Dah mwisho wa Netnaija

Dah mwisho wa Netnaija

Dah nimesikitika sana kukutana na taarifa kwenye ukurasa wa Netnaija kuwa haitakuwa inajihusisha na Kuweka movie zidownlodiwe bila wao kutaja sababu.

Dah Inauma sana maana imekuwa website ambayo ni rahisi kutumika na pia unapata movie kwa mb Chache

Sababu kubwa itakuwa ni nn imepelekea wao kusimama?
View attachment 2751655
Dah so sad aiseeee
 
kama hujali quality ingia fzstudios, wana movies na series pia, nafkili zinakua katika 480p na 720p hawana kabisa 1080.
Ila mimi chimbo langu la movie ni Telegram, na Torrents.
Yaani telegram kuna majamaa kwenye channel zao wanaweka hadi matangazo ya movie hii itatoka next month, tafkiri movie ni zao😄😄, anyway sisi tusio weza kulipia Netflix subscriptions ndo poneo letu.
Kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba, kila movie mpya ikitoka au mwendelezo wa series, notification zinaingia.😁😁😁
Telegram naona kama ipo slow kwenye kudownload
 
nakupa hii FouMovies – Foumovies Latest Old, New Movies , Bollywood Movies 720p, 1080p Bollywood, 720p Hollywood, 1080p Hollywood

unachagua quality

sema nayo kama netnaija, huwezi pata kila movie, inafungwa kila mara wana hamisha hamisha domain
inakataaa mbona mkuu
Screenshot_20231009_114549_Samsung%20Internet.jpg
 
Hapo wameogopa kusuized..wazungu wanathamini sana Copyright wamepita na domain nyingi sana kama Yule mwamba wa live football(Hesgoal) wanakufungia tu

Kinachotokea hapa ni makampuni ya usambazaji kama Amazon,Sony,Hata Marvel wanakuripoti domain yako inafungwa milele...Disclaimer,Copyright vitu muhimu sana yote kwa yote jamaa walikua wanapiga pesa kinoma
 
Back
Top Bottom