Kelevra
JF-Expert Member
- Nov 23, 2018
- 1,053
- 2,007
Muda unabadilika...vitu vinabadilika...Maisha yanabadilika...mbinu za kupambana na maisha zinabadilika...hatuishi kwenye past wala future bali the present...Kwa nini hamjibu swali la Mdee?
Kwa nini 2010 ,2015 wabunge wa viti maalum waende bungeni na 2020 wasiende?