Daima utanivulia nguo

Daima utanivulia nguo

Dah!! kweli kabisa..
Daima utanivulia nguo na kubaki uchi,utakaa juu yangu na kuachanisha mapajayako ukinionesha kila kitu chako tukiwa pekee yetu.Hatutothubutu kiniacha,kwani na kutunzia heshima na raha zako.Ndio maana sina wasiwasi na wewe.Vp leo utakuja au bado hujabanwa.Ni mimi rafiki nikupendae sana CHOO.
 
Haya mambo bana yana starehe yake asikwambie mtu.teheheeeeeeeeeeeeeeeeee teheheeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Daima utanivulia nguo na kubaki uchi,utakaa juu yangu na kuachanisha mapajayako ukinionesha kila kitu chako tukiwa pekee yetu.Hatutothubutu kiniacha,kwani na kutunzia heshima na raha zako.Ndio maana sina wasiwasi na wewe.Vp leo utakuja au bado hujabanwa.Ni mimi rafiki nikupendae sana CHOO.

Du,si mchezo rafiki.
 
Daima utanivulia nguo na kubaki uchi,utakaa juu yangu na kuachanisha mapajayako ukinionesha kila kitu chako tukiwa pekee yetu.Hatutothubutu kiniacha,kwani na kutunzia heshima na raha zako.Ndio maana sina wasiwasi na wewe.Vp leo utakuja au bado hujabanwa.Ni mimi rafiki nikupendae sana CHOO.

I see, imetulia sana. I wish ningekuwa choo cha wanawake:dance:
 
:tonguez:mh!!!!!!!!!!! mie chooni basi tena kama hizo ndo mambo zenyewe??????
 
Back
Top Bottom