Dakika 45 simu ya mpenzi wangu inatumika

Dakika 45 simu ya mpenzi wangu inatumika

Wanawake huwa hawapendi mwanaume na hii nakuambia uizingatie sana,mwanamke huwa hana mapenzi na mwanaume,wanawake wote wanapenda pesa!

Nyie msio na hela kazi yenu huwa ni mazoezi ya kunyanyua vyuma,kusoma riwaya za mapenzi eti ili ukamkunje..! Tafuta pesa kijana,unadharauliwa kwa sababu hiyo,ww ndo unapaswa kutafutwa siyo ww ndo unahangaika kupiga simu kwa demu.

Wasichana hawapendi kusumbuliwa na mtu asiye na kitu. Km huamini,mtumie laki 1 sasa hv,mwambie hiyo hela ya taxi akukute mlimani city umfanyie shopping,uone atakavyohangaika kukupigia na maneno matamu. Mwanaume ili upendwe inabidi uwe na pesa,tafuta hela kijana!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe jamaa una akili sana ebu agiza shujaa moja ntalipa.kitu pekee ambacho kinaweza kukupa faraja ya kudum ni pesa tu. Maana kila kitu kinaangukia hapo kwenye pesa ukiona huna pesa jua wewe ni msindikizaji kwenye kila kitu hapa duniani

sent from makinikia
 
Inawezekana pia ameiweka namba yako katika blacklist kwa bahati mbaya. Simu zenyewe hizi ukikaa vibaya zinajibonyeza hadi kurekodi na kutuma ujumbe, itakuwa hii ya kujiingiza katika blacklist! Ni vyema kusubiri upande wa pili unasemaje kabla ya kuhukumu
Bora umenipa moyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom