Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,558
- 109,088
Kwani chuo mnafunguwa lini?Hii imekuwa kawaida sana nikimpigia inatumika na hata akipokea majibu yake ya mkato mkato, simuelewi kabisa ananikondesha sana maana kuna wakati hadi hamu ya kula inapotea sijui nifanyaje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app