BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,011
Usishike simu ya “mpenzi” wako ukitoka naye kitaa wanakuchora kwa sana tu. Unaogopa kujua ukweli kwamba kuna njemba nyingine 10 nazo zinapewa utamu? Utabambikiwa mtoto si wako. Akili mkichwa!!!
Enjoy bro mapenzi matamu sana. Tuliahidiana tusishike simu za wapenzi, we ulienda kushika ya nini?