Dah! No true love

Usishike simu ya “mpenzi” wako ukitoka naye kitaa wanakuchora kwa sana tu. Unaogopa kujua ukweli kwamba kuna njemba nyingine 10 nazo zinapewa utamu? Utabambikiwa mtoto si wako. Akili mkichwa!!!
Enjoy bro mapenzi matamu sana. Tuliahidiana tusishike simu za wapenzi, we ulienda kushika ya nini?
 
Basi tunatofautiana.

Japo siishi na mwanamke lkn ikitokea lazima baada ya muda flani nipitie kuchunguz bila yeye kufahamu.

Kuna kulea watoto damu isiyo yako ndug, pia kumbuk Kuna magonjwa hatar.
Aisee hapana mwanamke mkorofi NO.!
 
Hahahaha pole jamaa iliwahi nikuta kama hivyo.
Nilikua nina demu mmoja wa kichaga ana bonge chura halafu alinipenda mwenyewe maana ndiye aliyenitongoza kupitia best ake mapwnzi yalinoga mpaka kwa wana.Nilitambulishwa kwa watu wengi sana wengine hasa wa kiume kua ndo jamaa ake manina zake kumbe washikaji wananichora wanamtafuna sana mpaka mtaro.Siku moja tulikwaruzana ikapelekea simu yake kupasuka kioo baada ya kuanguka na ishu ilikua mimi nataka kwenda kucheki UEFA na yeye hataki nitoke usiku baada ya kuona simu imeanguka imepasuka kioo akaanza kulia simjali nathamini mpira bla bla kibao basi nikamuomba radhi.

Asubuhi nikachukua simu yake nikaenda kumbadilishia kioo pale k/koo aisee niliyokutana navyo kwenye simu balaa alitembea mpaka na shemeji yake bwana wa best yaje mkubwa kuliko wote,q tangu hiyo siku sijawahi muamini mwanamke mpaka leo zaidi ya mama angu mzazi..ndani ya wiki tu alitobwa na washikaji si chini ya nane na picha za hasara juu MARRY CHUWA NAJUA UKO HUMU ILA SITAKUSAHAU HAHAHAHHAHHAHHA.


Kmmk nimekutana na majini ila huyo wako Ni extraordinary
 
Wanawake achana nao mkuu..!! Yani ukiambiwa lolote demu wako either uamue kuufanyia kazi Ukweli au Uupotezee Ukweli lakini story yoyote ukiambiwa na wana kuhusu demu wako ni Ukwelii.. Unafiki upo sana tu
 
Updates

Wakuu huyu binti kanicheki leo,ananiambia ananimisi mpaka anahisi machozi

Nataka nimuulize "kuliko fulani"
jina la moja ya watu nloona kwenye sms alowaambia anawapenda sana kimapenzi na akasisitiza

Je niache tu au?
Ningekuwa Mimi ndiye wewe ningempotezea tu Ila ningempiga block everywhere

Kabla ya kumpiga tofali ninge mtumia huo ujinga wake nisingeongea nae kitu then tofali ..maisha yaendelee
 
Usishike simu ya “mpenzi” wako ukitoka naye kitaa wanakuchora kwa sana tu. Unaogopa kujua ukweli kwamba kuna njemba nyingine 10 nazo zinapewa utamu? Utabambikiwa mtoto si wako. Akili mkichwa!!!
hahahaua kilicho nikuta baadya kukakagua simu ya mpenzi wangu na wiki ya pili sijalala hapa
 
Duuhh OMG

Piga chini huyoooooooo
Kuanzia siku niliyompelekea simu yake mwezi october hatukuwahi onana tena zaidi ya sms tu na sikumwambia ila nilipunguza mawasiliano polepole hadi wiki ilopita ndio yaliisha kabisa na hatujawasiliana hadi leo.
Ingawa amekua akiuliza kwanini nimekua hivi ila sijawahi mwambia.
 
Usishike simu ya “mpenzi” wako ukitoka naye kitaa wanakuchora kwa sana tu. Unaogopa kujua ukweli kwamba kuna njemba nyingine 10 nazo zinapewa utamu? Utabambikiwa mtoto si wako. Akili mkichwa!!!
Simu ya mpenzi wangu aisee siwezi kuacha kushika na yangu atashika tu

Kama mmekubaliana kuwa kitu kimoja it means hapo hakuna usiri baina yenu why mfichane fichane kufichana Kuna maanisha kwamba nyinyi ni maadui mlioficha makucha yenu huku mkiwa mnasubiriwa Kati sahihi ya kuyafunua hayo makucha ili mparuane
 
una hamu ya kubabuliwa moyo!!!,,,,,,
una matatizo ww sio bure nenda kaombeewe
nibabue tu mamii maisha yenyewe haya ndio yameshakuwa hivi nifanyaje sasa ... Kuliko kuukosa utamu sibora Ni babuliwe moyo ..baada ya muda nitavumilia maumivu yataisha na maisha yataendelea
 
Kuanzia siku niliyompelekea simu yake mwezi october hatukuwahi onana tena zaidi ya sms tu na sikumwambia ila nilipunguza mawasiliano polepole hadi wiki ilopita ndio yaliisha kabisa na hatujawasiliana hadi leo.
Ingawa amekua akiuliza kwanini nimekua hivi ila sijawahi mwambia.
Very well huo ndio u_ gentleman usimpe tension mtu Kama huyo utajishusha
 
nibabue tu mamii maisha yenyewe haya ndio yameshakuwa hivi nifanyaje sasa ... Kuliko kuukosa utamu sibora Ni babuliwe moyo ..baada ya muda nitavumilia maumivu yataisha na maisha yataendelea
jinsi gani mapenzi yamekuchanganya Hadi unaongea utopolo
 
jinsi gani mapenzi yamekuchanganya Hadi unaongea utopolo
Yana zingua haya eleweki
Bora tu twende nayo hivyo hivyo yanavyotaka yanyewe ... Leo tuko pamoja tunapeana faraja ikitokea tukaachana sawa tutahesabu kuwa Ni ajali kazini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom