Dakika ya 89: Freeman Mbowe 0 vs Halima Mdee 5

Kwa nini hamjibu swali la Mdee?

Kwa nini 2010 ,2015 wabunge wa viti maalum waende bungeni na 2020 wasiende?
Muda unabadilika...vitu vinabadilika...Maisha yanabadilika...mbinu za kupambana na maisha zinabadilika...hatuishi kwenye past wala future bali the present...
 
DAKIKA YA 89, KAMATI KUU YA CHADEMA 0 MH MDEE 5

Na Elius Ndabila
0768239284

Ingekuwa ni mchezo wa Soka ningeweza kusema hivyo kuwa Kamati Kuu ya CHADEMA 0 na Mh Mdee 5, hasa baada ya press yake ya leo.

Mtakubaliana nami kuwa Majibu ya Mh Mbowe juu ya Wale Wabunge wa Viti Maalumu 19 yalijaa hamaki kubwa hivyo wengi kufikiria kuwa Mh Mbowe alisoma akiwa amesha leo. Taarifa kwa vyombo vya habari ilitolewa baada ya kamati kuu kujadiliana kwa zaidi ya saa 15.

Mh Mdee ambaye amezungumza leo, amezungumza very techinic. Amezungumza na kujibu maswali kwa ustadi mkubwa huku akiwa ametulia. Ameonyesha wazi kuwa yeye na wenzake ni zao la CHADEMA na hawawezi kukihama. Amesema hata kama hawakubaliani na matokeo hawawezi kukataa kwenda bungeni wakati ni haki yao.

Amesema Bunge ndipo mahali pekee pa kwenda kutolea kero zao na si kukataa kwenda. Zaidi amesema anapinga utaratibu wa chama chao kuwafukuza na hivyo yeye na Wenzake watakata rufaa na hawataomba radhi. Pigo lingine alipojibu swali la kuhusu Nasurt amesema akaulizwe DPP, Bwana Jera au Mahaka.

Mh Mdee anasema “Nimekuja kuongea ili kutuliza haya mambo maana sio makubwa saana, niliamua kukaa kimya ila naona uongo unasambazwa na ukiach uongo usemwe bila kutoa neno inafanya Watu waamini.

Kuna Watu wanasema tunakuja kuunga mkono juhudi, niwaambie tu Mimi nitaendelea kubaki CHADEMA na naamini na wenzangu bado wataendelea kubaki CHADEMA, sisi ni CHADEMA kindakindani, niwahakikishie Wana-CHADEMA Nchi nzima, Halima mnayemfahamu ni yuleyule.

Mh Mbowe alizungumza akiwa ametoa mishipa usoni, na amekunja sura mithili ya mtu aliyepigwa na kitu chenye ncha kali, lakini leo anajibiwa na Mh Mdee akiwa anacheka na kutabasamu, huku akipiga makombora ambayo yanasambaratisha kabisa hoja zenye hasira za CC ya CHADEMA.

Mh Mdee anasema kuwa “Tuliitwa kuhudhuria Kamati Kuu Nov 25, Mimi nilipata barua jioni kwa njia ya simu, Matiko hakupata wengine kila Mtu alipata kwa muda wake,Nov 26 tulimuandikia barua Katibu Mkuu tukimuomba asogeze kikao mbele japo kwa Wiki moja, kutokana na ile presha. Tulitaka twende kwenye kikao huku hasira zetu zikiwa zimepungua kidogo maana press ya Katibu aliongea mazito, tukaomba Wiki moja mbele, pili kulikuwa na uhamasishaji wa Watu kuja kutupiga mawe na mayai viza wakidai ni Wasaliti ndio maana tuliomba muda.

Kwa hoja hizi tu chache, ninaweza kumalizia kwa kusema Kamati kuu ya CHADEMA imefungwa magoli matatu tena ya Visigino na Mh Mdee. Na msumari wa mwisho ni kwa akina Mama aliosema walikuwa wakitoa matamko kwa kuwa walikuwa wameona fursa kwa jicho la tatu.
Unategemea kitu gani cha maana kinachusu CDM kitatoka Lumumba
 
CHADEMA imajaa wanachama wajeuri na wenye viburi Sana yani mtu anavuliwa uanachama halafu bado yeye bado anajiita mwanachama na amevaa magwanda ya chama kabisa.

Muulizeni jasusi mbobevu kilichompata alivyofukuzwa kwenye kile chama Cha lumumba.

Episode ya CDM bado inaendelea, stay tuned!
Nakumbuka Mbowe aliwapa nafasi ya kuomba msamaha. Ninaamini 19 kuvaa gwanda ndo kuonyesha Itikadi yao wanayoishi nayo rohoni Kama nilivyo Mimi mwanaccm
 
DAKIKA YA 89, KAMATI KUU YA CHADEMA 0 MH MDEE 5

Na Elius Ndabila
0768239284

Ingekuwa ni mchezo wa Soka ningeweza kusema hivyo kuwa Kamati Kuu ya CHADEMA 0 na Mh Mdee 5, hasa baada ya press yake ya leo.

Mtakubaliana nami kuwa Majibu ya Mh Mbowe juu ya Wale Wabunge wa Viti Maalumu 19 yalijaa hamaki kubwa hivyo wengi kufikiria kuwa Mh Mbowe alisoma akiwa amesha leo. Taarifa kwa vyombo vya habari ilitolewa baada ya kamati kuu kujadiliana kwa zaidi ya saa 15.

Mh Mdee ambaye amezungumza leo, amezungumza very techinic. Amezungumza na kujibu maswali kwa ustadi mkubwa huku akiwa ametulia. Ameonyesha wazi kuwa yeye na wenzake ni zao la CHADEMA na hawawezi kukihama. Amesema hata kama hawakubaliani na matokeo hawawezi kukataa kwenda bungeni wakati ni haki yao.

Amesema Bunge ndipo mahali pekee pa kwenda kutolea kero zao na si kukataa kwenda. Zaidi amesema anapinga utaratibu wa chama chao kuwafukuza na hivyo yeye na Wenzake watakata rufaa na hawataomba radhi. Pigo lingine alipojibu swali la kuhusu Nasurt amesema akaulizwe DPP, Bwana Jera au Mahaka.

Mh Mdee anasema “Nimekuja kuongea ili kutuliza haya mambo maana sio makubwa saana, niliamua kukaa kimya ila naona uongo unasambazwa na ukiach uongo usemwe bila kutoa neno inafanya Watu waamini.

Kuna Watu wanasema tunakuja kuunga mkono juhudi, niwaambie tu Mimi nitaendelea kubaki CHADEMA na naamini na wenzangu bado wataendelea kubaki CHADEMA, sisi ni CHADEMA kindakindani, niwahakikishie Wana-CHADEMA Nchi nzima, Halima mnayemfahamu ni yuleyule.

Mh Mbowe alizungumza akiwa ametoa mishipa usoni, na amekunja sura mithili ya mtu aliyepigwa na kitu chenye ncha kali, lakini leo anajibiwa na Mh Mdee akiwa anacheka na kutabasamu, huku akipiga makombora ambayo yanasambaratisha kabisa hoja zenye hasira za CC ya CHADEMA.

Mh Mdee anasema kuwa “Tuliitwa kuhudhuria Kamati Kuu Nov 25, Mimi nilipata barua jioni kwa njia ya simu, Matiko hakupata wengine kila Mtu alipata kwa muda wake,Nov 26 tulimuandikia barua Katibu Mkuu tukimuomba asogeze kikao mbele japo kwa Wiki moja, kutokana na ile presha. Tulitaka twende kwenye kikao huku hasira zetu zikiwa zimepungua kidogo maana press ya Katibu aliongea mazito, tukaomba Wiki moja mbele, pili kulikuwa na uhamasishaji wa Watu kuja kutupiga mawe na mayai viza wakidai ni Wasaliti ndio maana tuliomba muda.

Kwa hoja hizi tu chache, ninaweza kumalizia kwa kusema Kamati kuu ya CHADEMA imefungwa magoli matatu tena ya Visigino na Mh Mdee. Na msumari wa mwisho ni kwa akina Mama aliosema walikuwa wakitoa matamko kwa kuwa walikuwa wameona fursa kwa jicho la tatu.
naona unatafuta uteuzi, njaa mbaya sana
 
Yule dada Halima ni kichwa!!

Cheki Hekima sliyoitumia kwenye press yake!!

