Tall Guy fam
JF-Expert Member
- Jan 16, 2017
- 917
- 1,093
Sio wako huyo mkuu.
Ahaa wivu ni kidonda ukiushiriki utaumia sana. Hali ilivyo sasa kugongewa dah inaumiza sana. Sina ushauri zaidi ya kukutakia pole mkuu...pambana na hali yakoChakula hakipiti nawaza ule utamu anaonipa atakuwa anampa na mtu mwengine
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpigie tenaHii imekuwa kawaida sana nikimpigia inatumika na hata akipokea majibu yake ya mkato mkato, simuelewi kabisa ananikondesha sana maana kuna wakati hadi hamu ya kula inapotea sijui nifanyaje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeas[emoji23] [emoji23] [emoji125]Haha ha nimekipenda kizungu chako.
Najiongezaje mkuuMapenzi haya jamani!! Pole sana mkuu, jiongeze tu.
Mapenzi hayatakiwi kuwa magumu hivyo jamani.
Nampenda mkuuNi mkeo huyo?!? Hata siku moja usikubali kukoseshwa raha na binadamu mwenzako
Cjakuelewa mkuuWalahi kazi ipo siku hizi.
[emoji188]
[emoji188]
[emoji188]
[emoji188]
[emoji188]
[emoji188]
Bado nampenda mkuuNaanzaje kuacha kula eti kisa mwanamke hapokei simu yangu??
Acha ujinga mkuu piga chini
Hii imekuwa kawaida sana nikimpigia inatumika na hata akipokea majibu yake ya mkato mkato, simuelewi kabisa ananikondesha sana maana kuna wakati hadi hamu ya kula inapotea sijui nifanyaje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Napambana nayo mkuuAhaa wivu ni kidonda ukiushiriki utaumia sana. Hali ilivyo sasa kugongewa dah inaumiza sana. Sina ushauri zaidi ya kukutakia pole mkuu...pambana na hali yako