python1
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 307
- 186
teh! teh! nakumbuka nilikua huko miaka 2 iliyopitaHii imekuwa kawaida sana nikimpigia inatumika na hata akipokea majibu yake ya mkato mkato, simuelewi kabisa ananikondesha sana maana kuna wakati hadi hamu ya kula inapotea sijui nifanyaje.
Sent using Jamii Forums mobile app