Anaijua miiko ya Chama, anaijua katiba ya Chama, lakini pia ni mwenye kutumia tahadhari kubwa kuwaonyesha kina Mbowe & Co hawana marifa, amewaonyesha kwamba, Hekima Yao inasoma ziro katika kutatua mambo magumu na hatarishi

Chadema inakosa vitu vidogovidogo Sana aisee
akili yako ndo imeishia hapo
 
DAKIKA YA 89, KAMATI KUU YA CHADEMA 0 MH MDEE 5

Na Elius Ndabila
0768239284

Ingekuwa ni mchezo wa Soka ningeweza kusema hivyo kuwa Kamati Kuu ya CHADEMA 0 na Mh Mdee 5, hasa baada ya press yake ya leo.

Mtakubaliana nami kuwa Majibu ya Mh Mbowe juu ya Wale Wabunge wa Viti Maalumu 19 yalijaa hamaki kubwa hivyo wengi kufikiria kuwa Mh Mbowe alisoma akiwa amesha leo. Taarifa kwa vyombo vya habari ilitolewa baada ya kamati kuu kujadiliana kwa zaidi ya saa 15.

Mh Mdee ambaye amezungumza leo, amezungumza very techinic. Amezungumza na kujibu maswali kwa ustadi mkubwa huku akiwa ametulia. Ameonyesha wazi kuwa yeye na wenzake ni zao la CHADEMA na hawawezi kukihama. Amesema hata kama hawakubaliani na matokeo hawawezi kukataa kwenda bungeni wakati ni haki yao.

Amesema Bunge ndipo mahali pekee pa kwenda kutolea kero zao na si kukataa kwenda. Zaidi amesema anapinga utaratibu wa chama chao kuwafukuza na hivyo yeye na Wenzake watakata rufaa na hawataomba radhi. Pigo lingine alipojibu swali la kuhusu Nasurt amesema akaulizwe DPP, Bwana Jera au Mahaka.

Mh Mdee anasema “Nimekuja kuongea ili kutuliza haya mambo maana sio makubwa saana, niliamua kukaa kimya ila naona uongo unasambazwa na ukiach uongo usemwe bila kutoa neno inafanya Watu waamini.

Kuna Watu wanasema tunakuja kuunga mkono juhudi, niwaambie tu Mimi nitaendelea kubaki CHADEMA na naamini na wenzangu bado wataendelea kubaki CHADEMA, sisi ni CHADEMA kindakindani, niwahakikishie Wana-CHADEMA Nchi nzima, Halima mnayemfahamu ni yuleyule.

Mh Mbowe alizungumza akiwa ametoa mishipa usoni, na amekunja sura mithili ya mtu aliyepigwa na kitu chenye ncha kali, lakini leo anajibiwa na Mh Mdee akiwa anacheka na kutabasamu, huku akipiga makombora ambayo yanasambaratisha kabisa hoja zenye hasira za CC ya CHADEMA.

Mh Mdee anasema kuwa “Tuliitwa kuhudhuria Kamati Kuu Nov 25, Mimi nilipata barua jioni kwa njia ya simu, Matiko hakupata wengine kila Mtu alipata kwa muda wake,Nov 26 tulimuandikia barua Katibu Mkuu tukimuomba asogeze kikao mbele japo kwa Wiki moja, kutokana na ile presha. Tulitaka twende kwenye kikao huku hasira zetu zikiwa zimepungua kidogo maana press ya Katibu aliongea mazito, tukaomba Wiki moja mbele, pili kulikuwa na uhamasishaji wa Watu kuja kutupiga mawe na mayai viza wakidai ni Wasaliti ndio maana tuliomba muda.

Kwa hoja hizi tu chache, ninaweza kumalizia kwa kusema Kamati kuu ya CHADEMA imefungwa magoli matatu tena ya Visigino na Mh Mdee. Na msumari wa mwisho ni kwa akina Mama aliosema walikuwa wakitoa matamko kwa kuwa walikuwa wameona fursa kwa jicho la tatu.
Huu upendo wa Mifisiem kwa covid-19 ni wakushangaza sana. Tokea lini mtesi wako kipindi chote akawa mfariji wako kipindi cha shida???
 
DAKIKA YA 89, KAMATI KUU YA CHADEMA 0 MH MDEE 5

Na Elius Ndabila
0768239284

Ingekuwa ni mchezo wa Soka ningeweza kusema hivyo kuwa Kamati Kuu ya CHADEMA 0 na Mh Mdee 5, hasa baada ya press yake ya leo.

Mtakubaliana nami kuwa Majibu ya Mh Mbowe juu ya Wale Wabunge wa Viti Maalumu 19 yalijaa hamaki kubwa hivyo wengi kufikiria kuwa Mh Mbowe alisoma akiwa amesha leo. Taarifa kwa vyombo vya habari ilitolewa baada ya kamati kuu kujadiliana kwa zaidi ya saa 15.

Mh Mdee ambaye amezungumza leo, amezungumza very techinic. Amezungumza na kujibu maswali kwa ustadi mkubwa huku akiwa ametulia. Ameonyesha wazi kuwa yeye na wenzake ni zao la CHADEMA na hawawezi kukihama. Amesema hata kama hawakubaliani na matokeo hawawezi kukataa kwenda bungeni wakati ni haki yao.

Amesema Bunge ndipo mahali pekee pa kwenda kutolea kero zao na si kukataa kwenda. Zaidi amesema anapinga utaratibu wa chama chao kuwafukuza na hivyo yeye na Wenzake watakata rufaa na hawataomba radhi. Pigo lingine alipojibu swali la kuhusu Nasurt amesema akaulizwe DPP, Bwana Jera au Mahaka.

Mh Mdee anasema “Nimekuja kuongea ili kutuliza haya mambo maana sio makubwa saana, niliamua kukaa kimya ila naona uongo unasambazwa na ukiach uongo usemwe bila kutoa neno inafanya Watu waamini.

Kuna Watu wanasema tunakuja kuunga mkono juhudi, niwaambie tu Mimi nitaendelea kubaki CHADEMA na naamini na wenzangu bado wataendelea kubaki CHADEMA, sisi ni CHADEMA kindakindani, niwahakikishie Wana-CHADEMA Nchi nzima, Halima mnayemfahamu ni yuleyule.

Mh Mbowe alizungumza akiwa ametoa mishipa usoni, na amekunja sura mithili ya mtu aliyepigwa na kitu chenye ncha kali, lakini leo anajibiwa na Mh Mdee akiwa anacheka na kutabasamu, huku akipiga makombora ambayo yanasambaratisha kabisa hoja zenye hasira za CC ya CHADEMA.

Mh Mdee anasema kuwa “Tuliitwa kuhudhuria Kamati Kuu Nov 25, Mimi nilipata barua jioni kwa njia ya simu, Matiko hakupata wengine kila Mtu alipata kwa muda wake,Nov 26 tulimuandikia barua Katibu Mkuu tukimuomba asogeze kikao mbele japo kwa Wiki moja, kutokana na ile presha. Tulitaka twende kwenye kikao huku hasira zetu zikiwa zimepungua kidogo maana press ya Katibu aliongea mazito, tukaomba Wiki moja mbele, pili kulikuwa na uhamasishaji wa Watu kuja kutupiga mawe na mayai viza wakidai ni Wasaliti ndio maana tuliomba muda.

Kwa hoja hizi tu chache, ninaweza kumalizia kwa kusema Kamati kuu ya CHADEMA imefungwa magoli matatu tena ya Visigino na Mh Mdee. Na msumari wa mwisho ni kwa akina Mama aliosema walikuwa wakitoa matamko kwa kuwa walikuwa wameona fursa kwa jicho la tatu.
Mdee na genge lake walishafukuzwa. Sasa leo ana ushindi gani. Km wameshinda 5 na Mbowe 0,kwann wanaenda kukata rufaa.Huu ushabiki halafu hujui unachoandika ni kujidhalilisha.
Na NEC kuwafukuza ilikuwa timing nzuri Sana,km wangewapa muda wa wiki moja waliyoomba saa hizi wangekuwa mahakaman kupinga chama kisiwachukulie hatua.ilikuwa ni mtego.
Na Halima leo wanaongea yale kwasababu waliwahiwa.chama kingechelewa kuwafukuza leo wangekuja kuitisha press ya kukinanga chama kuwa wao ni washindi.
Na usishangae hata huo ukumbi ni kitengo kimewalipia.
 
DAKIKA YA 89, KAMATI KUU YA CHADEMA 0 MH MDEE 5

Na Elius Ndabila
0768239284

Ingekuwa ni mchezo wa Soka ningeweza kusema hivyo kuwa Kamati Kuu ya CHADEMA 0 na Mh Mdee 5, hasa baada ya press yake ya leo.

