko kwa kuwa walikuwa wameona fursa kwa jicho la tatu.
MATAGA mbona mnawashwa sana na CHADEMA?
MATAGA toka lini mkawa na mapenzi na "mzee mdee"?

Tangu lini mmekuwa mnawatakia mema wapinzani, Mawazo, Ben Saa nane, Mwangosi, Akw
 
Mbona CCM mnahangaika sana na ya chadema, huo upendo kwa chadema mmeutoa wapi? Au ndio hata shetani hujifanya kuwa malaika wa nuru.
Kitu ambacho wengi hatukielewi ni kuwa Chama chochote cha siasa ni taasisi ya umma. Hivyo mtu yeyote ndani ya umma huo, ana haki ya kikatiba kuhoji mienendo yake.

Pamoja na mambo mengine, Chama Cha siasa katika utekelezaji wa utawala bora ni lazima kiwe shirikishi, sikivu, chenye uwazi, chenye kuwajibika, kinachozingatia usawa. Kiranja wa kuhakikisha haya yanafanyika ni mwananchi yeyote awaye na katu si wanachama pekee kama watu wanavyojidanganya na ndio maana vyama hivi katika utunzaji wa hesabu hukaguliwa na CAG.
 
Mbona CCM mnahangaika sana na ya chadema, huo upendo kwa chadema mmeutoa wapi? Au ndio hata shetani hujifanya kuwa malaika wa nuru.
😂😂😂🤣🤣
Mnakumbuka kipindi cha Membe kabla ya uchaguzi. Ghafla chadema walikuwa na mahaba mazito na kachero mbobezi.

Sasa leo CCM kumpenda Mdee na wenzake 18 ndio iwe nongwa?

Mpende msipende hao ndio wabunge wenu mpaka 2025. Hapo ni mchakato tu unatafutwa, Halima ni genge lake ni smart kushinda CC ya Chadema mara 10,000.

Nilisema hapa ACT Wazalendo wanaendesha mambo yao vizuri. Leo hata maalim Seif akijiunga SUK Zanzibar hakuna mwanachama atakayepiga kelele kwani hawajatoa mahitimisho mbele ya kamera. Lakini Chadema kabla ya CC kukaa walishatoa matamko ya kipuuzi leo Mdee anapangua hoja kiulaini hapo nadhani alikosa popcorn tu na mtindi baridi wa ASAS kushushia.

Hii gemu Mdee keshshinda asubuhi na atakuwa mbunge kwa miaka 5 akiwa mwananchama wa hiari ndani ya Chadema. Wait and see...... labda Chadema waombe poo ila kwa akili ya Mbeligiji anayedanganywa na Amsterdam hamna kitu hapo.
 
Yule dada Halima ni kichwa!!

Cheki Hekima sliyoitumia kwenye press yake!!

Anaijua miiko ya Chama, anaijua katiba ya Chama, lakini pia ni mwenye kutumia tahadhari kubwa kuwaonyesha kina Mbowe & Co hawana marifa, amewaonyesha kwamba, Hekima Yao inasoma ziro katika kutatua mambo magumu na hatarishi

Chadema inakosa vitu vidogovidogo Sana aisee
Kama Halima angekua anaijua miiko na katiba ya chama asingeenda kuapishwa gereji bila kupata idhini ya kamati kuu kwa mujibu wa katiba ya Chadema.

Tumeshafukuza huyu muasi ameishia kuchafua combat kwa jasho kwa uoga na aibu.
 
DAKIKA YA 89, KAMATI KUU YA CHADEMA 0 MH MDEE 5

Na Elius Ndabila
0768239284

Ingekuwa ni mchezo wa Soka ningeweza kusema hivyo kuwa Kamati Kuu ya CHADEMA 0 na Mh Mdee 5, hasa baada ya press yake ya leo.

Mtakubaliana nami kuwa Majibu ya Mh Mbowe juu ya Wale Wabunge wa Viti Maalumu 19 yalijaa hamaki kubwa hivyo wengi kufikiria kuwa Mh Mbowe alisoma akiwa amesha leo. Taarifa kwa vyombo vya habari ilitolewa baada ya kamati kuu kujadiliana kwa zaidi ya saa 15.

Mh Mdee ambaye amezungumza leo, amezungumza very techinic. Amezungumza na kujibu maswali kwa ustadi mkubwa huku akiwa ametulia. Ameonyesha wazi kuwa yeye na wenzake ni zao la CHADEMA na hawawezi kukihama. Amesema hata kama hawakubaliani na matokeo hawawezi kukataa kwenda bungeni wakati ni haki yao.

Amesema Bunge ndipo mahali pekee pa kwenda kutolea kero zao na si kukataa kwenda. Zaidi amesema anapinga utaratibu wa chama chao kuwafukuza na hivyo yeye na Wenzake watakata rufaa na hawataomba radhi. Pigo lingine alipojibu swali la kuhusu Nasurt amesema akaulizwe DPP, Bwana Jera au Mahaka.

Mh Mdee anasema “Nimekuja kuongea ili kutuliza haya mambo maana sio makubwa saana, niliamua kukaa kimya ila naona uongo unasambazwa na ukiach uongo usemwe bila kutoa neno inafanya Watu waamini.

Kuna Watu wanasema tunakuja kuunga mkono juhudi, niwaambie tu Mimi nitaendelea kubaki CHADEMA na naamini na wenzangu bado wataendelea kubaki CHADEMA, sisi ni CHADEMA kindakindani, niwahakikishie Wana-CHADEMA Nchi nzima, Halima mnayemfahamu ni yuleyule.

Mh Mbowe alizungumza akiwa ametoa mishipa usoni, na amekunja sura mithili ya mtu aliyepigwa na kitu chenye ncha kali, lakini leo anajibiwa na Mh Mdee akiwa anacheka na kutabasamu, huku akipiga makombora ambayo yanasambaratisha kabisa hoja zenye hasira za CC ya CHADEMA.

Mh Mdee anasema kuwa “Tuliitwa kuhudhuria Kamati Kuu Nov 25, Mimi nilipata barua jioni kwa njia ya simu, Matiko hakupata wengine kila Mtu alipata kwa muda wake,Nov 26 tulimuandikia barua Katibu Mkuu tukimuomba asogeze kikao mbele japo kwa Wiki moja, kutokana na ile presha. Tulitaka twende kwenye kikao huku hasira zetu zikiwa zimepungua kidogo maana press ya Katibu aliongea mazito, tukaomba Wiki moja mbele, pili kulikuwa na uhamasishaji wa Watu kuja kutupiga mawe na mayai viza wakidai ni Wasaliti ndio maana tuliomba muda.

Kwa hoja hizi tu chache, ninaweza kumalizia kwa kusema Kamati kuu ya CHADEMA imefungwa magoli matatu tena ya Visigino na Mh Mdee. Na msumari wa mwisho ni kwa akina Mama aliosema walikuwa wakitoa matamko kwa kuwa walikuwa wameona fursa kwa jicho la tatu.
Tatizo siyo kuapishwa,
Mchakato wa juwapata hao Covid 19 ulizingatiwa?
Covid 19 Nani aliwapendekeza?
Hao waandishi walimuuliza maswali Kama hayo?
 
😂😂😂🤣🤣
Mnakumbuka kipindi cha Membe kabla ya uchaguzi. Ghafla chadema walikuwa na mahaba mazito na kachero mbobezi.

Sasa leo CCM kumpenda Mdee na wenzake 18 ndio iwe nongwa?

Mpende msipende hao ndio wabunge wenu mpaka 2025. Hapo ni mchakato tu unatafutwa, Halima ni genge lake ni smart kushinda CC ya Chadema mara 10,000.

Nilisema hapa ACT Wazalendo wanaendesha mambo yao vizuri. Leo hata maalim Seif akijiunga SUK Zanzibar hakuna mwanachama atakayepiga kelele kwani hawajatoa mahitimisho mbele ya kamera. Lakini Chadema kabla ya CC kukaa walishatoa matamko ya kipuuzi leo Mdee anapangua hoja kiulaini hapo nadhani alikosa popcorn tu na mtindi baridi wa ASAS kushushia.

Hii gemu Mdee keshshinda asubuhi na atakuwa mbunge kwa miaka 5 akiwa mwananchama wa hiari ndani ya Chadema. Wait and see...... labda Chadema waombe poo ila kwa akili ya Mbeligiji anayedanganywa na Amsterdam hamna kitu hapo.
Shetani anapojifanya malaika wa nuru 🌝🌝
 
Back
Top Bottom