misorgenes
JF-Expert Member
- Oct 7, 2010
- 206
- 50
Yani kuanzia j3 ilikua mbaya kwangu. Mara nikose viquiz vya marks tano tano, mara niumwe mara lecturer anikwaze, mbaya zaidi ni nilipopoteza wallet yangu ikiwa na vitambulisho muhimu (card ya bank na kitambulisho cha chuo) na vipesa kidogo. Kwakwel it z terrible. Hope kuanzia j3 itakua njema.