Mtakubaliana nami kuwa Majibu ya Mh Mbowe juu ya Wale Wabunge wa Viti Maalumu 19 yalijaa hamaki kubwa hivyo wengi kufikiria kuwa Mh Mbowe alisoma akiwa amesha leo. Taarifa kwa vyombo vya habari ilitolewa baada ya kamati kuu kujadiliana kwa zaidi ya saa 15.

Mh Mdee ambaye amezungumza leo, amezungumza very techinic. Amezungumza na kujibu maswali kwa ustadi mkubwa huku akiwa ametulia. Ameonyesha wazi kuwa yeye na wenzake ni zao la CHADEMA na hawawezi kukihama. Amesema hata kama hawakubaliani na matokeo hawawezi kukataa kwenda bungeni wakati ni haki yao.

Amesema Bunge ndipo mahali pekee pa kwenda kutolea kero zao na si kukataa kwenda. Zaidi amesema anapinga utaratibu wa chama chao kuwafukuza na hivyo yeye na Wenzake watakata rufaa na hawataomba radhi. Pigo lingine alipojibu swali la kuhusu Nasurt amesema akaulizwe DPP, Bwana Jera au Mahaka.

Mh Mdee anasema “Nimekuja kuongea ili kutuliza haya mambo maana sio makubwa saana, niliamua kukaa kimya ila naona uongo unasambazwa na ukiach uongo usemwe bila kutoa neno inafanya Watu waamini.

Kuna Watu wanasema tunakuja kuunga mkono juhudi, niwaambie tu Mimi nitaendelea kubaki CHADEMA na naamini na wenzangu bado wataendelea kubaki CHADEMA, sisi ni CHADEMA kindakindani, niwahakikishie Wana-CHADEMA Nchi nzima, Halima mnayemfahamu ni yuleyule.

Mh Mbowe alizungumza akiwa ametoa mishipa usoni, na amekunja sura mithili ya mtu aliyepigwa na kitu chenye ncha kali, lakini leo anajibiwa na Mh Mdee akiwa anacheka na kutabasamu, huku akipiga makombora ambayo yanasambaratisha kabisa hoja zenye hasira za CC ya CHADEMA.

Mh Mdee anasema kuwa “Tuliitwa kuhudhuria Kamati Kuu Nov 25, Mimi nilipata barua jioni kwa njia ya simu, Matiko hakupata wengine kila Mtu alipata kwa muda wake,Nov 26 tulimuandikia barua Katibu Mkuu tukimuomba asogeze kikao mbele japo kwa Wiki moja, kutokana na ile presha. Tulitaka twende kwenye kikao huku hasira zetu zikiwa zimepungua kidogo maana press ya Katibu aliongea mazito, tukaomba Wiki moja mbele, pili kulikuwa na uhamasishaji wa Watu kuja kutupiga mawe na mayai viza wakidai ni Wasaliti ndio maana tuliomba muda.

Kwa hoja hizi tu chache, ninaweza kumalizia kwa kusema Kamati kuu ya CHADEMA imefungwa magoli matatu tena ya Visigino na Mh Mdee. Na msumari wa mwisho ni kwa akina Mama aliosema walikuwa wakitoa matamko kwa kuwa walikuwa wameona fursa kwa jicho la tatu.
Hakika kuelewa ni kipawa / kipaji.
Mdee kashindwa kabisa kujibu maswali ya msingi kuhusu mchakato mzima na mwisho akakubaliana na uamuzi wa chama na kujiita mwana chama wa hiari na kusema atakata rufaa. Vile vile kakiri kuwa Mbowe ndiye mentor wake na ndiye amemfikisha alipo na kakataa kabisa unyanyasaji wa akina mama ndani ya CDM, kwa kusema CDM ilitoa nafasi nyingi za kuwania uongozi / ubunge kuliko chama chochote.
as such press ya Mdee ilikuwa ni kuujilisha umma kuwa bado yupo CDM na anapambana kuendelea kubaki CDM vile vile kuonyesha kuwa siyo msaliti na hakulipwa chochote ingawa kagoma katakata kuelezea mazingira yaliyopelekea kwenda kuapa bila blessing za chama.
Kaongeza kusema kwa mdomo wake kuwa kamati kuu haijakosea kabisa maana kuna kipengele cha vikao vya dharura ndani ya katiba ya CDM.
Revise and Be Wise Otherwise No Rise.
 
