Dah mwisho wa Netnaija

Dah mwisho wa Netnaija

kama hujali quality ingia fzstudios, wana movies na series pia, nafkili zinakua katika 480p na 720p hawana kabisa 1080.
Ila mimi chimbo langu la movie ni Telegram, na Torrents.
Yaani telegram kuna majamaa kwenye channel zao wanaweka hadi matangazo ya movie hii itatoka next month, tafkiri movie ni zao😄😄, anyway sisi tusio weza kulipia Netflix subscriptions ndo poneo letu.
Kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba, kila movie mpya ikitoka au mwendelezo wa series, notification zinaingia.😁😁😁
Fz patawafaa ila kuna chimbo moja tamu sana linaitwa 👇 Movies Archive - TodayTvSeries
 
labda utuelezee tuelewe mkuu kwa lugha rahisi
Labda wameogopa kilichowapata waanzilishi wa the piratebay. Kutumua kazi za sanaa za watu bure ni kesi kubwa inaweza kukuweka ndani ma miaka. Huenda wamepewa onyo maana kuna muda hadi serikali na vyombo vya usalama vya marekani vinaingiliaga kati issue kama hizi
 
kama hujali quality ingia fzstudios, wana movies na series pia, nafkili zinakua katika 480p na 720p hawana kabisa 1080.
Ila mimi chimbo langu la movie ni Telegram, na Torrents.
Yaani telegram kuna majamaa kwenye channel zao wanaweka hadi matangazo ya movie hii itatoka next month, tafkiri movie ni zao😄😄, anyway sisi tusio weza kulipia Netflix subscriptions ndo poneo letu.
Kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba, kila movie mpya ikitoka au mwendelezo wa series, notification zinaingia.😁😁😁
😂😂 Naomba link kaka
 
kama hujali quality ingia fzstudios, wana movies na series pia, nafkili zinakua katika 480p na 720p hawana kabisa 1080.
Ila mimi chimbo langu la movie ni Telegram, na Torrents.
Yaani telegram kuna majamaa kwenye channel zao wanaweka hadi matangazo ya movie hii itatoka next month, tafkiri movie ni zao😄😄, anyway sisi tusio weza kulipia Netflix subscriptions ndo poneo letu.
Kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba, kila movie mpya ikitoka au mwendelezo wa series, notification zinaingia.😁😁😁
Hivi Telegram wanaweka hadi 1080?
 
Netnaija ina muvi poor quality hua naziona kwa washkaji na bado mnalalamika imefungiwa
 
kama hujali quality ingia fzstudios, wana movies na series pia, nafkili zinakua katika 480p na 720p hawana kabisa 1080.
Ila mimi chimbo langu la movie ni Telegram, na Torrents.
Yaani telegram kuna majamaa kwenye channel zao wanaweka hadi matangazo ya movie hii itatoka next month, tafkiri movie ni zao[emoji1][emoji1], anyway sisi tusio weza kulipia Netflix subscriptions ndo poneo letu.
Kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba, kila movie mpya ikitoka au mwendelezo wa series, notification zinaingia.[emoji16][emoji16][emoji16]

Link tafadhali.
 
Link tafadhali.
nyingine hii ila sijaona link ya so uta isearch
IMG_20230918_124857_1.jpg
 
Back
Top Bottom