Dakika 45 simu ya mpenzi wangu inatumika

Dakika 45 simu ya mpenzi wangu inatumika

Hii imekuwa kawaida sana nikimpigia inatumika na hata akipokea majibu yake ya mkato mkato, simuelewi kabisa ananikondesha sana maana kuna wakati hadi hamu ya kula inapotea sijui nifanyaje.

Sent using Jamii Forums mobile app
Heee! Pole sana unakondeshwaje na mtu ambaye mmekutana ukubwani tu kama humuelewi muite umuulize ukiona haifai achana naye
 
We ni me au ke? Acha kuumia kichwa papuchi ni yake amerithi kutoka kwa mzazi wake.huna chako hapo,ana uhuru wa kufanya nayo chochote hata ukimuoa. Acha ajilinde mwenyewe kwa akili yake. Xxxy za kwako ndio Mali yako,elekezea wivu wako huko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wee arifuu, unachuniwa dk 45 unalialia? Je akikuchunia siku 3 si utajinyonga? Nakushauri, usilazimishe penzi pasipo na mapenzi, usiwekeze mapenzi pasipo pendeka! Wake up boy, before it is too late!
 
Hakupendi huyo. Anaongea na anayempenda. Wanawake ni watu wa hisia. If a woman feels you she goes out of her way to give attention to you. Ukiona unapiga simu hapokei wala harudishi, message hazijibiwi ujue hajakufeel huyo. Janja ni kum-ignore tu. Ukitaka kuwapatia wanawake hakikisha wanajua wewe ni playa (hata kama sio kweli). Play mind games. Mara umeweka whatsapp status "girl yo so funny" au "you are a star beautiful" au au weka ka-line ka uwimbo ambao wanawake wanapenda, itamfanya afikiri kuna demu mwingine you are interested in. Kuwa tu na time zako fanya yako wala usimtafute. Utaona watakavokuwa wanakutafuta wao. Women dont like desperate needy mofos. Mimi I call a girl twice, asiporudisha imetoka. Kama ipo ipo tu. Hakuna haja kupoteza muda na mwanamke asiyekupenda wakati wamejaa. Hawa password yao rahisi sana. Kama nissan nyeupe tu.
 
We ni me au ke? Acha kuumia kichwa papuchi ni yake amerithi kutoka kwa mzazi wake.huna chako hapo,ana uhuru wa kufanya nayo chochote hata ukimuoa. Acha ajilinde mwenyewe kwa akili yake. Xxxy za kwako ndio Mali yako,elekezea wivu wako huko.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu
 
Wee arifuu, unachuniwa dk 45 unalialia? Je akikuchunia siku 3 si utajinyonga? Nakushauri, usilazimishe penzi pasipo na mapenzi, usiwekeze mapenzi pasipo pendeka! Wake up boy, before it is too late!
Tatizo kanivuluga mkuu
 
Hakupendi huyo. Anaongea na anayempenda. Wanawake ni watu wa hisia. If a woman feels you she goes out of her way to give attention to you. Ukiona unapiga simu hapokei wala harudishi, message hazijibiwi ujue hajakufeel huyo. Janja ni kum-ignore tu. Ukitaka kuwapatia wanawake hakikisha wanajua wewe ni playa (hata kama sio kweli). Play mind games. Mara umeweka whatsapp status "girl yo so funny" au "you are a star beautiful" au au weka ka-line ka uwimbo ambao wanawake wanapenda, itamfanya afikiri kuna demu mwingine you are interested in. Kuwa tu na time zako fanya yako wala usimtafute. Utaona watakavokuwa wanakutafuta wao. Women dont like desperate needy mofos. Mimi I call a girl twice, asiporudisha imetoka. Kama ipo ipo tu. Hakuna haja kupoteza muda na mwanamke asiyekupenda wakati wamejaa. Hawa password yao rahisi sana. Kama nissan nyeupe tu.
Mkuu kizungu cjui
 
Alikuwa anatamba hadithi na bibi yake acha wivu
 
Wazungu wanasema
Not getting a response also is a message pia wakasema The only way to get some one attention is to spot giving them yours

Kama haitoshi wakasema tena
Not every loss is a loss
Ko mkuu hapo hapakufai hachana napo
 
Acha utoto na wewe si ufanye simu yako iwe busy...kwani lazima uongee naye...ebu yape nafasi mambo mengine...usimpe nafasi mtu ambaye ataki kupewa nafasi...
 
Back
Top Bottom