Yule dada Halima ni kichwa!!

Cheki Hekima sliyoitumia kwenye press yake!!

Anaijua miiko ya Chama, anaijua katiba ya Chama, lakini pia ni mwenye kutumia tahadhari kubwa kuwaonyesha kina Mbowe & Co hawana marifa, amewaonyesha kwamba, Hekima Yao inasoma ziro katika kutatua mambo magumu

Kuna namna unanufaika na CCM siyo kwa kujitoa akili hivi
 
Yule dada Halima ni kichwa!!

Cheki Hekima sliyoitumia kwenye press yake!!

Anaijua miiko ya Chama, anaijua katiba ya Chama, lakini pia ni mwenye kutumia tahadhari kubwa kuwaonyesha kina Mbowe & Co hawana marifa, amewaonyesha kwamba, Hekima Yao inasoma ziro katika kutatua mambo magumu na hatarishi

Chadema inakosa vitu vidogovidogo Sana aisee
Ccm inawauma mdee kukosa cha kusema,mlidhani anamwaga siri,kumbe hana lolote.mnaumiaaa

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
DAKIKA YA 89, KAMATI KUU YA CHADEMA 0 MH MDEE 5

Na Elius Ndabila
0768239284

Ingekuwa ni mchezo wa Soka ningeweza kusema hivyo kuwa Kamati Kuu ya CHADEMA 0 na Mh Mdee 5, hasa baada ya press yake ya leo.

Mtakubaliana nami kuwa Majibu ya Mh Mbowe juu ya Wale Wabunge wa Viti Maalumu 19 yalijaa hamaki kubwa hivyo wengi kufikiria kuwa Mh Mbowe alisoma akiwa amesha leo. Taarifa kwa vyombo vya habari ilitolewa baada ya kamati kuu kujadiliana kwa zaidi ya saa 15.

Mh Mdee ambaye amezungumza leo, amezungumza very techinic. Amezungumza na kujibu maswali kwa ustadi mkubwa huku akiwa ametulia. Ameonyesha wazi kuwa yeye na wenzake ni zao la CHADEMA na hawawezi kukihama. Amesema hata kama hawakubaliani na matokeo hawawezi kukataa kwenda bungeni wakati ni haki yao.

Amesema Bunge ndipo mahali pekee pa kwenda kutolea kero zao na si kukataa kwenda. Zaidi amesema anapinga utaratibu wa chama chao kuwafukuza na hivyo yeye na Wenzake watakata rufaa na hawataomba radhi. Pigo lingine alipojibu swali la kuhusu Nasurt amesema akaulizwe DPP, Bwana Jera au Mahaka.

Mh Mdee anasema “Nimekuja kuongea ili kutuliza haya mambo maana sio makubwa saana, niliamua kukaa kimya ila naona uongo unasambazwa na ukiach uongo usemwe bila kutoa neno inafanya Watu waamini.

Kuna Watu wanasema tunakuja kuunga mkono juhudi, niwaambie tu Mimi nitaendelea kubaki CHADEMA na naamini na wenzangu bado wataendelea kubaki CHADEMA, sisi ni CHADEMA kindakindani, niwahakikishie Wana-CHADEMA Nchi nzima, Halima mnayemfahamu ni yuleyule.

Mh Mbowe alizungumza akiwa ametoa mishipa usoni, na amekunja sura mithili ya mtu aliyepigwa na kitu chenye ncha kali, lakini leo anajibiwa na Mh Mdee akiwa anacheka na kutabasamu, huku akipiga makombora ambayo yanasambaratisha kabisa hoja zenye hasira za CC ya CHADEMA.

Mh Mdee anasema kuwa “Tuliitwa kuhudhuria Kamati Kuu Nov 25, Mimi nilipata barua jioni kwa njia ya simu, Matiko hakupata wengine kila Mtu alipata kwa muda wake,Nov 26 tulimuandikia barua Katibu Mkuu tukimuomba asogeze kikao mbele japo kwa Wiki moja, kutokana na ile presha. Tulitaka twende kwenye kikao huku hasira zetu zikiwa zimepungua kidogo maana press ya Katibu aliongea mazito, tukaomba Wiki moja mbele, pili kulikuwa na uhamasishaji wa Watu kuja kutupiga mawe na mayai viza wakidai ni Wasaliti ndio maana tuliomba muda.

