MY EYES
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 234
- 602
Pole mkuu ila hapo huoni kwamba mpenzio kaisha ingizwa box na MWINGINE,tuliza akil maana yeye anakula bata we wawa a, jipange kuanza upya but chunguza before ujaamuaHii imekuwa kawaida sana nikimpigia inatumika na hata akipokea majibu yake ya mkato mkato, simuelewi kabisa ananikondesha sana maana kuna wakati hadi hamu ya kula inapotea sijui nifanyaje.
Sent using Jamii Forums mobile app