Kwa hoja hizi tu chache, ninaweza kumalizia kwa kusema Kamati kuu ya CHADEMA imefungwa magoli matatu tena ya Visigino na Mh Mdee. Na msumari wa mwisho ni kwa akina Mama aliosema walikuwa wakitoa matamko kwa kuwa walikuwa wameona fursa kwa jicho la tatu.
Utakuwa ulisimuliwa press ya mbowe na vile haikuwa live kama ya hawa covid 19 basi umehadithiwa, na kwa taarifa yako, hesabu mabao mwenyewe na wape pongezi sana ila ndo vile chdma washamaliza
 
DAKIKA YA 89, KAMATI KUU YA CHADEMA 0 MH MDEE 5

Na Elius Ndabila
0768239284

Ingekuwa ni mchezo wa Soka ningeweza kusema hivyo kuwa Kamati Kuu ya CHADEMA 0 na Mh Mdee 5, hasa baada ya press yake ya leo.

Mtakubaliana nami kuwa Majibu ya Mh Mbowe juu ya Wale Wabunge wa Viti Maalumu 19 yalijaa hamaki kubwa hivyo wengi kufikiria kuwa Mh Mbowe alisoma akiwa amesha leo. Taarifa kwa vyombo vya habari ilitolewa baada ya kamati kuu kujadiliana kwa zaidi ya saa 15.

Mh Mdee ambaye amezungumza leo, amezungumza very techinic. Amezungumza na kujibu maswali kwa ustadi mkubwa huku akiwa ametulia. Ameonyesha wazi kuwa yeye na wenzake ni zao la CHADEMA na hawawezi kukihama. Amesema hata kama hawakubaliani na matokeo hawawezi kukataa kwenda bungeni wakati ni haki yao.

Amesema Bunge ndipo mahali pekee pa kwenda kutolea kero zao na si kukataa kwenda. Zaidi amesema anapinga utaratibu wa chama chao kuwafukuza na hivyo yeye na Wenzake watakata rufaa na hawataomba radhi. Pigo lingine alipojibu swali la kuhusu Nasurt amesema akaulizwe DPP, Bwana Jera au Mahaka.

Mh Mdee anasema “Nimekuja kuongea ili kutuliza haya mambo maana sio makubwa saana, niliamua kukaa kimya ila naona uongo unasambazwa na ukiach uongo usemwe bila kutoa neno inafanya Watu waamini.

Kuna Watu wanasema tunakuja kuunga mkono juhudi, niwaambie tu Mimi nitaendelea kubaki CHADEMA na naamini na wenzangu bado wataendelea kubaki CHADEMA, sisi ni CHADEMA kindakindani, niwahakikishie Wana-CHADEMA Nchi nzima, Halima mnayemfahamu ni yuleyule.

Mh Mbowe alizungumza akiwa ametoa mishipa usoni, na amekunja sura mithili ya mtu aliyepigwa na kitu chenye ncha kali, lakini leo anajibiwa na Mh Mdee akiwa anacheka na kutabasamu, huku akipiga makombora ambayo yanasambaratisha kabisa hoja zenye hasira za CC ya CHADEMA.

Mh Mdee anasema kuwa “Tuliitwa kuhudhuria Kamati Kuu Nov 25, Mimi nilipata barua jioni kwa njia ya simu, Matiko hakupata wengine kila Mtu alipata kwa muda wake,Nov 26 tulimuandikia barua Katibu Mkuu tukimuomba asogeze kikao mbele japo kwa Wiki moja, kutokana na ile presha. Tulitaka twende kwenye kikao huku hasira zetu zikiwa zimepungua kidogo maana press ya Katibu aliongea mazito, tukaomba Wiki moja mbele, pili kulikuwa na uhamasishaji wa Watu kuja kutupiga mawe na mayai viza wakidai ni Wasaliti ndio maana tuliomba muda.

Kwa hoja hizi tu chache, ninaweza kumalizia kwa kusema Kamati kuu ya CHADEMA imefungwa magoli matatu tena ya Visigino na Mh Mdee. Na msumari wa mwisho ni kwa akina Mama aliosema walikuwa wakitoa matamko kwa kuwa walikuwa wameona fursa kwa jicho la tatu.
Dakika ya 90+5:

Wazungu 6 - 0 MATAGA
 
Back
Top Bottom